Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kwani swala ni kuzingua au swala ni kuwa tegemezi wa jala kutoka USAID na PEPFAR. Yani wote wanao operate chini ya hao wafadhili wote wanavuta mashuka sahizi 😂AMREF walizingua kitu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani swala ni kuzingua au swala ni kuwa tegemezi wa jala kutoka USAID na PEPFAR. Yani wote wanao operate chini ya hao wafadhili wote wanavuta mashuka sahizi 😂AMREF walizingua kitu gani?
Management and Development for Health. Hio taasisi iliokuwa inafanya kazi chini ya wizara ya afya kwa msaada wa watu wa Marekani.MDH ndio akina nani mkuu...??
Maana umeandika kana kwamba kila mtu anawajua hao MDH...🙄
Hao jamaa wanaofanya huko wana maisha mazuri sana. Hela tamu sana ya hizo NGO.Kwa kweli Sijui vizuri ila mzigo wa Global Fund ulianzia Save the Children, Mradi ukiitwa Global Fund HIV/AIDS and TB "nasikia" wakubwa Serikalini wakaweka ngumu, kwahio award iliyofuata wakapewa AMREF, ukumbuke hizo zote ni billions of Tzs, sasa "nasikia" figisu zikaanza kuwa MD wa AMREF sio Mtanzania na blah blah kibao, Ndio phase iliyofuata wakapigwa chini, mzigo ukaenda huko MDH na Benjamin Mkapa Foundation nadhani.
Kaka huo mpunga wa Global Fund sio wa kitoto, ni pesa ya kufa MTU.
Watapakia wauza korosho sasa 🤣kWeli abiria wengi walikuwa wa maNGO's sasa itakuwa ni mziki
MD wa NGO mojawapo alikua (2017) analipwa 23,000,000 kwa mwezi, leave alone nyumba anayolipiwa, airtime, simu, na kusomeshewa watoto.Hao jamaa wanaofanya huko wana maisha mazuri sana. Hela tamu sana ya hizo NGO.
Hesabu za ndege haziendani na standard of living ila kwa costing ziko sahihi. Cha kuboresha ni hali za watu za uchumi ili waweze ku afford ndege sio kushusha bei za ndege.
Huo mshahara means wewe hauugusi maana vingine vyote unalipiwa na ofisi, mafuta, ada, bundle za simu na hospitali. Yani maisha ya peponi kabisa 😁.MD wa NGO mojawapo alikua (2017) analipwa 23,000,000 kwa mwezi, leave alone nyumba anayolipiwa, airtime, simu, na kusomeshewa watoto.
Kwanini hampeleki ndege Mafia?? Mnatunyima Meli hata ndege pia hamtaki pamoja na nauli kuwa kubwa kuliko Mtwara.Mtwara, here we come!
Starting February 17, 2025, fly with Air Tanzania to Mtwara every Monday, Wednesday, and Friday at unbeatable fares!
One-way: TZS 122,200
Round-trip: TZS 199,000
Book your seat now
📞 +255 748 773 900 | 🌐 www.airtanzania.co.tz
#AirTanzania #Mtwara #TheWingsOfKilimanjaro
Ila nikaondoka baada ya kupata ajira ya serikaliHawa hapa, kirefu chake nadhani ni Management for Development and Health (MDH)View attachment 3229491
Mtapanda na majini yenu kwenye ndege za watu hahahahahaa (kidding)Kwanini hampeleki ndege Mafia?? Mnatunyima Meli hata ndege pia hamtaki pamoja na nauli kuwa kubwa kuliko Mtwara.
Huyo ni cha mtoto, huyo ni MD wa Kibongo, ukiskia kwenye NGO hizi kubwa kubwa amekuja mtu anaitwa Expatriate au Country Manager, ukabahatika kukutana na mzigo anaopokea, unaweza kuzimia. Mfano, kuna NGO niliwahi kufanya nao kazi miaka ya 2013 hapo, yule Country Director alikua analipiwa nyumba kule Oysterbay kwa $3000 na service charge $500 kwa mwezi. Na tulikua tunalipa kwa mwaka na ilikua siku ukitaka kurudisha nyumba ya watu, unatakiwa kuifanyia marekebisho ambayo hayo marekebisho, mwenye nhyumba ndio atatuma mafundi wake na watakuletea tu invoice wewe.Huo mshahara means wewe hauugusi maana vingine vyote unalipiwa na ofisi, mafuta, ada, bundle za simu na hospitali. Yani maisha ya peponi kabisa 😁.
Hapo bado hajachezesha deals zake na vijana wake.
Nikiri kuwa mm ni mmoja wa wanufaika wa hizo activities za hao watu wa NGO, ingawa sifanyi kazi huko. Ila naona hali inaenda kuwa ngumu aisee, maana kuna workshops kadhaa zimeshakuwa cancelled hapa ni utata😁😁😁😁😁 NGO zimefungwa wazee wa Activity feki hawana jeuri tena ya kukalia mbawa za ATC😂
Usiongopee watu tunapenda intellectual aside na shake au chamber ya uongo iweje world vision na save the children ziwe za marekani huna unachokijuaNi Sera ya NGOs nyingi za kimataifa nchini kusafirisha staff/wageni kwa ndege (preferably ATC) kwa ajili ya safety/usalama. Sasa kimeumana tayari watu wapo home wiki ya pili ATC mjipange na wafanyakazi wa Halmashauri hukoo Buhigwe sasa.
ROUTE zilizokuwa maarufu kwa wafanyakazi wa NGOs za kimataifa
1. Dar-Mwanza,
2. Dar-Geita,
3. Dar-Kigoma,
4. Dar-Iringa,
5. Dar-Mtwara.
**
i. ICAP,
ii. MDH,
iii. Save the Children,
iv. EGPAF,
v. Jhpiego,
vi. THPS,
vii. World Vision,
viii. RTI,
ix. CRS,
x. PSI,
xi. Delloitte (Auditing).
Haya mashirika yalijikita kikabila zaidi bora yasirudi tenaHivi MDH ndio ile iko pale maeneo ya Mikocheni?
Huijui Mafia wewe unafikiri ipo kama huko kwenu mikoani mnaua mazeruzeru. Kaangalie number ya watalii yatatu kwa mikoa ya Bongo.Mtapanda na majini yenu kwenye ndege za watu hahahahahaa (kidding)
HahahahaTulia,yaan muda utasema
Yaani wewe ukishindwa kupanda ndege unafikiri watz wote hawawezi panda ndege? Sisi Kanda ya Ziwa tunapanda ndege miaka yote kwa pesa zetu wala siyo hizo NGO zenu uchwara.Huko sahihi ata hapa nyumbani Iringa, ATCL inarudisha huduma uwanja wa Nduli. Lakini nakumbuka kabla ya matengenezo nilikuwa mmoja wa wasafiri. Npesa ya project ndiyo ilikuwa inanisafirisha siwezi kutoa pesa yangu mkonon kulipa 335,000/=. Pia nakumbuka wasafiri wengi walikuwa ni wafanyakazi wa NGOs na wachina wachache kutoka Mafinga. Kimeumana salary power ya serikali haiwezekani mtumishi wa uma kusafiri