Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Kwahiyo unalidharau kundi hili la wapiga kura halafu kesho unalalamika eti umeibiwa kura. Kwa taarifa yako CCM itabakia madarakani daima kwasababu ya kundi hili!Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Wakitoka hapo wanaanza kuwapigia simu watoto wao wawatumie nauli ya kurudia homeSielewi!!"Sijui Ni Wanatia Huruma,,,au ni Huruma inawatia wao hao Bibi Zangu"
Unaponishangaza I kuamua kuiha hata upumbavu wa CCM, nini maana ya kuwa chama mbadala kama mna viashiria vyote vya kutenda kama CCM. Sasa una tofauti gani na Lucas et al.Kwani nyinyi wanaccm hamchukui picha kwenye mikutano yenu?
CCM hata Lindi haikubaliki?!Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
sio kwamba wame edit hapo...?Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Hizi picha kama ni CCM wanaposti basi wahuni...hii ilikua enzi ya JK huko lindi picha ya maktaba hii.Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Acha zarau Kwa Wazee. Naomba ni Watu Wana heshima Yao. Uzee siyo Ugonjwa ni mchakato wa ukuajiMama kabakiza jino moja tu la kutafunia mchicha yeye hata nyama robo iuzwe elfu kumi haoni shida
hawa ndio wapiga kura sasa! vijana mbwembwe tu
Kama ni hivyo Jiwe aliibaje uchaguzi?Sasa unashangaa kitu Gani?Siku zote hao ndiyo wapiga kura wa CCM,we unadanganyika na zile MOBB za wale GENZ wa kibongo bongo na drama za?Siasa za bongo ni hesabu Kali Babu....
πππππHii propaganda mfu ilishafeli kitambo sana, huyo mtu wenu huku Kanda ya Ziwa ndiyo hatuna habari naye kabisa.
Kwi Kwi KwiHujafanya vyema hao pia ni binadamu kama wewe.
Jifunze kuheshimu binadamu wenzako.
Huna akili.
Nilitegemea uweke jukwaa bila watu au uweke mbuzi wakila nyanya kujustify kichwa chako cha habari na intro! Sasa hapa sijajua hoja yako ni nini? Kura inaanza na mtu mmoja. Pili, hawa wakikuamini hukosi kura zao. Gen Y na Z wanaweza kusukuma gari lako na wasikupigie kura kama kama trend ya mafuriko na kudeki barabara hukoo! Dk. Nchimbi ni mtu wa mikakati mzuri na mtu makiniπππNi dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Sasa CCM watawatoa wapi vijana? Ila hivi vizee ndivyo huwa vinawafunga magoli CHADEMA! Mavi-jana ya Tanzania matoyoyo huwa hayapigi kura!Ni dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako
Wazee watupuNi dhahiri kwamba Emmanuel Nchimbi hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani na nje ya ccm, hana ushawishi Jukwaani wala ofisini (Haifahamiki waliomteua walilenga nini), Matokeo yake ndio haya .
Huu hapa ni Mkutano wa Lindi
View attachment 3057079
Angalia kwa Makini halafu Toa Maoni yako