Tetesi: Air Tanzania kukamatwa. Ndege ya Rais haikamatwi kwa sheria za IATA

Tetesi: Air Tanzania kukamatwa. Ndege ya Rais haikamatwi kwa sheria za IATA

Kupata leseni ya kimataifa hasa kwenye mataifa makubwa sio kitu rahisi kama unavyofikiria. Na huyo king msukuma unaemsea wenda ujui magari yake yalivyo, atawezaje kuendesha shirika kama Air Tanzania ikiwa mabas yake tu yamemshinda magari mabovu ana bus ata moja ya luxury, kashindwa kuchukua route ata moja ya mwanza-dar au mwanza- arusha ndio ataweza kuendesha ATCL?

Msukuma ma bus yake hua yanakamatwa breki zimefungwa mpk na kamba za katani mwenyewe anabaki anasema RTO ananichukia sijui nini,jamaa ni tapeli tapeli tu.
 
Hapa ndo huwa naushangaaga upendo wa Mungu, Taifa moja nao ni ndugu, lakini kunammoja atafurahia mabaya ya ndugu/nchi yake mwenyewe,

Mbali na Hayo huwa naaminigi kuwa Mungu lazima awe upande wa mazuri yatakayokuwa manufaa Kwa wengi!!

Hakuna mradi utakaoferi Tanzania, sema labda hautamalizika labda Kukiwepo na adha na majanga ya kidunia kama tuyaonayo leo, zaidi Sana hata atakaye kuja miaka mingi ijayo itaendelea kujengwa na hatimaye ushindi itapatikana

Mungu Ibariki Tanzania

Ila kweli ifike wakati tuache kumsimanga rais wetu hata kama kakosea isiwe Coz ya kila mtu kumuhadhibu ktokana na makosa yake kila mtu anasema huku mwingine kule nani wa kumtia moyo anapoona mnafurahia hata yasiostahili kufurahiwa na yy anaishiwa nguvu tuwe wazalendo Jamani nasimango hayajengi na hata kufurahia matatizo ya nchi yako hakukuongezei chochote kichwani zaid ya kuonekana mjinga


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli tunakazi awamu hii. Nchi haiendeshwi kwa amri tu bali hekima, busara na maarifa. Tutapata hasara sana kuhusu ndege. Kwasasa mambo mengi bado hayajulikani na yanafichwa kama corona. Itakapokuja kujulikana checks and balance za ATCL ni wakati mkuu alishang'atuka na kila mtu atahuzunika.
Mkuu, waimba sifa watabadili gia na kusema hakuna raisi ambaye hakupta hasara, ila hii tunayopata mda huu, wa-kanada wanatucheki tu na kiburi chetu
 
Hawa wanazuia malori yetu halafu sisi tunaruhusu ndege zao halafu wale wanaojiita mawakili wasomi kwanini walishindwa kudai fidia baada ya kushinda kesi
Kwani ndege zao zimeleta coroa?
Ndege ya mizigo imekuja kuchukua samaki maana nyie mmeshindwa hiyo tenda na ATCL inadaiwa na mkulima, ikienda tu huko njeinapigwa pini
 
Kama hukujua, mkulima wa South Afroika bado anadai bilioni 40 zake na riba kubwa tu, katika hali isiyo kawaida, ametoa waranty nchi nyingi isipokuwa India ndio walisema hawata kamata hizi ndege.

Lakini pia, Air Tanzania zimepakiwa tu viwanjani isipokuwa bomberdier tatu zinafanya safari za ndani kwa shida sana kwakuwa hakuna abiria, [matajiei waishi kama mashetani].

Jumatano iliyopita MAGUFULI alituma ndege yake[ya Rais] kwenda madagaska kuchukua mitishamba, haikuwa bahati mbaya na si kwamba hakuna Bomberdier zaidi ya 8 zilizopaki, hapana ila zitakamatwa ndio maana akatoa ndege ambayo ina IMMUNITY kutokamatwa.

Jana ndege ya RWANDA, RWANDAIR imetua mwanza na imesaini kandarasi na kiwanda cha mwanza kubeba minofu na kuacha mapanki yaliwe na wanyonge, jiulize kwanini JIWE hana guts za kusema lazma samaki wabebwe na AIR TANZANIA kwa jinsi mnavyomjua alivyo ? ni kwasababu huko nje Ndege ikienda hairudi, na hii korona nakwambia mkulima atafugia hata MABATA huko ndani.

RWANDAIR YABEBA SAMAKI MWANZA KWENDA UBELGIJI

WAZIRI WA MAGUFULI AKAPELEKA NGENGA ZAKE PALE KUZINDUA UBEBAJI, watanzania hakuna wa kuhoji maana hofu kuu imejaa, Shirika la Ndege la Rwanda RwandAir, limezindua safari zake za ndege ya mizigo kutoka jijini Mwanza nchini Tanzania kwenda Brussels Ubelgiji kwa lengo la kusafirisha samaki kwenda katika soko barani Ulaya.

Image may contain: one or more peopleView attachment 1449006ya
AIR TANZANIA/Ndege ya Urais inatumika kubebea miti shamba, dawa ya kienyeji huku wenzetu wakibeba samaki kuuza ulaya​
Niliuza hilo swali kule Twitter kuwa kwa nini Ndege zetu haziendi Ulaya na Marekani, mtu mmoja akanijibu leseni yetu hairusi...

Nikatulia tu lakini sikuridhika na Hilo jibu, sasa hapa ndio umenifumbua.
 
