Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuaga nataka kuichukua hiyo, nikawa katika njiapanda katinya RC390 na Kawasaki Ninja 300/400.KWeli ww ni Madmax. Nimekwelewa mzee uko njema. Hii KTM RC390 sio mchezo ntaicuhukua baada ya miaka 2 ntakuja kukuonyesha mkuu.
Sema hii ni fursa kwa vijana wa kitanzania....itengenezwe network ya kuagiza online kama tunavyonunua magari China na Japan.Uzi mzuri sana hongera mkuu.
Shida ya dealers wengi hapa Tanzania hawaleti bike za maana mfano tu hii kampuni ya Bajaj wana bike nzuri sana hizi Dominar 250cc au 400cc na ni imara sana sema wame target kuuza soko lao la india tu.Angalau hapo majirani zetu Kenya watejitahidi kuna baadhi ya dealers wanazo.
Zile kwa used Zanzibar ndio zimejazana, mjini Dar zipo naona on-line.Mad Max hujanitajia bei na location ya kuipata ile ya wamama
Kweli dealers wamewekeza zaidi kwenye pikipiki za biashara. Nadhani ni kwasababu wameona ndio zinatoka na kulipa.Uzi mzuri sana hongera mkuu.
Shida ya dealers wengi hapa Tanzania hawaleti bike za maana mfano tu hii kampuni ya Bajaj wana bike nzuri sana hizi Dominar 250cc au 400cc na ni imara sana sema wame target kuuza soko lao la india tu.Angalau hapo majirani zetu Kenya watejitahidi kuna baadhi ya dealers wanazo.
Uzi Bora kabisa huuView attachment 3035131View attachment 3035131
Hii chopa inasimama bei gani....?
Kuna dealer kaniambia 4 Ml......uko ulipo ni bei gani
Milion 4 mpaka unaitia mkononi auView attachment 3035131View attachment 3035131
Hii chopa inasimama bei gani....?
Kuna dealer kaniambia 4 Ml......uko ulipo ni bei gani
Naona reasonable uzuri KL unawapigia wanakuambia bei una namba zao?View attachment 3035131View attachment 3035131
Hii chopa inasimama bei gani....?
Kuna dealer kaniambia 4 Ml......uko ulipo ni bei gani
Hizi hadi kuuliza ngoja nitajaribu ila hazitatofautiana sana mfano namba 3 iyo Mlimani City roundabout kulikua na bango kabisa limeandika beiNaomba bei ya pikipiki hizi maeneo ya Dar
1. TVS HLX 125 mpya
2. Boxer x125 mpya
3. Haojue Express 125 na 150
4. Honda AC 125
Ukitoa hondaNaomba bei ya pikipiki hizi maeneo ya Dar
1. TVS HLX 125 mpya
2. Boxer x125 mpya
3. Haojue Express 125 na 150
4. Honda
Yaah ukiwa dar...au kwa ma dealers wanaoelewekaMilion 4 mpaka unaitia mkononi au
Ndo bei yake hyo ila mimi nmechukua cc 200 3.5mlNaona reasonable uzuri KL unawapigia wanakuambia bei una namba zao?