Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumuulize Slow Slow, alituambia kwamba ameiambia Corona ikae nasi kwa adabu.Tuchukue tahadhari, usalama wa maisha yako huanza na wewe. Tusijisahau sana. Nawaza, hivi chanjo inayopigiwa chapuo na kuwa imeshaanza kutumika imetoa matokeo chanya? Au bado CORONA imedinda tu? Watuletee matokeo ya chanjo km vile ASTRAZENECA, SPUTNIK V, NOVAVAX etc etc.
Kwani Polepole anasemaje kuhusu Corona kukaa na sisi kwa adabu?MATAGA wamenuna.
Wimbo wa Legacy umechuja. Labda watakuja na kibao kingine.Hivi wale wapigania lagacy wako wapi?
Siku hizi wamepungua kasi kabisa.
Tulitakiwa kuanza kuzuia wanaotoka huko kuingia nchini.First good step, then next tuzuie abiria kutoka India kuingia nchini kwetu.
Correct. These imbecile have all along been going to fetch the COVID 19 new/deadly variant from India! So sad!Nahisi tumeshachelewa.....kwa nini kulikuwa na kigugumizi ?......very sad indeed.
Kipi kimeongozwa kitaalamu?. Utakuwa kilaza wa kutupa, hongera.Mwendazake Angepewa hata sekunde mbili akaona namna nchi inavyoongozwa kitaalamu awamu Hii hakika angekufa tena mara ya pili kwa mshtuko😹😹
..Sukuma gang.Bibi yako kabila gani?
MfipaBibi yako kabila gani?
Baki njia kuuMagufuli kachanjwa chanjo kisirisiri hataki sisi tuchanjwe anataka tufe, baada ya wiki chache magufuli kafa kwa corona angekubali chanjo yasingetokea haya