Hela inayopotea ni yetu sote. Siyo hela ya Magufuli au CCM.

Rais Magufuli, arudi nyuma mpaka mambo yalipoharibikia. Aliunganishe Taifa. Katika umoja na maelewano ya kitaifa, hata mkulima anaweza kushaurika, anaweza kutupatia nafuu ya deni, na anaweza kukubali kulipwa kidogo kidogo. Na ndege zikaendelea kuruka bila wasiwasi wowote. Hiyo inaweza kufanyika pia kwa wadai wengine.

Bila hivyo, Rais Magufuli atapambana sana lakini hatafanikiwa hata kimoja. Kila siku atazidi kudidimia katika mipango yake. Kwa sasa kuna mambo kibao hayaendi (hata kabla ya Covid 19):
1) ukuuaji wa uralii umeshuka kutoka 15% mpaka 3.6%

2) Ukuaji wa uwekezaji umeahuka toka 28% mpaka 4%

3) Thamani ya mauzo ya nje ya mazao ya kilimo yameshuka kwa 50%

4) Makusanyo ya kodi hayaongezeki pamoja na kuchukua vyanzo vote vya mapato vya halmashauri, miji na majiji

5) Misaada kutoka taasisi mbalimbali za kimataifa imeshuka kwa zaidi ya 60%

Wakati huo huo kuna sauti nyingi toka jamii ya kimataifa dhidi ya Serikali.

1) Mahusiano ya kimataifa yamezorota kiasi cha kunyoshewa vidole na taasisi mbalimbali kutokana na kutozingatia haki za binadamu, uhuru wa maoni, uhuru wa vyombo vya habari, utawala wa sheria, chaguzi za kidemokrasia, misingi ya demokrasia ya vyama vingi, sheria mbovu zinazodidimiza misingi ya uwazi na utawala bora. Haya yote yameifanya Serikali ya sasa kuonekana ni ya ajabu kwa vile inalipeleka taifa gizani badala ya kulipeleka kwenye mwanga.

2) Mauaji, upotezaji na mashambulio ya watu wenye mawazo pinzani dhidi ya serikali au Rais. Vitendo hivi vya hovyo vimeifanya Serikali kuwa unpopular kwa kila genuine person, bila ya kujali mtu huyo ana mlengo gani wa kisiasa.

3) Uanzishaji wa kundi la kijambazi la 'watu wasiojulikana' kwa nia ya kudhibiti wasiokuwa tayari kuisifia serikali, n.k. Kundi hili limeharibu kabisa image ya serikali na Rais.

Nadhani Rais anajua wazi kuwa njia zilizofikiriwa kuwa zingeisaidia Serikali yake kupata mafanikio, hazifanyi kazi. Hivyo ni vema kurudi nyuma na kutafakari, na kisha kutafuta mbinu mpya kwa kutumia mawazo mapya kutoka kwa watu wapya. Bila hivyo, atakuja kutoka Ikulu akiwa ameinamisha kichwa kwa sababu ya kukosa cha kujivunia kama alama nzuri aliyoiacha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha na takwimu za uongo...tz mwaka 2018-2019 imeingia kwenye top 10 ya nchi zinazoendelea kwa kasi zaidi kiuchumi Africa....by GDP afu unakuja kusema uchumi umeshuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hukujua, mkulima wa South Afroika bado anadai bilioni 40 zake na riba kubwa tu, katika hali isiyo kawaida, ametoa waranty nchi nyingi isipokuwa India ndio walisema hawata kamata hizi ndege.

Lakini pia, Air Tanzania zimepakiwa tu viwanjani isipokuwa bomberdier tatu zinafanya safari za ndani kwa shida sana kwakuwa hakuna abiria, [matajiei waishi kama mashetani].

Jumatano iliyopita MAGUFULI alituma ndege yake[ya Rais] kwenda madagaska kuchukua mitishamba, haikuwa bahati mbaya na si kwamba hakuna Bomberdier zaidi ya 8 zilizopaki, hapana ila zitakamatwa ndio maana akatoa ndege ambayo ina IMMUNITY kutokamatwa.

Jana ndege ya RWANDA, RWANDAIR imetua mwanza na imesaini kandarasi na kiwanda cha mwanza kubeba minofu na kuacha mapanki yaliwe na wanyonge, jiulize kwanini JIWE hana guts za kusema lazma samaki wabebwe na AIR TANZANIA kwa jinsi mnavyomjua alivyo ? ni kwasababu huko nje Ndege ikienda hairudi, na hii korona nakwambia mkulima atafugia hata MABATA huko ndani.

RWANDAIR YABEBA SAMAKI MWANZA KWENDA UBELGIJI

WAZIRI WA MAGUFULI AKAPELEKA NGENGA ZAKE PALE KUZINDUA UBEBAJI, watanzania hakuna wa kuhoji maana hofu kuu imejaa, Shirika la Ndege la Rwanda RwandAir, limezindua safari zake za ndege ya mizigo kutoka jijini Mwanza nchini Tanzania kwenda Brussels Ubelgiji kwa lengo la kusafirisha samaki kwenda katika soko barani Ulaya.

Image may contain: one or more peopleView attachment 1449006ya
AIR TANZANIA/Ndege ya Urais inatumika kubebea miti shamba, dawa ya kienyeji huku wenzetu wakibeba samaki kuuza ulaya​
Screenshot_20200517-021839.jpg


S kweli bana inamaana huko comoro Zambia ,Uganda cyo abroad
Screenshot_20200517-022322.jpg
Screenshot_20200517-022315.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom