Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limesitisha Safari zake kwenda Mumbai nchini India kuanzia leo Mei 4 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Virusi vya Corona.
Abiria wote walioathiriwa na uamuzi huu watarudishiwa gharama zao za Safari.
INDIA: VISA VYAFIKIA MILIONI 20, UPATIKANAJI OXYGEN BADO CHANGAMOTO.
Hospitali zaomba misaada huku Jeshi likitakiwa kusaidia kukabiliana na mlipuko.
Wataalamu waonya idadi halisi za visa na vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inavyoripotiwa.
Soma India: Maambukizi ya Corona yafikia Milioni 20
Abiria wote walioathiriwa na uamuzi huu watarudishiwa gharama zao za Safari.
INDIA: VISA VYAFIKIA MILIONI 20, UPATIKANAJI OXYGEN BADO CHANGAMOTO.
Hospitali zaomba misaada huku Jeshi likitakiwa kusaidia kukabiliana na mlipuko.
Wataalamu waonya idadi halisi za visa na vifo inaweza kuwa kubwa kuliko inavyoripotiwa.
Soma India: Maambukizi ya Corona yafikia Milioni 20