Aina za Pikipiki: Ipi "taste" yako kwa Matumizi Binafsi?

Bila kuona picha ya SanLG Uzi huu hauna manufaa yoyote kwangu
 
Kuna hizi ATV za Zforce zimeanza kujaa mjini,, hivi bei inakwendaje na ubora wake maana naona ni za China half ni automatic drive
 
Kuna hizi ATV za Zforce zimeanza kujaa mjini,, hivi bei inakwendaje na ubora wake maana naona ni za China half ni automatic drive
Kusema kweli ATV sijawahi zielewa. Naona zimekaa ki-sport jui like siwezi enda nayo baadhi ya sehemu.

Naona ni nzuri mtu anakua na means nyingine ya usafiri hafu ATV for fun.
 
Kama hizo sport bike ila zinakuwa na tyres nene kidogo kuliko kawaida, zinaendaje mkuu?
 
Mzunguko ktk engine huw una rotation zake sasa kwa upande wa 4 stroke ina maana kuna piston 4 zinazojitegemea ili kutoa power stroke iliyokamili.
Hapana mkui inaweza ikawa na single piston na inaenda 4 stroke kwa maana ya mizunguko miine . 1. Kuingiza hewa na mafuta {intake)
2. Compession kuya bana ule mchanganyiko wa hewa na mafu
3. Power sroke hapa yakishwa banwa heat na energy inaongezeka sparkplaga inatoa cheche mlipuko unagokea na unasukuma piston na kitu kinasepa
4. Exhaust ule uchafu unatolewa sasa kupitia exhaust
 

Mjini unatamba na chuma ya namna hii. Toleo la miaka ya 90 ila hadi leo lina heshima kubwa.

Shida yake ni kwamba lina kelele sana hili dubwana.
 
Hizo ukiendesha unanuka moshi hatari
 
Sorry tupe experience Yako ni safari gani ndefu ulisafiri kwa pkpk gan na km ngap kwa mda gan
Sorry nilichelewa kuona hii.

Mimi nilikua na Honda CBR 650R ya 2014 (hii ni cc 650), hii nimezunguka nayo kiasi.

Ingawa sio mtu wa maspeed, tulijiunga na wadau (Wadau wa Hot Bikes in Dar WA Group) kwenda Lushoto.

Mimi huyo tukakutana Mlimani, tunapitia Bagamoyo then Tanga to Lushoto.

Ubaya wa CBR ni Sport bike, unavoendesha unalala. Kwa safari fupi it was funny ila safari ndefu ni mateso.

Niliishia Msata, nikarudi Chalinze safari ikaisha iyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…