Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
hii aina gani mkuu
na pya unaipata kwa bei gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii aina gani mkuu
zile za wamamaHonda lipi tajiri..
Inaweza kupiga misele mjini hii mkuu ?
ndio mkuu vinauzwaj vipya
Dah nimeipenda muonekano kumbe kadogo .Ndogo iyo mzee. Ndogo sana
Wazo zuri mkuu.Uzi mzuri sanaa ila una mapungufu...
1..Kuna baadhi ya pikipiki hujaziweka ambazo wengi wetu tunazimiliki,
2..Ingependeza tungeweka na machimbo ya hzo pikipiki kwa dar ili mtu akivutiwa nayo aweze kwenda kununua...bila kusahau na bei zake.
-----------------
Nimejaribu kutafuta plat form kama ile be forward wale wanauza kila aina ya magari ila upande wa pikipiki hakuna website....naamini hii ni fursa kwa watanzania.
Pikipiki deal sana sema ndio ivo risk pia.Unakuta wewe unaendesha kistaarabu road, ila Kuna kichaa mvuta bangi mmoja hujui hata katoka wapi anakuja kukuparamia na walivyo hovyo utasikia "Daah, pole blaza, sikujua kabisa"...sema humu mijini sometimes Kuna foleni za ajabu, kama unataka ufike Kwa wakati na mzee wa Chocho basi pkipki inafaa hasa dar.
Kweli hiyo ya watoto ahsante Kaka nimeelewa vilivyoYa umeme unakuta full charge haifiki km 50 hafu plastic sana ndio maana bei ndogo. Hawachelewi kukuambia apande mtu uzito chini ya 40kg.
Hizi ni nzuri nazijuaSisi wa vijijini tunamiliki pikipiki inayoweza kubeba mzigo na abiria kwa wakati mmoja kama vile TVS 125, BOXER 150, SAN LG na King lion
Haojue wameweka gauge ya mafuta,taa ya nyuma kama unavyotakaNapenda muonekano mzuri wa pikipki kwenye dash board kuwe ata na gauge ya mafuta sijajua kwanini hawaweki saa...yaa dash board iwe standard....Taa ya mbele iwe jicho panzi na ya nyuma iwe ime curve.
Siti iwe imebendi kidogo.....cc si chini ya 150.
Kweli kweli Mkuu. Nimekaa kwenye uzi karibua 45mntsUzi mzuri
Pikipiki toleo lipi hilo....kapicha kidogoHaojue wameweka gauge ya mafuta,taa ya nyuma kama unavyotaka