Aina za Pikipiki: Ipi "taste" yako kwa Matumizi Binafsi?

Aina za Pikipiki: Ipi "taste" yako kwa Matumizi Binafsi?

Honda Cb400 Super Four
400cc
Inline 4 cylinder(water cooled)

Hii ni bike ninayopenda engine sound hata ikiwa na exhaust stock hii bike inaunguruma kama simba dume wa mikumi
Imekaa kibabe sana.
images (34).jpeg
 
Kama vyuma kama hivi unaviacha uzi wako ni batili. Kwa sisi tusiopenda kuendesha tumepindisha mgongo hapa ndio mahala pake
View attachment 3022568

View attachment 3022569
Cruisers Bikes

Ni nadra kidogo Tanzania ila ndio ivo nazo zina wadau wake. Sijawahi kuendesha hii na sijawahi kuzielewa ila kuna mtu alikua nayo anasema ni relaxing sana akiwa anaendesha na anaweza kwenda safari ndefu sana kusimama ni kuongeza wese au kula.
 
So 2 stroke means kuna piston 2 zinazojitegemea?

4 Stroke means piston inapanda na kushuka mara nne ndipo inakamilisha cycle moja

ila 2 stroke, piston inapanda na kushuka mara mbili ili kukamilisha cycle moja.
Asante kwa ufafanuzi lakini naomba niambie kwa injini za kawaida hizi piston inapanda mala ngapi ili kukamilisha cycle moja?
 
Unakuta wewe unaendesha kistaarabu road, ila Kuna kichaa mvuta bangi mmoja hujui hata katoka wapi anakuja kukuparamia na walivyo hovyo utasikia "Daah, pole blaza, sikujua kabisa"...sema humu mijini sometimes Kuna foleni za ajabu, kama unataka ufike Kwa wakati na mzee wa Chocho basi pkipki inafaa hasa dar.
 
Back
Top Bottom