Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabila gani hili kaka?yapo na nimehakikishiwa hivi karibuni.
Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za vijijini ndio zinadumu kuliko za mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa kidini na kikatiba
{kanisani miskitini na mahakani}
Utafiti unaonyesha wanawake wa makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo
Kwa kuwa makabila yapo zaidi ya 120 Tanzania, basi yalojitoteza hapo yote ni bora bila kujali ukubwa wa asilimia ambazo kimsingi haziakisi kabila jingine bali lilelile.
Anyway, tuliopo kwenye ndoa tunajua mengi na kwamba takwimu hizo mbali na elimu ilotolewa na mtoa mada, hazina uhalisia wowote. Mi nilioa mwanamke niliyemtoa bikira nikiamini nimepata chagua sahihi kwa mujibu wa imani ya jamii kuwahusu wenye bikira, bado najuta why I got married to her. Ndoa za sasa ni kizungumkuti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa unavyoona hizi takwimu zipo sawa ?Mie ninachoshukuru tu ni kuwa, kabila langu kwenye utafiti wa ndoa zinazodumu lipo 10 bora,
Hayo mengine watakuja kuyazungumzia wapendwa!!
Kwa mikoa ya pwani swala la kuachana ni sifa kwao kwa mwanamke na mwanaume mwanamke Kama hajaachika bado hajakamilika paka ahesabu kuanzia ndoa mbili na kuendelea ukitaka mwanamke wa kudumu nae owa alie achika kuanzia mara mbiliKuna chembe ya ukweli maana makabila mengine ( baadhi ya Pwani ) ni kweli hawadumu kwenye ndoa mfano bi Asha anaolewa na mme wa1 wanashindwana anapewa talaka anapendwa na Mudy anafunga ndoa tena baada ya miaka 2 talaka tena kitu ambacho mikoa furani huwezi kukikuta kamwe.
Samahani kwa mtizamo sina maana ya kibaguzi ni hali ambayo imewaadhili hadi rafiki zangu
Kabila zote za TangaKabila gani hili kaka?
Yaani hawa lazima akiolewa atulie maan kuolewa ni bahati kwake ikitokea akaachika ndio basi tena. hawataki kabisa kuchezea shilingi kwenye tundu la choo
Kabila langu halipo kwa hiyo sitodumu? 😂😂
sijawahi kuziamini kwa kweli, merry christmasHahaha, tafiti za JF ni tafiti hewa
Nikweli kabisa mkuu , sikulijua before mpka aliponibwagia watoto wa 2 kasepa zake bila sababu ya msingiKwa mikoa ya pwani swala la kuachana ni sifa kwao kwa mwanamke na mwanaume mwanamke Kama hajaachika bado hajakamilika paka ahesabu kuanzia ndoa mbili na kuendelea ukitaka mwanamke wa kudumu nae owa alie achika kuanzia mara mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
sijawahi kuziamini kwa kweli, merry christmas
Duuh simchezo!!Kabila zote za Tanga
Ahahahaha mnaringaWasukuma wote mikono hewani hivi[emoji137][emoji7][emoji7]#chiza gete#
Sent using Jamii Forums mobile app