Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kwa nini Marekani isiwekewe vikwazo kufuatia hatua yake ya kutukatia misaada? Hivi mamlaka zinasubiri nini hadi sasa?Nashangaaa Hadi sasa Serikali sikivu iko kimya Tu Wala hakuna mkakati wowote wa ku-rescue situation! MDH wamefunga Ofisi nadhani