Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuambie kama hazijafa mkuu,Baada ya three months mje hapa
Nawahakikishia nusu ya routes zitakufa kifo cha mende
Baada ya kushitakiwa MIGA?Baada ya three months mje hapa
Nawahakikishia nusu ya routes zitakufa kifo cha mende
Hao Kenya airways, south Africa airways,na wengine siyo wajinga kuendela na biashara ya anga pamoja na hasara unazoelezeaHao Kenya Airways, South African Airways, British Airways, na wengine wengi wapo anga lote lakini hasara inawaandama kwa miaka mingi sasa na mashirika haya yanaendeshwa kwa ruzuku za serikali zao. Biashara ya ndege ilikuwa na pesa zamani sio sasa. Tutaona.
Hii nauli ya Nairobi na sawa na ya kwenda na kurudi DubaiKila pembe ya Africa ukitazama angani lazima ukutane na mnyama twiga nini kimetokeo ATCL?
Air Tanzania ups stake for East African skies...
Ni kenya sh sio tz shHiyo exchange rate imenisumbua hivi Dora 300 inakuwa Sawa na 37,000 .kweli ?
KenyaIla hapo kwenye
Nauli sijaelewa vizuri nikweli Tanzania- Kenya itakuwa sh 37,000+?? Na Ni pesa ya tz or Kenya??
Yasije kuwa maneno matupu usafiri/ biashara ya Ndege sio kama mabasi [emoji23][emoji23][emoji23]Kila pembe ya Africa ukitazama angani lazima ukutane na mnyama twiga nini kimetokeo ATCL?
Air Tanzania ups stake for East African skies...
😍😍Mama yuko kazini Mjomba usiumize kichwa
Wewe kweli SmartInapendeza na ahsante kwa taarifa...
unahoja nzuri sana tu,Nashauri Samia ajengewe mnara pale Dodoma sio kwa speed hii
kabisaHoja yako ilete 2030 mkuu itafaa sana,
Jaribu kulisemea mema Taifa lako mkuu,Baada ya three months mje hapa
Nawahakikishia nusu ya routes zitakufa kifo cha mende
Nakubaliana na wewe 100%Muda sio mrefu ile hasara ya miaka ya nyuma ya ATCL itageuka kuwa historia.
Dua la kuku maana yakeBaada ya three months mje hapa
Nawahakikishia nusu ya routes zitakufa kifo cha mende
Geita ni gani maana lugha ya Malkia piga chenga sana.Kila pembe ya Africa ukitazama angani lazima ukutane na mnyama twiga nini kimetokeo ATCL?
Air Tanzania ups stake for East African skies
Air Tanzania is set to step up competition in the East African skies with the launch of flights on the Dar es Salaam-Nairobi route from November 26, and plans for Bujumbura later in the month.
The airline’s first flight to Nairobi from Julius Nyerere International Airport will cost Sh37,525 ($334) for a return trip and approximately Sh23, 594 ($210) one way.
The Tanzanian national carrier began operating three flights a week to Ndola in Zambia and the eastern DR Congo city of Lubumbashi, respectively, from November 18.
The Dar–Nairobi route will also offer competitive pricing for Ugandan flyers who have previously been connecting to various capitals through Nairobi, Addis Ababa or Kigali on Kenya Airways, Ethiopian Airlines or RwandaAir respectively.
“The resumption of Air Tanzania operations between Dar es Salaam and Nairobi, as at the best as a game changer in the bilateral engagement between Tanzania and Kenya,” said the High Commissioner of United Republic of Tanzania in Nairobi John Stephen Simbachawene Friday.
The carrier will fly twice a day between Dar and Nairobi with an Airbus A220-300. The plane can carry up to 132 passengers on full capacity.
The morning flight will leave the Tanzanian coastal city at 5:50am to arrive in Nairobi at 6:45am. The second flight departs the Kenyan capital at 7:30am to arrive in Dar at 9am.
The evening flight will see the airline depart Julius Nyerere International Airport at 8pm to arrive in Nairobi at 9pm. The flight will then leave Jomo Kenyatta International Airport at 10pm to arrive in Tanzania at 10:45pm.
The launch of operations by Air Tanzania on the Dar-Nairobi route is set to fuel pressure on Kenya Airways that is currently among the main players in the route.
Kenya Airways (KQ) has at least four daily flights to Dar es Salaam, five to Entebbe, four to Lusaka and at least one daily flight to Livingstone (Zambia). KQ also flies to two other cities in Zambia.
KQ is already facing strong headwinds on its African and Asian routes as the average ticket has declined due to competition.
The entry of Air Tanzania to its routes at lower prices is bound to set off price wars between the carriers.
KQ has previously stated that “this downward trend in fare is the result of increased competition and overcapacity on intra-Africa and Africa-Asia traffic.
Increased capacity by its competitors has already taken a chunk of the carrier’s revenue.
The recent acquisition of planes by Uganda and Tanzania as well as the signing of a partnership between Ethiopian Airlines and the Zambian government to revive the national airline for Zambia is only making the skies bumpier for the airline currently struggling to return to profitability.
Air Tanzania currently operates 12 domestic routes, namely Zanzibar, Arusha, Kilimanjaro, Mwanza, Geita, Bukoba, Kigoma, Mpanda, Mbeya, Tabora, Dodoma, and Songea.
On the international routes, the airline flies to Uganda, Zimbabwe, Zambia, and Comoros in the continent, and Mumbai, India, and Guangzhou, China.
NB: Kama lugha ya malkia inasumbua wewe soma majina ya nchi tu, Kila jina lililoandikwa humu jua ndege zetu zinatua hapo,Kaziiendelee