Wale wa Twanga au?
Wasambaratikaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasambaratikaji
Warangi ni wazuri wa sura na rangi yao lakini kwenye uaminifu ni ziro maana hawajui kukataa ukiomba hunyimwiVipi kuhusu Warangi?
Eeh kwahiyo ndoa yao ni majanga[emoji40]Umepatia
Mpo sema chini uko kwenye nakadhalika (nk) hahahahaaa ..Mbn kabila la Warangi halipo kwenye huo utafiti ?
Ya kweli hayo kaka?Warangi ni wazuri wa sura na rangi yao lakini kwenye uaminifu ni ziro maana hawajui kukataa ukiomba hunyimwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyakyusa wapiUtafiti unaonyesha kuwa ndoa za Vijijini ndio zinadumu kuliko za Mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa Kidini na Kikatiba (Kanisani, Miskitini na Mahakamani)
Utafiti unaonyesha Wanawake wa Makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo
1.Wasukuma - 97.02%
Hujambo
ngoja nikajaribu sasa tatizo ng'ombe sina.Wanawake wa kisukuma wanyenyekevu sana na wachapa kazi.
Huwajui wewe hahahhaahaWanyakyusa wanavyojitahidi kudumu ndoani, eti hata top 20 Hawapo Dah,utafiti batili huuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha chuki binafsi, wanyaki wako vizuri bana😀Huwajui wewe hahahhaaha
Pole sana mkuuKwa kuwa makabila yapo zaidi ya 120 Tanzania, basi yalojitoteza hapo yote ni bora bila kujali ukubwa wa asilimia ambazo kimsingi haziakisi kabila jingine bali lilelile.
Anyway, tuliopo kwenye ndoa tunajua mengi na kwamba takwimu hizo mbali na elimu ilotolewa na mtoa mada, hazina uhalisia wowote. Mi nilioa mwanamke niliyemtoa bikira nikiamini nimepata chagua sahihi kwa mujibu wa imani ya jamii kuwahusu wenye bikira, bado najuta why I got married to her. Ndoa za sasa ni kizungumkuti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mkuu??Huu utafiti uko sawa kabisa. Nilipoona hakuna Wanyakyusa nikakubaliana na utafiti wako maana sidhani kama wanaweza kufikisha 19.6%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure