Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Aina za wanawake wanaodumu kwenye ndoa Tanzania

Nashauri asilimia za wapare wapewe wanyamwezi
 
Binafsi ninakubali utafiti huu. Mana katika kutafuta wife material kutokana na social background priority Yangu ilikuwa ni mkurya,mmasai na Msukuma. Nilidate na Msukuma nikaangukia kwa mkurya. Hayo wengine ni kuwasifia tu na kuwatafuna na kusepa ila ukweli naujua mwenyewe.
Kuna jamii chache zinazojua mana ya ndoa tukubaliane nalo.na pia kipimo kizuri ukitaka kujua kama kabla hilo ni zuri angalia kama wanaume Wa hilo kabila wanaoa wadada wao I.e mfano je muha anapenda kumuoa muha mwenzako ama anakimbilia jamii zingine. Hapo utawajua kama wazuri mana kwanza wao kwa wao wanajuana tabia zao kuliko wewe Wa kuja.

Binafsi huwa nashauri makabila haya yanafaa kutafuta wife material mmasai,mkurya,msukuma , muha ,haya makabila huwezi achwa ama kudharauliwa kisa umefulia. Wanakomaa ama wanavumilia halo zote za majira ya mwaka.
Siku hizi pesa pesa mkononi Tu hakuna cha ukabila

Fita fita mura
 
Kwa kuwa makabila yapo zaidi ya 120 Tanzania, basi yalojitoteza hapo yote ni bora bila kujali ukubwa wa asilimia ambazo kimsingi haziakisi kabila jingine bali lilelile.

Anyway, tuliopo kwenye ndoa tunajua mengi na kwamba takwimu hizo mbali na elimu ilotolewa na mtoa mada, hazina uhalisia wowote. Mi nilioa mwanamke niliyemtoa bikira nikiamini nimepata chagua sahihi kwa mujibu wa imani ya jamii kuwahusu wenye bikira, bado najuta why I got married to her. Ndoa za sasa ni kizungumkuti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndiyo MKE mzuri sana ni wewe Tu kuwa na akili maana Una agano la kudumu naye angano la damu

Hawa wengine nje ya bikira ni wake za watu Wana maagano ya kudumu na wale waliowatoa bikira
 
Just your mind perception so tusiokuwa na.pesa huku vijijini hatuoi ama
Huwezi kuoa bila pesa, Hilo liko wazi , utamlisha nn, utamvika nn, utamlaza wapi.

Mahali utatoa nini

Pesa ni pesa Tu , utofauti wetu ni KIWANGO cha pesa tu
 
Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za Vijijini ndio zinadumu kuliko za Mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa Kidini na Kikatiba (Kanisani, Miskitini na Mahakamani)

Utafiti unaonyesha Wanawake wa Makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo
1.Wasukuma - 97.02%
2.Wakurya - 96.99%
3.Wamasai - 94.07%
amii i

4.TABASSAMU: Kuwa na uso wa furaha mbele ya jamii kwani mtumeﷺ anasema tabassam mbele ya ndugu yako ni sadaqa

5.MSAADA: Tatua matatizo ya watu kadri ya uwezo wako na hata kuwabebea mizigo yao

6.MUDA: Tumia muda wako kwa wazazi wako ukiwafanyia wema na watoto wako pamoja na jamaa zako na marafiki kwa ujumla

7.MALEZI: Lea vizuri watoto wako malezi mazuri nayo ni swadaqa kubwa kumlea mtoto mpaka akabaleghe na hata pia lea watoto wa jamii kiujumla

8.UVUMILIVU: Kuwa na subra wakati unaposongwa na matatizo na kipindi kigumu cha mitihani ya dunia

9.KUMBUSHA: Wakumbushe walioghafilika mambo ya kheri kama vile kusali,kusoma,kutoa sadaqa na kadhalika

10.KATAZA MABAYA: Unapoona baya kataza kama vile dhulma,ugomvi,wizi,uonevu nakadhalika

11.ZUNGUMZA KWA UPOLE: Shusha sauti yako unapozungumza na yeyote hata mtoto mdogo na wala usikaripie watu kuwa na hekma na upole

12.SAMEHE: Wasamehe waliokukosea hata iwe kosa la aina gani nawe Allah atakusamehe na wala usikubali kunyenyekewa wakati unapoombwa msamaha

13.HESHIMA: Kuwa na heshima kwa kila mtu ndipo utaishi vizuri na jamii mkubwa mheshimu mdogo na mdogo mheshimu mkubwa

14.KUWA NA FURAHA KWA WENGINE: Hata ukiwa na majonzi hata huzuni jaribu kucheka na watu ili uwe mchangamfu

15.MTEMBELEE MGONJWA; Hii ni haki ya muislamu kwa muislam mwenziw unapaswa kumtembelea anayeumwa ili kumfariji

16.SAFISHA NJIA: Ondoa uchafu kwenye njia yeyote inayopitiwa na watu ikiwemo mawe makaratasi vinyesi vya wanyama n.k.

