Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Aina za Limbwata Wanawake wanazotumia kutushika, je we umepewa mojawapo hapa. Ni uchafu mtupu

Hizi limbwata wanawekewa wanaume wenye pesa. Maana kuna mtu anatamani ang'ang'ane na mwanamke anaishia kufukuzwa.
 
Uko sahihi kabisa..

Mimi bro wangu alifanyiwa hiyo ya nyama, aliteseka sana. Kwanza aliichukia kazi akawa hataki kwenda kazini anataka abaki na mkewe nyumbani. Akiwa nyumbani anazima simu kabisa hapatikani hata siku tatu. Kazini haendi kazi yake kukaa nyumbani.

Mke sasa ndo anakuwa mume, yeye kutwa kiguu na njia na asiulizwe unaenda wapi. Bro anabaki kuhudumia watoto, awapikie, awaogeshe afue nguo, asafishe nyumba...

Siku akienda kazini akirudi msosi hakuna anaambiwa "nimechoka kupika kama vp kapike mwenyewe" hapo hela ameacha asbh. Bas bro anakuwa mpole tu anaenda kununua viepe alalie. Sina hakika kama unyumba alikuwa anapewa aisee.

Na siku zote ukimwambia umelogwa wewe basi atakufukuza kwake kama mbwa. Usiombe ndg yako afanyiwe hii kitu aisee
Dah!
It is heartache!
 
Daah,mimi nilipigwa hio namba 6,nlipata mateso miaka kadhaa,hadi pale jirani yangu aliponitonya kuwa mama wtt wako kaning’iniza Tarasimu juu ya huu mti wa mzambarao,na huo mti ulikua uani kwetu
Nlipaanda juu ya mti nikaifungua ile kamba,kisha nlimpa kipondo heavy mama watt na akafunga virago na kwenda kwako tangia 2013 hadi waleo naishi kwa raha na amani
Pole Bro!
Moyo wa mtu unaficha mambo mengi sana
 
Kinyama, maji ya mchele na kuchujia nguo ya ndani kwa wazama chumvini sio ishu sana maana uchy na vilivyomo wanavila kila siku
 
Kamwe nuru na giza havipatani, hayo malimbwata huwapata wasiotokana na Mungu kiimani lakini waliofunuliwa ukuu wa Mungu hata ujihangaishe vipi bado tu watasimama imara na kutoweweseka na limbwata zaidi ya kupoteza muda wako bure.
Jidanganye tu
 
Hata sisi wanaume hutilia limbwata wanawake pia......

...... kuna mwanaume anashinda kwa bao toka asubuhi bila mishe yoyote, then ana wake wanne, mmoja nurse , wawili maticha, na wa mwisho mama wa nyumbani. .... Hao wafanyakazi mshahara ukiingia wanapeleka kwa husband akapange matumizi ya mwezi.....

Cha ajabu zaidi wote wanakaa ktk jumba moja lililojengwa kwa mkopo wa bank wa kila mmoja wa hao watatu

Maajabu hayaishi Africa


# huyu bwana ni walewale kina Faiza Fox.
Yani bora hata sisi tuwape wanawake limbwata kuliko wanawake watupe limbwata wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom