TheGreatGenius
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 260
- 726
π€£π€£π€£π€£ AiseeBaada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
View attachment 2712900
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
jichanganye ujuteπ4G tu sitoboi π
5G nitachanika msamba π€ΈββοΈπββοΈ
jichanganye ujuteπ
Daah bora weweSimu zinafilisi basi tu ndio ishakuwa basic need kwa baadhi yetu.
Ndani ya sku 9 zimeshakata GB 13 za Tigo.
Na bado voda ilikuwa na GB 12.. jana niliona ziko 3.
Vocha ni kitu nishashindwa kujibahilia π₯Ήπ₯Ή
Najikaza lakini wapiii
View attachment 2712980
lazima unayo VPN sio bure utakuwa mtembeleaji mzuri wa zile sites za kataa ndoa π πSimu zinafilisi basi tu ndio ishakuwa basic need kwa baadhi yetu.
Ndani ya sku 9 zimeshakata GB 13 za Tigo.
Na bado voda ilikuwa na GB 12.. jana niliona ziko 3.
Vocha ni kitu nishashindwa kujibahilia π₯Ήπ₯Ή
Najikaza lakini wapiii
View attachment 2712980
Why? ππlazima unayo VPN sio bure utakuwa mtembeleaji mzuri wa zile sites za kataa ndoa π π
unachowaza ni π tu π π πWhy? ππ
Site which? Site from where? Tz haina uhaba wa π
Naconnect na PC
Sometimes na Tv
Basiii
π π π NAKAZIAkataa ndoa
Ubora which? Tuna matumizi mabaya πDaah bora weweView attachment 2712983
unachowaza ni π tu π π π
your device is connected successful
Kikubwa walete unlimited tu!Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
View attachment 2712900
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
naona umequote nusu nusu ili uniunge na chama chako, ulipo sipo π π ππ π π NAKAZIA