Aina za watu Maofisini

Aina za watu Maofisini

Kuna wale hawana time na watu, yupo bize na kilichomleta hana mazoea sana, na hutafsiriwa ana maringo kwasababu hashiriki, vijiwe vya umbea au kujiweka karibu na watu.
Hii ipo sana, hata ktk maisha ya kawaida.
Wengine tumeshazoea kuwa buzzy na life letu
 
Huyo ndo mimi
Sababu mwanzon nilijidai mtu wa watu yaliyonikuta Mungu anajua
Nikaishia kupelekwa mbwinde huko
Nimehamia jijini kwa Sasa ,aiseeh sina mazoea kabisa,salamu,kazi,naenda na lunch yangu,time ikiisha nasign off nasepa🤣🤣sema wameanza kuniogopa,ila sijali najilinda ,sitaki yaliyonikuta yajirudie🙏
Yaani unahamishwa halafu unahamia Tena..
Kweli wewe mtu mkubwa

Hongera sanaaa

#YNWA
 
Kuna wale kopa kopa, yaani hela ikiingia tu ataanza kulia shida ilhali wote ni wafanyakazi, hawa dawa bi mikausho tu meseji imeingia wote atataka umkope kwa visingizio mara bodi sijui mikopo ya huko nyuma etc.

Kila mtu ashinde mechi zake ila udananda jau
 
Kama unafikiri kufanya kazi kwa bidii tu kunatosha.. utashangaa unafeli kila siku kwenye maofisi ogopa sana watu, hata uwe mchapakazi vipi, waelewe watu kwanza ili uweze kufaulu.

Hizi ni baadhi ya aina za watu.

1. Machawa
Hawa kazi Yao kujipendekeza na kuwachafua wengine ishi nao Kwa tahadhari.

2. Wabaguzi
Aina hii nayo kuwa nayo makini. Wanaweza kukubagua kisa Tu mgeni au kijana wenyewe wakongwe..au kabila hata dini n.k.. . sometimes ubaguzi unaweza kuwa chanzo chake ni wewe kuja kum replace alietoka ambae alikuwa 'kipenzi chao"..

3. Wanafamilia
Pay attention...ofisi nyingi zina wanafamilia na huwezi jua sometimes Hadi uambiwe...unaweza kuta hawasemeshani lakini kwenye kulinda maslahi yao wanakugeuka.. wengine majina tofauti na hata hawafanani kumbe ndugu kabisa...

4. Wanafamilia bandia
Unawajua wale wanaoitana shemeji ...au mkwe.... maofisini..au hata wifi au Mama...au mjomba?

Hizi familia bandia zina kawaida ya kujenga bond yenye nguvu ajabu...ukigusa mmoja Tu umegusa wengine...kaa nao Kwa tahadhari.

5. Wazee wa dili
Hawa nao kaa nao Kwa tahadhari... unaweza fikiri unamripoti mtu Kwa wizi kumbe unapopeleka ripoti Wana mgao wao.....ishi Kwa tahadhari sometimes Bora kujifanya husikii kitu ,huoni kitu.

6. Wazembe
Hawa jitahidi uwajue mapema na uishi nao Kwa tahadhari mapema sana... wengine kama "wachawi"..uzembe atafanya yeye...Kesi anapata mwingine.....

7. Vimbelembele kwenye shughuli
Hakikisha unaenda kwenye misiba au harusi au sherehe za ofisi halafu watazame wale vimbelembele wa kwenye shughuli. Kaa nao Kwa umakini mno. Wengi hutumia hizi shughuli kujiweka close na bosses na Ku manipulate their position and power. Sehemu yeyote yenye emotional issues. Hawa vimbelembele ni watu hatari mno mno..kaa Kwa tahadhari.

8 Coward leaders
Sometimes unaweza jikuta unaumia simply sababu kiongozi wako ni muoga au hawezi ongea vizuri, jitahidi uepuke Viongozi waoga. Bora ujisimamie mwenyewe ikibidi.

.. mengine mtajazia
100%

Nilishafanya ofisi imejaa machawa, ndugu, na umbea wenye uswahili mwingi nili-resign baada ya miezi 6.

Nyingine Boss alikuwa anapenda kuongea vitu behind my back haniface direct sababu nilikuwa serious sana, bold na straight. Alikuwa akichakata papuchi team nzima niliyokuwa na supervise (walikuwa ladies tu) wakaanza kuwa wavivu hawawezi tena kudeliver nikamchana boss makavu alafu nikamchapa na resignation.

