Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

Eti nina uhakika,kwani uhakika wako wewe unatusaidia nini sisi,wewe ni Mungu,ulijua leo TZ ingekuwa na treni ya SGR au ulijua kuwa hilo shirika lako la ATCL lingeweza kumilike ndege zake lenyewe tena mpya zaidi ya 7,acha kuishi maisha ya kusadikika ya kufikiri kuwa mtu mweusi hawezi fanya miujiza...
Huyo jamaa mjinga sana ana tatizo la slavery mentality.
 
Lazima tuchague upande mmoja kama Kenya sasa huku mara uchina mara unajifanya uko na wazungu
 
Nimeona Gerson Msigwa anakanusha. Hivi wewe baba umerudishwa kwenye hicho kitengo ili useme uongo??? Hauoni aibu dunia ya sasa unasema uongo kila kitu kipo wazi mtandaoni Unasema Tanzania haijazuiwa wakati Spreadsheet ipo inasambaa mitandaoni. SHAME ON YOU
image_2024-12-13_221813765.png
 
The European Union (EU) has announced a ban on Air Tanzania flights from entering the airspace of its 27 member states, citing the airline's failure to meet international aviation safety standards.

“The European Union has today updated its list of airlines banned from operating in or subject to operational restrictions within the EU,” reads a statement.

The statement further explains that the decision to blacklist Air Tanzania stems from safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA).

With this decision, Air Tanzania joins a list of 129 airlines barred from operating in the EU. The airline has been grouped alongside seven other carriers flagged for significant safety challenges, including Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), and Iraqi Airways (Iraq).

Commenting on the development, EU Commissioner for Sustainable Transport and Tourism, Apostolos Tzitzikostas, expressed a willingness to collaborate with Air Tanzania to help the airline meet the necessary safety requirements.

#TheCitizenUpdates
 
Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga.

“Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa kuingia au kuwekewa vikwazo vya kiutendaji ndani ya umoja huo,” inasema taarifa ambayo The Chanzo imeipata. “Air Tanzania sasa imeongezwa kwenye orodha hiyo.”

Sababu kuu ya kuijumuisha Air Tanzania, kwa mujibu wa taarifa hiyo, ni changamoto za kiusalama zilizobainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA). Kwa hatua hiyo, Air Tanzania imejiunga na mashirika mengine 129 yaliyopigwa marufuku, ikiwa ni pamoja na Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), na Iraqi Airways (Iraq).

Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii wa Umoja wa Ulaya, Apostolos Tzitzikostas, amesema EU iko tayari kushirikiana na Air Tanzania ili kusaidia shirika hilo kufikia viwango husika vya usalama. “Uamuzi wa kuijumuisha Air Tanzania kwenye Orodha ya Usalama wa Anga ya EU unatokana na dhamira yetu ya kuhakikisha viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote,” amesema Tzitzikostas.

“Tunatoa wito kwa Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kurekebisha changamoto hizi. EU iko tayari kushirikiana na mamlaka za Tanzania kuboresha usalama wa ndege za Air Tanzania na kuhakikisha zinafikia viwango vya kimataifa,” ameongeza.

Tangu mwaka 2016, Tanzania imekuwa ikiboresha shirika lake la Air Tanzania kwa kununua ndege mpya, zikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner mbili, Dash 8 Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 767-300F ya mizigo moja, na Boeing 737 MAX 9 tatu. Air Tanzania imekuwa ikifanya safari katika maeneo 14 ya ndani ya nchi, nane ya kikanda, na matatu ya kimataifa—China, India, na Dubai.

Hata hivyo, tangazo hili la Umoja wa Ulaya linaweza kuwa changamoto mpya kwa shirika hilo, ambalo sasa linatarajiwa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia masuala ya usalama wa anga.
View attachment 3176052
View attachment 3176054
*********

Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union

Top
The European Commission today updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards. Ensuring the highest level of air safety for Europeans and all other travelling passengers is at the very heart of the Commission's aviation safety policy.

Following today's update, Air Tanzania has been included on the List. The basis for this decision is safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA). These also led to the decision not to grant Air Tanzania a Third Country Operator (TCO) authorisation.

Commissioner Tzitzikostas also welcomed EASA's positive decision on 29 November 2024 to lift the Third Country Operator (TCO) suspensions imposed on Pakistan International Airlines (PIA). Since the TCO Authorisation was suspended in 2020, PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA) have made substantial progress in improving safety performance and oversight capabilities. PIA is now allowed to resume operations to the EU. Furthermore, Airblue Limited, another Pakistani airline has also received EASA's TCO Authorisation.

Following today's update, a total of 129 airlines are banned from EU skies:

100 airlines certified in 15 States, due to inadequate safety oversight by the aviation authorities from these States;
22 airlines certified in Russia, as well as 7 individual airlines from other States, based on serious safety deficiencies identified: Air Tanzania (Tanzania), Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq) and Iraqi Airways (Iraq).
Two additional airlines are subject to operational restrictions and can only fly to the EU with specific aircraft types: Iran Air (Iran) and Air Koryo (North Korea).

Background

Today's update to the EU Air Safety List is based on the unanimous opinion of Member State aviation safety experts, who met in Brussels on 19 to 21 November 2024 under the auspices of the EU Air Safety Committee. This Committee is chaired by the European Commission with support from EASA. The European Parliament's Transport Committee also supports the update. Decisions under the EU Air Safety List are based on international safety standards, and notably the standards decreed by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

EU COMMISSION
Simple tu! Na hizo Nchi 28 za Ulaya tunaziomba zisijaribu kukanyaga Anga la Tanzania bila ruhusa yetu! In Magufuli voice!!
 
Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuzuia ndege za shirika la ndege la Air Tanzania kuingia katika anga la nchi wanachama wake, jumla ya nchi 28, kwa madai kuwa shirika hilo halijakidhi vigezo vya kimataifa vya usalama wa anga.

“Umoja wa Ulaya leo umesasisha orodha ya mashirika ya ndege yanayozuiwa kuingia au kuwekewa vikwazo vya kiutendaji ndani ya umoja huo,” inasema taarifa ambayo The Chanzo imeipata. “Air Tanzania sasa imeongezwa kwenye orodha hiyo.”

Sababu kuu ya kuijumuisha Air Tanzania, kwa mujibu wa taarifa hiyo, ni changamoto za kiusalama zilizobainishwa na Wakala wa Usalama wa Anga wa Umoja wa Ulaya (EASA). Kwa hatua hiyo, Air Tanzania imejiunga na mashirika mengine 129 yaliyopigwa marufuku, ikiwa ni pamoja na Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq), na Iraqi Airways (Iraq).

Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii wa Umoja wa Ulaya, Apostolos Tzitzikostas, amesema EU iko tayari kushirikiana na Air Tanzania ili kusaidia shirika hilo kufikia viwango husika vya usalama. “Uamuzi wa kuijumuisha Air Tanzania kwenye Orodha ya Usalama wa Anga ya EU unatokana na dhamira yetu ya kuhakikisha viwango vya juu vya usalama kwa abiria barani Ulaya na duniani kote,” amesema Tzitzikostas.

“Tunatoa wito kwa Air Tanzania kuchukua hatua za haraka kurekebisha changamoto hizi. EU iko tayari kushirikiana na mamlaka za Tanzania kuboresha usalama wa ndege za Air Tanzania na kuhakikisha zinafikia viwango vya kimataifa,” ameongeza.

Tangu mwaka 2016, Tanzania imekuwa ikiboresha shirika lake la Air Tanzania kwa kununua ndege mpya, zikiwemo Boeing 787-8 Dreamliner mbili, Dash 8 Q400 tano, Airbus A220-300 nne, Boeing 767-300F ya mizigo moja, na Boeing 737 MAX 9 tatu. Air Tanzania imekuwa ikifanya safari katika maeneo 14 ya ndani ya nchi, nane ya kikanda, na matatu ya kimataifa—China, India, na Dubai.

Hata hivyo, tangazo hili la Umoja wa Ulaya linaweza kuwa changamoto mpya kwa shirika hilo, ambalo sasa linatarajiwa kuchukua hatua madhubuti kushughulikia masuala ya usalama wa anga.
View attachment 3176052
View attachment 3176054
*********

Commission updates EU Air Safety List and adds Air Tanzania to the airlines banned within the European Union

Top
The European Commission today updated the EU Air Safety List, the list of airlines that are subject to an operating ban or operational restrictions within the European Union, because they do not meet international safety standards. Ensuring the highest level of air safety for Europeans and all other travelling passengers is at the very heart of the Commission's aviation safety policy.

