Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Kuna chembe ya ukweli maana makabila mengine ( baadhi ya Pwani ) ni kweli hawadumu kwenye ndoa mfano bi Asha anaolewa na mme wa1 wanashindwana anapewa talaka anapendwa na Mudy anafunga ndoa tena baada ya miaka 2 talaka tena kitu ambacho mikoa furani huwezi kukikuta kamwe.
Samahani kwa mtizamo sina maana ya kibaguzi ni hali ambayo imewaadhili hadi rafiki zangu
 
Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za vijijini ndio zinadumu kuliko za mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa kidini na kikatiba
{kanisani miskitini na mahakani}
Utafiti unaonyesha wanawake wa makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo

1.Wasukuma 97.02%
2.Wakurya 96.99%
3.Wamasai 94.07%
4.Wamag'ati 89.25%
5.Waha 89.23%
6.Wamatengo 89.01%
7.Wangoni 88.00%
8.Wachaga 87.99%
9.Wafipa 87.82%
10.Wahangaza 85.05%
11.Wakinga 85.03%
12.Wabena 85.01%
13.Wahehe 83.08%
15.Wapare 79.00%
16.Wahaya 56.31%
17.Wanyamwezi 50%
18.Wajita 43.07%
19.Wagogo 40.92%
20.Wasambaa 39.78%
utafiti huu umefanyika kwa miaka 25 kwa kufaatilia ndoa ambazo zinadumu mfano asilimia 88 ya wanawake wa kingoni ambao waliolewa walidumu kwenye ndoa zao tangu utafiti uanze na 12% waliachika
lengo la utafiti ni kubaini mila ambazo zinaathiri ndoa katika jamii ili kutatua tatizo la kuvunjika kwa ndoa ambao haathiri watoto
_AINA KUMI NA SABA(17) ZA SADAKA AMBAZO HAZINA GHARAMA_*
*1.DUA*
*_[emoji117]Ombea watu dua mara kwa mara hata kama zako hazijajibiwa ikiwemo wazazi wako,marafiki nakadhalika_*

*2.ELIMU*
*_[emoji117]Fundisha chochote ulichojaaliwa kukifahamu hata adabu za kwenda chooni nakadhalika_*

*3.USHAURI*
*_[emoji117]Toa ushauri kwa mwenye matatizo au katika mambo yenye manufaa_*

*4.TABASSAMU*
*_[emoji117]Kuwa na uso wa furaha mbele ya jamii kwani mtumeﷺ anasema tabassam mbele ya ndugu yako ni sadaqa_*

*5.MSAADA*
*_[emoji117]Tatua matatizo ya watu kadri ya uwezo wako na hata kuwabebea mizigo yao_*

*6.MUDA*
*_[emoji117]Tumia muda wako kwa wazazi wako ukiwafanyia wema na watoto wako pamoja na jamaa zako na marafiki kwa ujumla_*

*7.MALEZI*
*_Lea vizuri watoto wako malezi mazuri nayo ni swadaqa kubwa kumlea mtoto mpaka akabaleghe na hata pia lea watoto wa jamii kiujumla_*

*8.UVUMILIVU*
*_[emoji117]Kuwa na subra wakati unaposongwa na matatizo na kipindi kigumu cha mitihani ya dunia_*

*9.KUMBUSHA*
*_[emoji117]Wakumbushe walioghafilika mambo ya kheri kama vile kusali,kusoma,kutoa sadaqa na kadhalika_*

*10.KATAZA MABAYA*
*_[emoji117]Unapoona baya kataza kama vile dhulma,ugomvi,wizi,uonevu nakadhalika_*

*11.ZUNGUMZA KWA UPOLE*
*_[emoji117]Shusha sauti yako unapozungumza na yeyote hata mtoto mdogo na wala usikaripie watu kuwa na hekma na upole_*

*12.SAMEHE*
*_[emoji117]Wasamehe waliokukosea hata iwe kosa la aina gani nawe Allah atakusamehe na wala usikubali kunyenyekewa wakati unapoombwa msamaha_*

*13.HESHIMA*
*_[emoji117]Kuwa na heshima kwa kila mtu ndipo utaishi vizuri na jamii mkubwa mheshimu mdogo na mdogo mheshimu mkubwa_*

*14.KUWA NA FURAHA KWA WENGINE*
*_[emoji117]Hata ukiwa na majonzi hata huzuni jaribu kucheka na watu ili uwe mchangamfu_*

*15.MTEMBELEE MGONJWA*
*_[emoji117]Hii ni haki ya muislamu kwa muislam mwenziw unapaswa kumtembelea anayeumwa ili kumfariji_*

*16.SAFISHA NJIA*
*_[emoji117]Ondoa uchafu kwenye njia yeyote inayopitiwa na watu ikiwemo mawe makaratasi vinyesi vya wanyama n.k._*

*17.MLISHE MKEO*
*_[emoji117]Lisha familia yako kwa kadri ya uwezo wako wote_*

Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo tafit nimeipuuza baada ya kuona wangoni
 
Kwa kuwa makabila yapo zaidi ya 120 Tanzania, basi yalojitoteza hapo yote ni bora bila kujali ukubwa wa asilimia ambazo kimsingi haziakisi kabila jingine bali lilelile.

Anyway, tuliopo kwenye ndoa tunajua mengi na kwamba takwimu hizo mbali na elimu ilotolewa na mtoa mada, hazina uhalisia wowote. Mi nilioa mwanamke niliyemtoa bikira nikiamini nimepata chagua sahihi kwa mujibu wa imani ya jamii kuwahusu wenye bikira, bado najuta why I got married to her. Ndoa za sasa ni kizungumkuti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wengi wana jimwambafai ukioa bikira umepata wife material? Embu tupe somo tuelewe na kusaidiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu watu wana disi kuchaguliwa mke. Kijana hakuna ujualo ni kama umetoka chuoni huko kwenye ajira haujui chochote ama umetoka six unaingia chuoni kwenye kozi selection unashauriwa na baba/kaka yako aliye kwenye ajira unakomaa kuwa wewe Unajua sana ama umesoma unaijua dunia ama unafuata passion. Kuna muda utapigwa na njaa mpaka utakumbuka ni kwa nini hata usingesoma ualimu usingepata shida.
Mama mkwe wangu anasema wazazi wake walimuita jioni kuwa kuna kijana anataka kukuoa, kesho saa nne asubuhi mtakutana nae kanisani kama umempenda mtaandikisha ndoa.
Kesho yake asubuhi shangazi yake na mama yake walimsaidia kujiremba, alitolewa nguo na viatu. Wakamsindikiza mpaka kanisani.

Baada ya kuandikisha ndoa alionana na mchumba siku ya harusi. Ndoa ina miaka 50+
 
Kwa kuwa makabila yapo zaidi ya 120 Tanzania, basi yalojitoteza hapo yote ni bora bila kujali ukubwa wa asilimia ambazo kimsingi haziakisi kabila jingine bali lilelile.

Anyway, tuliopo kwenye ndoa tunajua mengi na kwamba takwimu hizo mbali na elimu ilotolewa na mtoa mada, hazina uhalisia wowote. Mi nilioa mwanamke niliyemtoa bikira nikiamini nimepata chagua sahihi kwa mujibu wa imani ya jamii kuwahusu wenye bikira, bado najuta why I got married to her. Ndoa za sasa ni kizungumkuti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unachanganya mada. Hapa tunazungumzia kabila sio bikira.

God save us
 
Back
Top Bottom