Air Tanzania (ATCL) yasitisha safari za Ndege kwenda Mumbai India

Nan alikuaminisha habar hyo mkuu?
 
Hivi wale wapigania lagacy wako wapi?

Siku hizi wamepungua kasi kabisa.
Ww ndo unayehangaika mzimu wa Magufuli unawatesa Chaggadema hamuishi kumtaja Mtu alishafariki lkn Kila siku Mwendazake Ohoooo Mara hivi kwani unafikiri Legacy ya Magufuli niyakusahau kirahisi ni suala la Muda tu mtakuja na Correlation analysis za awamu zote za uongozi endeleeni kutengeneza chuki halafu hamjawahi kuishiwa Chuki kwa watu wanaokuwa na Mitazamo tofauti na Chadema/Mbowe/Lissu Leo mko na Majaliwa na Ndugai Makonda mmesahau kidogo kwa sababu hauko Serikali mna roho ya kwann sana nyie watu.
 
Kwanza wamechelewa tangu tuanze kusikia habari za huko India muda sasa! Afadhali tu kwakweli

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…