Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi MDH ndio ile iko pale maeneo ya Mikocheni?Nashangaaa Hadi sasa Serikali sikivu iko kimya Tu Wala hakuna mkakati wowote wa ku-rescue situation! MDH wamefunga Ofisi nadhani
Umesema Serikali sikivu?Nashangaaa Hadi sasa Serikali sikivu iko kimya Tu Wala hakuna mkakati wowote wa ku-rescue situation! MDH wamefunga Ofisi nadhani
Tulia,yaan muda utasemaMuda si mrefu waalimu wataanza kuheshimika mjini 😀
Serikali sikivu ya CCMUmesema Serikali sikivu?
ExactlyHivi MDH ndio ile iko pale maeneo ya Mikocheni?
Sina uhakikaNdiyo Hawa walikuwa Bagamoyo road
Labda waiondoe CWT kwanzaMuda si mrefu waalimu wataanza kuheshimika mjini 😀
TAA haihusiki na air Tanzaniaunafanya kazi TAA
Kituko sio ofa ndo mazimaMtwara, here we come!
Starting February 17, 2025, fly with Air Tanzania to Mtwara every Monday, Wednesday, and Friday at unbeatable fares!
One-way: TZS 122,200
Round-trip: TZS 199,000
Book your seat now
📞 +255 748 773 900 | 🌐 www.airtanzania.co.tz
#AirTanzania #Mtwara #TheWingsOfKilimanjaro
Kituko sio ofa ndo mazima
Kwani Marekani pekee ndo mwenye NGOs Tanzania Mkuu?, Pia unatakiwa kujua Aviation Business hata kwa basics kama sio uwanja wako wa kujidai, Ungeniambia Marekani imezuia raia wake kuja Tanzania kwa kipengele cha Utallii hapo mtima ungestuka, Ndege nyingi zinazokuja Bongo ni za kuconnect kama ATCL akiwepo kwenye kiwanja husika ana advantage kubwa zaidi japokuwa si wakati wote, unajua kwanini Precision Air ana survive mpk leo pamoja na dhoruba lote la Fastjet na ATCL, Simply kwa sababu anaaminika na Weupe kwa miaka mingi sasa, Ukiwauliza wazungu ni ndege gani iko realible Tanzania watakwambia ni Precision Air, ATCL ana kazi ya kufanya fun enough wazungu wanatabia ya kushea taarifa na kuaminiana.Ni Sera ya NGOs nyingi za kimataifa nchini kusafirisha staff/wageni kwa ndege (preferably ATC) kwa ajili ya safety/usalama. Sasa kimeumana tayari watu wapo home wiki ya pili ATC mjipange na wafanyakazi wa Halmashauri hukoo Buhigwe sasa
Serikali wamesema ARV's zipo za kutosha tusiogopeNashangaaa Hadi sasa Serikali sikivu iko kimya Tu Wala hakuna mkakati wowote wa ku-rescue situation! MDH wamefunga Ofisi nadhani
Labda pipi kifuaSerikali wamesema ARV's zipo za kutosha tusiogope
Hahaha nchi hii inapokea misaada kutoka kila sehemu ya Dunia, Trump na Marekani kuondoa USAID haimaanishi EU,CHINA,Nordic countries, Japan,South na North Korea na Wadau wengine wameacha kutoa. Wao mpunga wao upo palepale.Acha wakate misaada watawala wapunguze viburi.
Uchafuzi huu mwaka mtajibeba fungu la kumi tume ya uchaguzi kwishney.
Kwahyo itakuwa ni uongo wanataka kupunguza hofuLabda pipi kifua
Unafikiri watasemaje?? Subiri miezi 3 stock ilate ndio waje wapige porojo....miaka 4 tutanyooka sanaaSerikali wamesema ARV's zipo za kutosha tusiogope