Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Wana Nunua V8 za mabilioni kila mwaka, wanashindwa kuweka mkeka wa lami kuunganisha kusini, ni ufisadi tuu na viongozi wasio na akiliNjia ya huko bora upande ndege ,mvua za juzi tu hapa kumekuwa na tope mpaka magari hayapiti.
Kama unajiweza usipande gari kwa njia za kusini.