Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Utasema najisifia wizi😂😂😂Mwiz wa Mapenz au ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasema najisifia wizi😂😂😂Mwiz wa Mapenz au ?
Hahhah subir nakujaWe wa wapi mkuu!?
Tujuze kama hutojali.
Mkuu unaweza ukaona kama nachangamsha kenge.Kisa chako kinachekesha Sheikh! Sasa hao wadada nao wanakubalije chap chap waolewe bila kupitia hata uchumba mjuane
Aya twakusubiri.Hahhah subir nakuja
Ujiko wa wiz wa wame za watu🤣🤪Utasema najisifia wizi😂😂😂
Wanawake wote ni namba 8 🤣🤣Nikipata no 8 naweka ndani
Naiba maandazi 😂😂Ujiko wa wiz wa wame za watu🤣🤪
Acha bas mkuu!😂😂😂😂😂🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️Naiba maandazi 😂😂
Sasa mrembo mzima si uibe hata niniu, Chururu🤣Naiba maandazi 😂😂
Vijana wa kipemba sio wachacharikaji sana Kuna Moja nlisoma nae yaani tumemaliza tu form six akaoa hana kazi hatafuti Hela anategemea ndugu zake wa huko uarabuni wamtumie Hela, sasa wale kuwezana na wa huku bara ni ngumu huku wote dabi dabi mwanamke anatafuta mwanaume anatafutaMkuu unaweza ukaona kama nachangamsha kenge.
Ila Unguja na Pemba yake kuna walilia ndoa wengi sana.
Na mbaya zaidi nimewaambia mie mbara/mnyamwezi.
Sasa hivi watu wa kisiwani wanawakubali sana wanaume wa bara kwasababu wanasema tuko serious,humble,tuna hekima na busara.
Vijana wa pwani/kisiwani watoto wa mama,busara hawana pia ni watu wa kuacha acha sana.
Ndio maana idadi ya talaka visiwani imekua kubwa maana vijana wa kule akili ndogo kwenye kuhimili ndoa.
Mabinti ama familia za kule zikikuona kijana unavutia ama umewavutia kimuonekano pia unajulikana na moja kati ya ndugu zao,basi guarantee yao kuhusu wewe inakua ndugu yao anayekujua.
Na binti hakatai anakubali,maana anajua nikikataa naolewa na nani huku visiwani!Visiwani enyewe imejaa vijana wa hovyo.
Tembea ukajionee kaka.
Sio wote....Kuna vivuruge haswa utanyooshwa mpaka ukimbie nyumbaWanawake wote ni namba 8 🤣🤣
Usichanganyikiwe na description mkuu!!hao ni wateja wa mwamposa waliochangamka!utasikia "yes daddy!I got you daddy!Nikipata no 8 naweka ndani
Wanawake wa visiwani ndio wanataka wanaume wa bara.Vijana wa kipemba sio wachacharikaji sana Kuna Moja nlisoma nae yaani tumemaliza tu form six akaoa hana kazi hatafuti Hela anategemea ndugu zake wa huko uarabuni wamtumie Hela, sasa wale kuwezana na wa huku bara ni ngumu huku wote dabi dabi mwanamke anatafuta mwanaume anatafuta
🤣🤣🤣 sasa kichwa cha familia unanyooshwaje!!Sio wote....Kuna vivuruge haswa utanyooshwa mpaka ukimbie nyumba
By the way siwaamini sana hawa wadada wa makanisa ya kilokole, ntaishi humu humu mtaaani naamini bado wapo wanawake wazur wenye hofu ya Mungu.Usichanganyikiwe na description mkuu!!hao ni wateja wa mwamposa waliochangamka!utasikia "yes daddy!I got you daddy!
Sister kwa ground mambo ni tofauti sana ingekua kua kichwa cha familia kunakufanya uweze kufix kila kitu ndoa ingekua taasisi imara sana🤣🤣🤣 sasa kichwa cha familia unanyooshwaje!!
😂😂😂Wanaficha chururu zaoSasa mrembo mzima si uibe hata niniu, Chururu🤣