17.MLISHE MKEO: Lisha familia yako kwa kadri ya uwezo wako wote
Namba 14 ... haipo

Labda Watakuwa WANYAKYUSA tu. Haiwezekan kabila zito lenye hadhi yake lisiwepo kwenye list nzito kama hii.

"Mtunzi wa utafiti" vp?. Unabifu na wanyakyusa hatukuelewi.
 
Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za Vijijini ndio zinadumu kuliko za Mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa Kidini na Kikatiba (Kanisani, Miskitini na Mahakamani)

Utafiti unaonyesha Wanawake wa Makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo
1.Wasukuma - 97.02%
2.Wakurya - 96.99%
3.Wamasai - 94.07%
4.Wamag'ati - 89.25%
5.Waha - 89.23%
6.Wamatengo - 89.01%
7.Wangoni - 88.00%
8.Wachaga - 87.99%
9.Wafipa - 87.82%
10.Wahangaza - 85.05%
11.Wakinga - 85.03%
12.Wabena - 85.01%
13.Wahehe - 83.08%
15.Wapare - 79.00%
16.Wahaya - 56.31%
17.Wanyamwezi - 50%
18.Wajita - 43.07%
19.Wagogo - 40.92%
20.Wasambaa - 39.78%

Utafiti huu umefanyika kwa miaka 25 kwa kufaatilia ndoa ambazo zinadumu mfano asilimia 88 ya wanawake wa kingoni ambao waliolewa walidumu kwenye ndoa zao tangu utafiti uanze na 12% waliachika

Lengo la utafiti ni kubaini mila ambazo zinaathiri ndoa katika jamii ili kutatua tatizo la kuvunjika kwa ndoa ambao haathiri watoto

AINA KUMI NA SABA(17) ZA SADAKA AMBAZO HAZINA GHARAMA
1.DUA: Ombea watu dua mara kwa mara hata kama zako hazijajibiwa ikiwemo wazazi wako,marafiki nakadhalika

2.ELIMU: Fundisha chochote ulichojaaliwa kukifahamu hata adabu za kwenda chooni nakadhalika

3.USHAURI: Toa ushauri kwa mwenye matatizo au katika mambo yenye manufaa

4.TABASSAMU: Kuwa na uso wa furaha mbele ya jamii kwani mtumeﷺ anasema tabassam mbele ya ndugu yako ni sadaqa

5.MSAADA: Tatua matatizo ya watu kadri ya uwezo wako na hata kuwabebea mizigo yao

6.MUDA: Tumia muda wako kwa wazazi wako ukiwafanyia wema na watoto wako pamoja na jamaa zako na marafiki kwa ujumla

7.MALEZI: Lea vizuri watoto wako malezi mazuri nayo ni swadaqa kubwa kumlea mtoto mpaka akabaleghe na hata pia lea watoto wa jamii kiujumla

8.UVUMILIVU: Kuwa na subra wakati unaposongwa na matatizo na kipindi kigumu cha mitihani ya dunia

9.KUMBUSHA: Wakumbushe walioghafilika mambo ya kheri kama vile kusali,kusoma,kutoa sadaqa na kadhalika

10.KATAZA MABAYA: Unapoona baya kataza kama vile dhulma,ugomvi,wizi,uonevu nakadhalika

11.ZUNGUMZA KWA UPOLE: Shusha sauti yako unapozungumza na yeyote hata mtoto mdogo na wala usikaripie watu kuwa na hekma na upole

12.SAMEHE: Wasamehe waliokukosea hata iwe kosa la aina gani nawe Allah atakusamehe na wala usikubali kunyenyekewa wakati unapoombwa msamaha

13.HESHIMA: Kuwa na heshima kwa kila mtu ndipo utaishi vizuri na jamii mkubwa mheshimu mdogo na mdogo mheshimu mkubwa

14.KUWA NA FURAHA KWA WENGINE: Hata ukiwa na majonzi hata huzuni jaribu kucheka na watu ili uwe mchangamfu

15.MTEMBELEE MGONJWA; Hii ni haki ya muislamu kwa muislam mwenziw unapaswa kumtembelea anayeumwa ili kumfariji

16.SAFISHA NJIA: Ondoa uchafu kwenye njia yeyote inayopitiwa na watu ikiwemo mawe makaratasi vinyesi vya wanyama n.k.

17.MLISHE MKEO: Lisha familia yako kwa kadri ya uwezo wako wote
Hv wameru hawafanyiwagi utafiti
Ndio ndoa zinazodumu kwa,100%
 
Namba 14 ... haipo

Labda Watakuwa WANYAKYUSA tu. Haiwezekan kabila zito lenye hadhi yake lisiwepo kwenye list nzito kama hii.

