Mbona sisi tunapanda ndege kwa pesa zetu kwa miaka mingi tu.๐๐๐๐๐ NGO zimefungwa wazee wa Activity feki hawana jeuri tena ya kukalia mbawa za ATC๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sisi tunapanda ndege kwa pesa zetu kwa miaka mingi tu.๐๐๐๐๐ NGO zimefungwa wazee wa Activity feki hawana jeuri tena ya kukalia mbawa za ATC๐
Hii ni bei ya promotions?Mtwara, here we come!
Starting February 17, 2025, fly with Air Tanzania to Mtwara every Monday, Wednesday, and Friday at unbeatable fares!
One-way: TZS 122,200
Round-trip: TZS 199,000
Book your seat now
๐ +255 748 773 900 | ๐ www.airtanzania.co.tz
#AirTanzania #Mtwara #TheWingsOfKilimanjaro
Hawawezi. Kina Mwigulu ndo kwanza watoza raia wakanunue timu, wachezaji na mabasi!Nashangaaa Hadi sasa Serikali sikivu iko kimya Tu Wala hakuna mkakati wowote wa ku-rescue situation! MDH wamefunga Ofisi nadhani