Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
๐๐๐๐watu waoga had mkiitwa kwenye maombi mnahisi ni mtego ๐Aiseee!
Hapa ndipo napata picha kwanini Adam aliweza kushawishiwa na Hawa kula tunda bila kupinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐watu waoga had mkiitwa kwenye maombi mnahisi ni mtego ๐Aiseee!
Hapa ndipo napata picha kwanini Adam aliweza kushawishiwa na Hawa kula tunda bila kupinga.
๐๐๐Aaah weeh!Tutaenda wote takupigia tunakaa kijasusi
Utanichagulia dressing code๐๐๐Mambo si ndio hayo
Karibu sana
Weeeh!Ilinikuta hii kitu mpaka leo sitembelei nyumba ya binti wa kipemba/kizanzibari ng'oooo.๐๐๐๐watu waoga had mkiitwa kwenye maombi mnahisi ni mtego ๐
Iongeze tukujue๐๐๐Sio kweli mm yangu haipo mbona
Kwani sheikh huhitaji mke wa pili?๐๐๐Aaah weeh!
Ili itoke idhini usikie "Aaliyah enda ukamuandae na Safiya,maana huyu kijana alokuja na Mpaji Mungu amfaa sana,wacha tumalize ndoa ya pili".
Mkuu eb funguka kidogo๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWeeeh!Ilinikuta hii kitu mpaka leo sitembelei nyumba ya binti wa kipemba/kizanzibari ng'oooo.
๐๐๐
He he he heeeee!Kwani sheikh huhitaji mke wa pili?
Mimi sio Mpemba ๐๐๐acha kumtisha mwenzio๐๐๐Aaah weeh!
Ili itoke idhini usikie "Aaliyah enda ukamuandae na Safiya,maana huyu kijana alokuja na Mpaji Mungu amfaa sana,wacha tumalize ndoa ya pili".
๐๐๐๐He he he heeeee!
Mke wa pili halafu awe wa kizanzibari!?
Huna haja ya izraeli mtoa roho.
Usijali ilo halina shida kabisaUtanichagulia dressing code
๐๐๐Weeeh!Ilinikuta hii kitu mpaka leo sitembelei nyumba ya binti wa kipemba/kizanzibari ng'oooo.
๐๐๐
Unapenda Ujiko๐คฃ@manyaza unaweza kukisia tabiayangu? namba iongeze hapo chini
๐๐๐๐Wala nambayangu ngumu ni mwizi na mengine mengiUnapenda Ujiko๐คฃ
Kuna jamaa yangu bhana ni Myemeni anafanya kazi kampuni ya FMS.Mkuu eb funguka kidogo๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
We wa wapi mkuu!?Mimi sio Mpemba ๐๐๐acha kumtisha mwenzio
Mwiz wa Mapenz au ?๐๐๐๐Wala nambayangu ngumu ni mwizi na mengine mengi
Kisa chako kinachekesha Sheikh! Sasa hao wadada nao wanakubalije chap chap waolewe bila kupitia hata uchumba mjuaneKuna jamaa yangu bhana ni Myemeni anafanya kazi kampuni ya FMS.
Kuna ndugu wa mbali uko Unguja aliposwa kama mara 2 wachumba wamelipa mahari siku ya ndoa wanakimbia.
Sasa binti akawa mnyonge analia sana.
Siku jamaa yangu akaambiwa na baba ake nenda Bububu kule ankal wako anakuita,jamaa hajaambiwa anaitiwa nini.Akajiandaa kuja,kipindi anajiandaa kuja mie nilikua nipo Unguja teyari nimefikia Zantel,Zantel na skuli sio mbali.
Alivyofika akanicheki siku inayofuata tukaongozana pamoja,maana jamaa ni mgumu kulala sehemu nje na nyumbani hata ikiwa kwa ndugu,alikodi lodge asubuhi akaja tukaongozana.
Kufika jamaa anakuta halwa,visheti na kashata za kushantaa,mabirika ya maziwa na kahawa,mikeka ya kushanta.
Tukakaribishwa bwana.
Eeeeh!Kukaa na kukaa ikapigwa duah jamaa akaambiwa itabidi umuoe binam yako tena mchana wa saa saba.
Mahari babayo kashakulipia saa saba baada ya swalah ya adhuhuri unaoa.
Aiseee!๐๐๐nilipigwa na butwaa.
Kukaa na kukaa mama mtu akadakia.
"Halafu huyu jamaayo aonekana msomi na miwani yake,embu muite tuongee naye".
Mkuu niliulizwa maswali,na mimi nilivyo bwege nikafunguka.
Aiiiish!Natoka sebuleni baada ya ndoa ya jamaa tukazuiliwa kuondoka.
Mama wa mabinti akasema "vijana wapo mabinti tunao,huyu kijana kama Balawi anamfahamu uzuri kwanini tusimpe Zakia amuoe!?Zakia mkubwa vooo na azeekea nyumbani".
Shekhe bimdashi alinishawishi yani kama ananitongoza vile.
Mie nilikataa nikidai nishaoa.
Alisisitiza hadi kuongeza mke wa pili nilimwambia ndoa haitaswihi kwa kulazimishwa.
Basi tulilala asubuhi jamaa akanipa jukumu la kumsindikiza na mkewe hadi Dar.