Kwanza alijifanya ananipenda kuliko pitiliza,anagombana na kila mtu eti kwasababu yangu,hataki niwe nawasikiliza hata wazazi wangu,yaan alipenda nimsikilize yeye tu
Alinifanya pia nikawa na matumizi makubwa ya kipesa wakati huo naendesha miradi ya familia
Pia alianzisha tabia za kufanya vitendo vya kujitoa uhai pale anapohis niko na wanawake wengine