Air Tanzania ups stake for East African skies

Air Tanzania ups stake for East African skies

Mbona huleti hiyo hasara ya 400BL uliyosema ili nasisi tuione,
Kwani ndege zenyewe ni zipi? Mama aliagiza ndege na kuzipokea tayari? Au ndo zile tulizomsakamia Jiwe na bado tunaendelea kumtukania?

Mungu tujaalie maarifa!
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Hao Kenya Airways, South African Airways, British Airways, na wengine wengi wapo anga lote lakini hasara inawaandama kwa miaka mingi sasa na mashirika haya yanaendeshwa kwa ruzuku za serikali zao. Biashara ya ndege ilikuwa na pesa zamani sio sasa. Tutaona.
Kwa nini wanaendelea kufanya biashara huku wakioata hasara? Ukijibu swali hili basi akili yako iko sawa!
 
Kwa nini wanaendelea kufanya biashara huku wakioata hasara? Ukijibu swali hili basi akili yako iko sawa!
Wanaendelea kufanya biashara kwa ruzuku ya serikali wakitegemea siku moja mambo yatakuwa mazuri. Ni kama Tanesco, wana hasara na madeni makubwa lakini huwezi ukasema tanesco waache kuzalisha umeme, serikali inachota hela kwingine na kupeleka Tanesco ili angalau taa ziendelee kuwaka. Ndio mambo nchi hii haiendelei mradi mmoja unakula miradi mingine.
 
Wanaendelea kufanya biashara kwa ruzuku ya serikali wakitegemea siku moja mambo yatakuwa mazuri. Ni kama Tanesco, wana hasara na madeni makubwa lakini huwezi ukasema tanesco waache kuzalisha umeme, serikali inachota hela kwingine na kupeleka Tanesco ili angalau taa ziendelee kuwaka. Ndio mambo nchi hii haiendelei mradi mmoja unakula miradi mingine.
TANESCO inaweza isipate faida ya vitabuni hata siku moja! Sizungumzii hasara zinazotokana na uzembe bali hasa inayotokana na uwezo wa watanzania kununua umeme ikiwa zitawekwa bei zinazohusiana na gharama halisi za kupata umeme majumbani na hata sehemu za kibiashara. Hiyo hasara na dhahama ambayo ingekuwapo iwapo gharama zenye uhalisia zingetozwa ni ndogo sana! Multiplying effect! Kwa msingi huo huo ndivyo soko la usafiri wa anga lilivyo ndgug yangu. Leo kenya Airways akifa madhara yake kwenye soko la uitalii la Kenya ni catastrophic! Ukiona Seriakli inaendelea kuwekeza au kuipa ruzuku kampuni yake au binafsi jua kuna maslahi mapana ya kitaifa. Emirate, Turkish, Rwandair, angalia post covid stimulus kwa mashirika ya ndege ya Marekani na Ulaya!Kwa ufupi! Kwa mtizamoi wa kisiasa jibu ni: Ndio mambo ya nchi hii haiendelei😁
 
Kila pembe ya Africa ukitazama angani lazima ukutane na mnyama twiga nini kimetokeo ATCL?

Air Tanzania ups stake for East African skies


Air Tanzania is set to step up competition in the East African skies with the launch of flights on the Dar es Salaam-Nairobi route from November 26, and plans for Bujumbura later in the month.

The airline’s first flight to Nairobi from Julius Nyerere International Airport will cost Sh37,525 ($334) for a return trip and approximately Sh23, 594 ($210) one way.

The Tanzanian national carrier began operating three flights a week to Ndola in Zambia and the eastern DR Congo city of Lubumbashi, respectively, from November 18.

The Dar–Nairobi route will also offer competitive pricing for Ugandan flyers who have previously been connecting to various capitals through Nairobi, Addis Ababa or Kigali on Kenya Airways, Ethiopian Airlines or RwandaAir respectively.

“The resumption of Air Tanzania operations between Dar es Salaam and Nairobi, as at the best as a game changer in the bilateral engagement between Tanzania and Kenya,” said the High Commissioner of United Republic of Tanzania in Nairobi John Stephen Simbachawene Friday.

The carrier will fly twice a day between Dar and Nairobi with an Airbus A220-300. The plane can carry up to 132 passengers on full capacity.

The morning flight will leave the Tanzanian coastal city at 5:50am to arrive in Nairobi at 6:45am. The second flight departs the Kenyan capital at 7:30am to arrive in Dar at 9am.

The evening flight will see the airline depart Julius Nyerere International Airport at 8pm to arrive in Nairobi at 9pm. The flight will then leave Jomo Kenyatta International Airport at 10pm to arrive in Tanzania at 10:45pm.

The launch of operations by Air Tanzania on the Dar-Nairobi route is set to fuel pressure on Kenya Airways that is currently among the main players in the route.

Kenya Airways (KQ) has at least four daily flights to Dar es Salaam, five to Entebbe, four to Lusaka and at least one daily flight to Livingstone (Zambia). KQ also flies to two other cities in Zambia.

KQ is already facing strong headwinds on its African and Asian routes as the average ticket has declined due to competition.

The entry of Air Tanzania to its routes at lower prices is bound to set off price wars between the carriers.

KQ has previously stated that “this downward trend in fare is the result of increased competition and overcapacity on intra-Africa and Africa-Asia traffic.

Increased capacity by its competitors has already taken a chunk of the carrier’s revenue.

The recent acquisition of planes by Uganda and Tanzania as well as the signing of a partnership between Ethiopian Airlines and the Zambian government to revive the national airline for Zambia is only making the skies bumpier for the airline currently struggling to return to profitability.

Air Tanzania currently operates 12 domestic routes, namely Zanzibar, Arusha, Kilimanjaro, Mwanza, Geita, Bukoba, Kigoma, Mpanda, Mbeya, Tabora, Dodoma, and Songea.

On the international routes, the airline flies to Uganda, Zimbabwe, Zambia, and Comoros in the continent, and Mumbai, India, and Guangzhou, China.

NB: Kama lugha ya malkia inasumbua wewe soma majina ya nchi tu, Kila jina lililoandikwa humu jua ndege zetu zinatua hapo,Kaziiendelee
Ila hapo kwenye
Nauli sijaelewa vizuri nikweli Tanzania- Kenya itakuwa sh 37,000+?? Na Ni pesa ya tz or Kenya??
 
iambie ATC wakati inarudi iwe inakuja na madumu ya maji - hali ni mbaya.
 
Back
Top Bottom