Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
JitambulisheKundi langu silioni hapo😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JitambulisheKundi langu silioni hapo😅
Hiyo no 8 ikipitiliza kupita kiasi, Mchungaji ndiyo anasikilizwa kuliko Mume!!Nikipata no 8 naweka ndani
Natimua tu hamna mda wa kuvumiliaHiyo no 8 ikipitiliza kupita kiasi, Mchungaji ndiyo anasikilizwa kuliko Mume!!
Wakishazoea mji wanasumbua haoNjoo huku nanjilinji mkuu wapo wa kutosha hata ukitaka koneksheni nakupa
😂😂😂Nyie mnajulikana Kwa ubahili msisingizie vikoba 😂😂Haoa dawa ni ndogo sana, naanza kuacha hela inayoendana na hizo mboga za majani (mfn 2000 au 3000) na nikirudi usiku narudi nimeshiba ili nisile nyumbani.
Nikifanya hivi week moja ni lazima atauleta tu mjadala mezani.
😂😂😂😂😂😂Nyie mnajulikana Kwa ubahili msisingizie vikoba 😂😂
Wewe inatakiwa upewe ban na id hii ushakuwa chokoraa 😂😂😂Umesahau PORNSTAR WIVES wanaotembeza vidude vyao mitaani.
Umpate wapi? Wewe kibuzi malika 😂😂😂Nikipata no 8 naweka ndani
Jirani 😂😂😂Ongezea
VICHECHE hawa hua wako tayari kutoa tunda hata kwa muuza Sumu za Panya na viroboto,ili mradi tu awe ameonja kila aina ya Ndizi.
Alifanya nini huyu ngadu 🤣🤣🤣Si bora angebadili. Kilimkuta kizito
My wiiNamba yangu haipo, ukileta list mpya nishtue
😀😀Mbona “KAUSHA DAMU” hamjatuweka au leo wanaume mna pesa?? 🤣🤣🤣
Nambie my wii, my sugar, my potato, afisa wa utramu wa kaka, one and only. 😍😘💋My wii
Nimetafuta kausha damu sioni wii au wameanza kuhonga bila malalamiko?? 🤣🤣🤣
Usiwastue wakiamka tutakoma hayo malalamiko😂😂😂Nimetafuta kausha damu sioni wii au wameanza kuhonga bila malalamiko?? 🤣🤣🤣
Mana humu siku hizi tunaingia usiku usikute nimepitwa 😂😂
Nipo hapa mahi Wii,mtu wa maana kabisaNambie my wii, my sugar, my potato, afisa wa utramu wa kaka, one and only. 😍😘💋
🙄Nikajua upo unakoroma saivMbona “KAUSHA DAMU” hamjatuweka au leo wanaume mna pesa?? 🤣🤣🤣