Air Tanzania ups stake for East African skies

Ni mbio za sakafuni tu hizo! [emoji2]
 
Kwa haibu watapata hasara ila kutokana na kuwa ofisini kwake atakuwa anawapa chakula ili asipate haibu!.

Tutunze kumbukumbu, siku yaja.
 
Unahoja nzuri hapa
 
Dua la kuku maana yake
Jiulize
Biashara gani/kitu gani serikali yako ya tz iliwahi kufanya ikafanikiwa?
hata vyoo tu vya mashuleni wameshindwa kujenga sembuse biashara za usafiri wa anga!
 
Jiulize
Biashara gani/kitu gani serikali yako ya tz iliwahi kufanya ikafanikiwa?
hata vyoo tu vya mashuleni wameshindwa kujenga sembuse biashara za usafiri wa anga!
Hata wewe kuandika comment hii ni mafanikio ya Serikali
 
 
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Kwamba 334usd is equal to 37,525 tsh? Are you serious, kama hujui kitu n Bora unyamaze mkuu,
 
May be a good idea, but each country would consider and aim at achieving maximum gains (Selfishness).
 
May be a good idea, but each country would consider and aim at achieving maximum gains (Selfishness).
I know. The positive thing is selfishness can be overcomed if there is a desire!
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…