Kwa kifupi kazini kuna mambo hasa private sector usijaribu kuwa part ya ujinga kwenye ofisi, kuwa tofauti inalipa.
 
100%

Nilishafanya ofisi imejaa machawa, ndugu, na umbea wenye uswahili mwingi nili-resign baada ya miezi 6.

Nyingine Boss alikuwa anapenda kuongea vitu behind my back haniface direct sababu nilikuwa serious sana, bold na straight. Alikuwa akichakata papuchi team nzima niliyokuwa na supervise (walikuwa ladies tu) wakaanza kuwa wavivu hawawezi tena kudeliver nikamchana boss makavu alafu nikamchapa na resignation.

Kwa kifupi kazini kuna mambo hasa private sector usijaribu kuwa part ya ujinga kwenye ofisi, kuwa tofauti inalipa.
Mkuu wewe hukuchakata hata moja.
 
Kama unafikiri kufanya kazi kwa bidii tu kunatosha.. utashangaa unafeli kila siku kwenye maofisi ogopa sana watu, hata uwe mchapakazi vipi, waelewe watu kwanza ili uweze kufaulu.

Hizi ni baadhi ya aina za watu.

1. Machawa
Hawa kazi Yao kujipendekeza na kuwachafua wengine ishi nao Kwa tahadhari.

2. Wabaguzi
Aina hii nayo kuwa nayo makini. Wanaweza kukubagua kisa Tu mgeni au kijana wenyewe wakongwe..au kabila hata dini n.k.. . sometimes ubaguzi unaweza kuwa chanzo chake ni wewe kuja kum replace alietoka ambae alikuwa 'kipenzi chao"..

3. Wanafamilia
Pay attention...ofisi nyingi zina wanafamilia na huwezi jua sometimes Hadi uambiwe...unaweza kuta hawasemeshani lakini kwenye kulinda maslahi yao wanakugeuka.. wengine majina tofauti na hata hawafanani kumbe ndugu kabisa...

4. Wanafamilia bandia
Unawajua wale wanaoitana shemeji ...au mkwe.... maofisini..au hata wifi au Mama...au mjomba?

Hizi familia bandia zina kawaida ya kujenga bond yenye nguvu ajabu...ukigusa mmoja Tu umegusa wengine...kaa nao Kwa tahadhari.

5. Wazee wa dili
Hawa nao kaa nao Kwa tahadhari... unaweza fikiri unamripoti mtu Kwa wizi kumbe unapopeleka ripoti Wana mgao wao.....ishi Kwa tahadhari sometimes Bora kujifanya husikii kitu ,huoni kitu.

6. Wazembe
Hawa jitahidi uwajue mapema na uishi nao Kwa tahadhari mapema sana... wengine kama "wachawi"..uzembe atafanya yeye...Kesi anapata mwingine.....

7. Vimbelembele kwenye shughuli
Hakikisha unaenda kwenye misiba au harusi au sherehe za ofisi halafu watazame wale vimbelembele wa kwenye shughuli. Kaa nao Kwa umakini mno. Wengi hutumia hizi shughuli kujiweka close na bosses na Ku manipulate their position and power. Sehemu yeyote yenye emotional issues. Hawa vimbelembele ni watu hatari mno mno..kaa Kwa tahadhari.

8 Coward leaders
Sometimes unaweza jikuta unaumia simply sababu kiongozi wako ni muoga au hawezi ongea vizuri, jitahidi uepuke Viongozi waoga. Bora ujisimamie mwenyewe ikibidi.

.. mengine mtajazia
No 2 hiyo inanihusu!
nilipigwa tunguri za hatar ilibaki kidogo niache kazi . Bahati nzuri Kuna mtu WA kijijin nikampa Mikasa ya ndumba ninazo pigwa akasema Baki hapo hapo hakuna kumuogopa KIUMBE ambae anapewa pumzi na ALLAH.!

Kua uyaone,huko makazini Kuna mambo ya ajabu Hadi ukisimuliwa unaweza ukacheka na kushangaaa

Sehemu zenye rizki Zina mambo mengi sana ndugu zangu.!
 
Hiyo ya undugu balaa, kuna watu sikujua kabisa lkn kuna siku lilitokea tukio flan lao ndo nkashangaa kumbe almost kila mtu ni ndugu ofisi ile
 
Back
Top Bottom