Nashkuru kumbe sipo mwenyeweYani my dear inaenda inachange πππ
Mimi ni too much mibembelezo ndo mambo yngu had kunamtu alinambia nitateseka sana nikipata asiejua kudekeza na kweli now nimepona nilipata kiboko hasa π
Au nimuoneshe mfano ajue mwantumu unabembelezekaje?πππHiyo list yako ongezea na ombi la Ivan Stepanov inakuaπ―π₯
ππΏββοΈππΏββοΈππKwa huyo sikatai, mwendo misosi na vibuno
Maisha yangu yote tumbo limeshiba stock(pvmbv) empty
Kaka angu Ivan Stepanov anawaza pesa tuAu nimuoneshe mfano ajue mwantumu unabembelezekaje?πππ
Yah..na huu ndio ukwel mkuu, huyo mwamba yuko honest. Sasa assume ukute mchiz baddo hajajipata haya huo upuuzi anaanza vipi ku deal nao?πππMimi niliambiwa "mm mwanaume sio mvulana nishavuka huko kwenye bby bby ujinga sitaki kusumbuana sitaki kuongea ongea siwez πππnikanyooka
Yeye Mpe bills alipie Kodi mwambie unatak kupendeza unaumwa ooho hapo sawa hayo mengine 0πππ
ephen_
Anakuigizia huyo akuingize kwenye 18 akule mzigo akutupilie mbali. Utakuja kunambia mbonaKuna mmoja huyo anacho hiki kipaji bado namfukuzia namn'gang'ania
Sitaki ushauri wakoAnakuigizia huyo akuingize kwenye 18 akule mzigo akutupilie mbali. Utakuja kunambia mbona
Shida hawa wamama hawajui kipi kinawatosheleza.Yah..na huu ndio ukwel mkuu, huyo mwamba yuko honest. Sasa assume ukute mchiz baddo hajajipata haya huo upuuzi anaanza vipi ku deal nao?
πππMwenzio sikuhiz nimepona Bado kidogo nitakuwa serious πππKuna wanaume Wana roho ngumuNashkuru kumbe sipo mwenyewe
Kuna huyo anajua kubembeleza kuna siku alinibadilikia niliona kama anataka anipige sio kwa zile hasiraπ
Akili zilizoniruka mbona zilirudiπ
Tena haya mapenz ya kufa kuoza ndio vijana siku hiz hawataki hatavkwa mbali.Sitaki ushauri wako
Mimi nishakufa nishaozaπ€Έ
ππππBipi wale wanaongea sana kama spika ya msikitini mbona umewaacha
Nimekufa nimeoza naomba uniache..!!Tena haya mapenz ya kufa kuoza ndio vijana siku hiz hawataki hatavkwa mbali.
Tunataka watu ambao wako mguu uoande mguu sawa hata ukimpiga kibuti unakua huna was was wa yy kunywa sumu akutie matatizoni
Unataka kusema sato(ephen) kameza chambo ndoano ikamnasa nzima nzima!?ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈSitaki ushauri wako
Mimi nishakufa nishaozaπ€Έ
Pesa yangu haihusiki kwenye mapenzi , mpaka TBS wafanye kazi yao kikamilifu mdio pesa inaanza kuwa applied.Shida hawa wamama hawajui kipi kinawatosheleza.
Jichanganye unajua kujaza pesa kama hajaanza ngonjera"ninahudumiwa ila furaha ya mapenzi siipati".
Lamamayeee.
Mwanaume anayejua kubembelezaβ βΊοΈUnataka kusema sato(ephen) kameza chambo ndoano ikamnasa nzima nzima!?ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
Ubahili tuπPesa yangu haihusiki kwenye mapenzi , mpaka TBS wafanye kazi yao kikamilifu mdio pesa inaanza kuwa applied.
Yan nikutie, nikubembeleze na bado nikupe hela? Aah no way..
Huyu si wa Songea!?Tena haya mapenz ya kufa kuoza ndio vijana siku hiz hawataki hatavkwa mbali.
Tunataka watu ambao wako mguu uoande mguu sawa hata ukimpiga kibuti unakua huna was was wa yy kunywa sumu akutie matatizoni
πππKwa kifupi tunataka vyote Yani tupewe vyote sie tunaopenda kubembelezwa ndo tunaumia zaidi πππShida hawa wamama hawajui kipi kinawatosheleza.
Jichanganye unajua kujaza pesa kama hajaanza ngonjera"ninahudumiwa ila furaha ya mapenzi siipati".
Lamamayeee.