katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Mi mmasai bana nikujivunia umasai ni fahari yangu.
Ni kabila ile ingine imeshashindwa kudumisha mila
Ni kabila ile ingine imeshashindwa kudumisha mila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafiti feki huu wala usiwe na wasiwasi. Nina wasiwasi hata sampling, Tanzania ina makabila zaidi ya 120. Je utafiti uliyahusisha yote na idadi sawa ya couples kutoka kila kabila? Na hakuna waliokufa ndani ya muda wa utafiti?Na mimi nisiye na kabila
Haya uliyoyasema ndiyo ukweli wenyewe ambao inabidi kila tafiti inayohusu ndoa iutumie kama concluding remarks. Siyo mbwembwe kama hizi za eti wanawake wa kabila, au aina fulani wanadumu kwenye ndoa, uongo mtu. Watu wa NGOs nyingi na baadhi ya academicians kama kitila mkumbo wa wizara ya maji ndiyo njia zao za kujipatia fedha au kupanda vyeo vya kitaaluma kwa kufanya utafiti feki na kuandika machapisho feki yasiyokuwa ya uhalisia na hayana maana yoyote kwenye jamii.Kwa kuwa makabila yapo zaidi ya 120 Tanzania, basi yalojitoteza hapo yote ni bora bila kujali ukubwa wa asilimia ambazo kimsingi haziakisi kabila jingine bali lilelile.
Anyway, tuliopo kwenye ndoa tunajua mengi na kwamba takwimu hizo mbali na elimu ilotolewa na mtoa mada, hazina uhalisia wowote. Mi nilioa mwanamke niliyemtoa bikira nikiamini nimepata chagua sahihi kwa mujibu wa imani ya jamii kuwahusu wenye bikira, bado najuta why I got married to her. Ndoa za sasa ni kizungumkuti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo najiuliza hapa, niowe mchaga au msukuma[emoji848]
Takwenya...Mi mmasai bana nikujivunia umasai ni fahari yangu.
Ni kabila ile ingine imeshashindwa kudumisha mila
Hawajaliwa mtoto wa kike Sky...Mama mkwe wangu anasema wazazi wake walimuita jioni kuwa kuna kijana anataka kunioa, kesho saa nne asubuhi mtakutana nae kanisani kama umempenda mtaandikisha ndoa.
Kesho yake asubuhi shangazi yake na mama yake walimsaidia kujiremba, alitokewa nguo na viatu. Wakamsindikiza mpaka kanisani.
Baada ya kuandikisha ndoa alionana na mchumba siku ya harusi. Ndoa ina miaka 50+
Hapana Son.!Mmang'ati eeh??
Sweetheart,Ni kabila lakini sio nafsi yako eti