Mil 3Boxer iliyobora kabisa inagharimu kiasi chá pesa ya Tanzânia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mil 3Boxer iliyobora kabisa inagharimu kiasi chá pesa ya Tanzânia?
2 stroke inakwend simultaneously ... na inatoa kitu kinaitw power stroke per single revSo 2 stroke means kuna piston 2 zinazojitegemea?
4 Stroke means piston inapanda na kushuka mara nne ndipo inakamilisha cycle moja
ila 2 stroke, piston inapanda na kushuka mara mbili ili kukamilisha cycle moja.
Pole sanaMwaka 2006 kipindi ndio boxer zinaingia mzee wangu alinunua, huwezi amini ndio ilimuondoa duniani sitaki hata kuzisikia.
👊👊👊Yamaha itakua bei kali, vipi Sinoray mpya bei gani? Naziona sana siku hizi tena kitu neww.
View attachment 3022823
Acha uwongo......4 stroke...n mfumo wa injini ambapo... a single piston kwa kila mnyanyuko wake inapiga mara 4 kwa kila mzunguko wa crank shaft...Mzunguko ktk engine huw una rotation zake sasa kwa upande wa 4 stroke ina maana kuna piston 4 zinazojitegemea ili kutoa power stroke iliyokamili.
Alafu umenikuta siku hizi nimeacha kutukana VICHAA.Acha uwongo......4 stroke...n mfumo wa injini ambapo... a single piston kwa kila mnyanyuko wake inapiga mara 4 kwa kila mzunguko wa crank shaft...
Only theoretical!Kitu boxer hatari dar to mwanza unagusa tuu
Kwa nini mkuu...mbona nilishapiga hiyo routeOnly theoretical!
Wewe ndooo chizii kabsa soma uharoo ulioandika mwazon.....4strokes a bike iwe na piston 4??...!!!!! Wainiya muwuvaso..!!Alafu umenikuta siku hizi nimeacha kutukana VICHAA.
"combustion engine that utilizes four distinct piston strokes (intake, compression, power, and exhaust) to complete one operating cycle"
Hizi mada zinahitaji watu wenye Experience, Exposure na akili kiasi.Wewe ndooo chizii kabsa soma uharoo ulioandika mwazon.....4strokes a bike iwe na piston 4??...!!!!! Wainiya muwuvaso..!!
Daah,sawa,but it's too risky!Kwa nini mkuu...mbona nilishapiga hiyo route
Haojue pikipiki zao ni nzuri sana,Mimi natumia express 120 sijawahi kutamani pikipiki nyingine kabisaMwaka huu nataka ninunue pikipiki...
=Naomba kujua combo kama hichi View attachment 3023562
Either iwe company ya tvs au haujoe ni sh ngapi kwa dar..
Na kuna zile pikipiki kubwa kampuni ya honlg au sinoray nazo sh ngapi....mana uku mkoani made madealer wapo wa sanlg zile za mizigo.
Hii ni Haojue express 125 kama sikosei..moja ya pikipiki nafuu ila Ina ubora wa Hali ya juu sana..vipuri vinapatikana Kwa urahis na unafuu ,mafuta inanusa na inatembea vizuri kabisaa 👍Chuma hiyo hapo mafuta inanusa tu na umeme ni mwingi sana, service ni cheaper than chipa yunaited [emoji38][emoji38]View attachment 3023566
Napenda muonekano mzuri wa pikipki kwenye dash board kuwe ata na gauge ya mafuta sijajua kwanini hawaweki saa...yaa dash board iwe standard....Taa ya mbele iwe jicho panzi na ya nyuma iwe ime curve.Chuma hiyo hapo mafuta inanusa tu na umeme ni mwingi sana, service ni cheaper than chipa yunaited [emoji38][emoji38]View attachment 3023566