"Mtunzi wa utafiti" vp?. Unabifu na wanyakyusa hatukuelewi.
Mbn kabila la Warangi halipo kwenye huo utafiti ?
 
Utafiti unaonyesha kuwa ndoa za Vijijini ndio zinadumu kuliko za Mijini pia unaeleza kuwa ndoa zinazofungishwa kimila ndio zinadumu kuliko zinazofungishwa Kidini na Kikatiba (Kanisani, Miskitini na Mahakamani)

Utafiti unaonyesha Wanawake wa Makabila 20 bora Tanzania wanaodumu kwenye ndoa kama ifuatavyo
1.Wasukuma - 97.02%
2.Wakurya - 96.99%
3.Wamasai - 94.07%
4.Wamag'ati - 89.25%
5.Waha - 89.23%
6.Wamatengo - 89.01%
7.Wangoni - 88.00%
8.Wachaga - 87.99%
9.Wafipa - 87.82%
10.Wahangaza - 85.05%
11.Wakinga - 85.03%
12.Wabena - 85.01%
13.Wahehe - 83.08%
15.Wapare - 79.00%
16.Wahaya - 56.31%
17.Wanyamwezi - 50%
18.Wajita - 43.07%
19.Wagogo - 40.92%
20.Wasambaa - 39.78%

Utafiti huu umefanyika kwa miaka 25 kwa kufaatilia ndoa ambazo zinadumu mfano asilimia 88 ya wanawake wa kingoni ambao waliolewa walidumu kwenye ndoa zao tangu utafiti uanze na 12% waliachika

Lengo la utafiti ni kubaini mila ambazo zinaathiri ndoa katika jamii ili kutatua tatizo la kuvunjika kwa ndoa ambao haathiri watoto

AINA KUMI NA SABA(17) ZA SADAKA AMBAZO HAZINA GHARAMA
1.DUA: Ombea watu dua mara kwa mara hata kama zako hazijajibiwa ikiwemo wazazi wako,marafiki nakadhalika

2.ELIMU: Fundisha chochote ulichojaaliwa kukifahamu hata adabu za kwenda chooni nakadhalika

3.USHAURI: Toa ushauri kwa mwenye matatizo au katika mambo yenye manufaa

4.TABASSAMU: Kuwa na uso wa furaha mbele ya jamii kwani mtumeﷺ anasema tabassam mbele ya ndugu yako ni sadaqa

5.MSAADA: Tatua matatizo ya watu kadri ya uwezo wako na hata kuwabebea mizigo yao

6.MUDA: Tumia muda wako kwa wazazi wako ukiwafanyia wema na watoto wako pamoja na jamaa zako na marafiki kwa ujumla

7.MALEZI: Lea vizuri watoto wako malezi mazuri nayo ni swadaqa kubwa kumlea mtoto mpaka akabaleghe na hata pia lea watoto wa jamii kiujumla

8.UVUMILIVU: Kuwa na subra wakati unaposongwa na matatizo na kipindi kigumu cha mitihani ya dunia

9.KUMBUSHA: Wakumbushe walioghafilika mambo ya kheri kama vile kusali,kusoma,kutoa sadaqa na kadhalika

10.KATAZA MABAYA: Unapoona baya kataza kama vile dhulma,ugomvi,wizi,uonevu nakadhalika

11.ZUNGUMZA KWA UPOLE: Shusha sauti yako unapozungumza na yeyote hata mtoto mdogo na wala usikaripie watu kuwa na hekma na upole

12.SAMEHE: Wasamehe waliokukosea hata iwe kosa la aina gani nawe Allah atakusamehe na wala usikubali kunyenyekewa wakati unapoombwa msamaha

13.HESHIMA: Kuwa na heshima kwa kila mtu ndipo utaishi vizuri na jamii mkubwa mheshimu mdogo na mdogo mheshimu mkubwa

14.KUWA NA FURAHA KWA WENGINE: Hata ukiwa na majonzi hata huzuni jaribu kucheka na watu ili uwe mchangamfu

15.MTEMBELEE MGONJWA; Hii ni haki ya muislamu kwa muislam mwenziw unapaswa kumtembelea anayeumwa ili kumfariji

16.SAFISHA NJIA: Ondoa uchafu kwenye njia yeyote inayopitiwa na watu ikiwemo mawe makaratasi vinyesi vya wanyama n.k.

17.MLISHE MKEO: Lisha familia yako kwa kadri ya uwezo wako wote
Kaka, kabila la WARANGI hujalipa heshima yake katika utafiti wako. Maana nimetafuta kuanzia mwanzo mpaka mwisho sijaliona kabisa.
 
15,19.20. Kama wanaoana wenyewe kwa wenyewe sawa lakini chochonde kama wewe ni mwanaume usijaribu kujipendekeza utapanda juu ya mti huko mbeleni nakuambia naomba niishie hapo
Vipi kuhusu Warangi?
 
Back
Top Bottom