Air Tanzania kuathirika kwa NGOs kukatiwa Misaada na USAID

Air Tanzania kuathirika kwa NGOs kukatiwa Misaada na USAID

Kwa kweli Sijui vizuri ila mzigo wa Global Fund ulianzia Save the Children, Mradi ukiitwa Global Fund HIV/AIDS and TB "nasikia" wakubwa Serikalini wakaweka ngumu, kwahio award iliyofuata wakapewa AMREF, ukumbuke hizo zote ni billions of Tzs, sasa "nasikia" figisu zikaanza kuwa MD wa AMREF sio Mtanzania na blah blah kibao, Ndio phase iliyofuata wakapigwa chini, mzigo ukaenda huko MDH na Benjamin Mkapa Foundation nadhani.

Kaka huo mpunga wa Global Fund sio wa kitoto, ni pesa ya kufa MTU.
Hao jamaa wanaofanya huko wana maisha mazuri sana. Hela tamu sana ya hizo NGO.
 
Inawezekana hizo taasisi zilkuwa chanzo cha utakatishaji fedha za wahuni wa USA, watu wetu kulipwa mishahara mikubwa ilikuwa sehemu ya utakatishaji na vitengo vya ujasusi vya CIA kwenye operation zake za Africa ili kupata watu wakuwainstalll kwenye mifumo.
 
Hesabu za ndege haziendani na standard of living ila kwa costing ziko sahihi. Cha kuboresha ni hali za watu za uchumi ili waweze ku afford ndege sio kushusha bei za ndege.

Yah nakubaliana na wewe maana lengo kuu ni kurahisisha usafiri na kuspeed up uzarishaji kwa watanzania.
 
MD wa NGO mojawapo alikua (2017) analipwa 23,000,000 kwa mwezi, leave alone nyumba anayolipiwa, airtime, simu, na kusomeshewa watoto.
Huo mshahara means wewe hauugusi maana vingine vyote unalipiwa na ofisi, mafuta, ada, bundle za simu na hospitali. Yani maisha ya peponi kabisa 😁.

Hapo bado hajachezesha deals zake na vijana wake.
 
Mtwara, here we come!
Starting February 17, 2025, fly with Air Tanzania to Mtwara every Monday, Wednesday, and Friday at unbeatable fares!

One-way: TZS 122,200
Round-trip: TZS 199,000

Book your seat now
📞 +255 748 773 900 | 🌐 www.airtanzania.co.tz

#AirTanzania #Mtwara #TheWingsOfKilimanjaro
Kwanini hampeleki ndege Mafia?? Mnatunyima Meli hata ndege pia hamtaki pamoja na nauli kuwa kubwa kuliko Mtwara.
 
Huo mshahara means wewe hauugusi maana vingine vyote unalipiwa na ofisi, mafuta, ada, bundle za simu na hospitali. Yani maisha ya peponi kabisa 😁.

Hapo bado hajachezesha deals zake na vijana wake.
Huyo ni cha mtoto, huyo ni MD wa Kibongo, ukiskia kwenye NGO hizi kubwa kubwa amekuja mtu anaitwa Expatriate au Country Manager, ukabahatika kukutana na mzigo anaopokea, unaweza kuzimia. Mfano, kuna NGO niliwahi kufanya nao kazi miaka ya 2013 hapo, yule Country Director alikua analipiwa nyumba kule Oysterbay kwa $3000 na service charge $500 kwa mwezi. Na tulikua tunalipa kwa mwaka na ilikua siku ukitaka kurudisha nyumba ya watu, unatakiwa kuifanyia marekebisho ambayo hayo marekebisho, mwenye nhyumba ndio atatuma mafundi wake na watakuletea tu invoice wewe.
watoto wake walikua wanasomeshwa pale Tanganyika International school,, gari ya kazini ndio ilikua inaenda kuwapeleka na kuwachukua mchana na kuwarudisha home, ole wake dereva achelewe. watoto ada jumla nadhani ilikua kama million 40 hivi kama sijasahau.

Miaka ile hakukua na whatsapp call, kuna kitu kilikua kinaitwa roaming, kwahio akisafiri kwenda popote pale anaweka roaming, kuna mwezi mmoja nakumbuka tuliletewa bill ya millioni nne ( 2013) na watu wa airtel.

kwa kifupi sana, hizi NGO ukichukua bajeti ya kuwahudumia hao expatriates ni sawa na MRADI unaojitegemea, yaani kuna mmoja tulimnunulia furnitures za kufuru, hadi garden chairs..... yule wa mwisho kufanya nae kazi ilikua 2018, jamaa alikua anaishi kwenye apartment kule karibu na fish market mbele huko unaangalia bahari kwa chini, tulikua (NGO) tunalipa dollar 5000 kwa mwezi, umeme bill ilikiua inakuja hadi millioni kwa mwezi......

Trump yuko sahihi aiseeee
 
😁😁😁😁😁 NGO zimefungwa wazee wa Activity feki hawana jeuri tena ya kukalia mbawa za ATC😂
Nikiri kuwa mm ni mmoja wa wanufaika wa hizo activities za hao watu wa NGO, ingawa sifanyi kazi huko. Ila naona hali inaenda kuwa ngumu aisee, maana kuna workshops kadhaa zimeshakuwa cancelled hapa ni utata
 
Ni Sera ya NGOs nyingi za kimataifa nchini kusafirisha staff/wageni kwa ndege (preferably ATC) kwa ajili ya safety/usalama. Sasa kimeumana tayari watu wapo home wiki ya pili ATC mjipange na wafanyakazi wa Halmashauri hukoo Buhigwe sasa.

ROUTE zilizokuwa maarufu kwa wafanyakazi wa NGOs za kimataifa
1. Dar-Mwanza,
2. Dar-Geita,
3. Dar-Kigoma,
4. Dar-Iringa,
5. Dar-Mtwara.

**
i. ICAP,
ii. MDH,
iii. Save the Children,
iv. EGPAF,
v. Jhpiego,
vi. THPS,
vii. World Vision,
viii. RTI,
ix. CRS,
x. PSI,
xi. Delloitte (Auditing).
Usiongopee watu tunapenda intellectual aside na shake au chamber ya uongo iweje world vision na save the children ziwe za marekani huna unachokijua
 
Huko sahihi ata hapa nyumbani Iringa, ATCL inarudisha huduma uwanja wa Nduli. Lakini nakumbuka kabla ya matengenezo nilikuwa mmoja wa wasafiri. Npesa ya project ndiyo ilikuwa inanisafirisha siwezi kutoa pesa yangu mkonon kulipa 335,000/=. Pia nakumbuka wasafiri wengi walikuwa ni wafanyakazi wa NGOs na wachina wachache kutoka Mafinga. Kimeumana salary power ya serikali haiwezekani mtumishi wa uma kusafiri
Yaani wewe ukishindwa kupanda ndege unafikiri watz wote hawawezi panda ndege? Sisi Kanda ya Ziwa tunapanda ndege miaka yote kwa pesa zetu wala siyo hizo NGO zenu uchwara.
 
Back
Top Bottom