Following today's update, Air Tanzania has been included on the List. The basis for this decision is safety concerns identified by the European Union Aviation Safety Agency (EASA). These also led to the decision not to grant Air Tanzania a Third Country Operator (TCO) authorisation.

Commissioner Tzitzikostas also welcomed EASA's positive decision on 29 November 2024 to lift the Third Country Operator (TCO) suspensions imposed on Pakistan International Airlines (PIA). Since the TCO Authorisation was suspended in 2020, PIA and the Pakistan Civil Aviation Authority (PCAA) have made substantial progress in improving safety performance and oversight capabilities. PIA is now allowed to resume operations to the EU. Furthermore, Airblue Limited, another Pakistani airline has also received EASA's TCO Authorisation.

Following today's update, a total of 129 airlines are banned from EU skies:

100 airlines certified in 15 States, due to inadequate safety oversight by the aviation authorities from these States;
22 airlines certified in Russia, as well as 7 individual airlines from other States, based on serious safety deficiencies identified: Air Tanzania (Tanzania), Air Zimbabwe (Zimbabwe), Avior Airlines (Venezuela), Blue Wing Airlines (Suriname), Iran Aseman Airlines (Iran), Fly Baghdad (Iraq) and Iraqi Airways (Iraq).
Two additional airlines are subject to operational restrictions and can only fly to the EU with specific aircraft types: Iran Air (Iran) and Air Koryo (North Korea).

Background

Today's update to the EU Air Safety List is based on the unanimous opinion of Member State aviation safety experts, who met in Brussels on 19 to 21 November 2024 under the auspices of the EU Air Safety Committee. This Committee is chaired by the European Commission with support from EASA. The European Parliament's Transport Committee also supports the update. Decisions under the EU Air Safety List are based on international safety standards, and notably the standards decreed by the International Civil Aviation Organization (ICAO).

EU COMMISSION
Bora maana yake Propoganda za tumsifu mwenyekiti zilikuwa pambe sana.
 
Bw. Apostolos Tsitsikostas, Kamishna wa Usafiri Endelevu na Utalii
Kamishna Apostolos Tzitzikostas mtu mzito sana amekazia usalama sekta ndogo ya anga , baada tu ya kuingia ofisini juzi juzi kufuatia sifa kemkem alizopewa na Rais Ursula von der Leyen, (President of the European Commission), Kamisheni ya Ulaya kuhusu mtu sahihi kusimamia industry nzima ya usafiri na utalii:


View: https://m.youtube.com/watch?v=k0I_vvoO-7k

Apostolos Tzitzikostas - European Commissioner for Sustainable Transport and Tourism since 2024.

His task is to make European transport more competitive, sustainable and resistant to future shocks, and to ensure that it is safe, accessible and affordable for all EU citizens..
source : Apostolos Tzitzikostas

Visheni baada ya kuingia ofisini


View: https://m.youtube.com/watch?v=9dylCJnUp2o
 
Ukiangalia nchi zilizoorodheshwa ktk hivyo vikwazo utagundua shida si shirika la Tanzania wala ubora wa ndege+huduma za Tz Bali Kuna kanamna, either Tz haijafuata vitu Fulani ama inafuata mambo Fulani ambayo yanamfungamano na hizo nchi ambazo watu wa Ulaya wanazikwepa (Venezuela+Iran),

Acheni kuendeshwa na Media+propaganda, chunguzeni mambo hapo Kuna kanamna, viongozi wetu wanajua shida ni Nini, shida haipo ktk ubora wa ndege wala usalama, Bali nchi+viongozi wetu Kuna namna wamewakosea hao jamaa wa EU.

Hii Ndio michezo ya dunia na hizi ndizo games za town, msipelekwe na upepo behind the scene Kuna kanamna
 
Imagine unanunua ndege lakini masuala ya usalama yanawashinda

Imagine unanunua treni ya umeme na umeme wa uhakika huna.
Pascal Mayalla hivi hili taifa Bishop Gwajima huwa analiombea kweli
Gwaji ...https://www.jamiiforums.com/threads/mchungaji-gwajima-ni-mtumishi-wa-mungu-wa-kweli-au-asema-uongo-adai-yeye-ni-zaidi-ya-rais.1207472/
P
 
Back
Top Bottom