Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Mambo ya 1080p haya 😂😂Simu zinafilisi basi tu ndio ishakuwa basic need kwa baadhi yetu.
Ndani ya sku 9 zimeshakata GB 13 za Tigo.
Na bado voda ilikuwa na GB 12.. jana niliona ziko 3.
Vocha ni kitu nishashindwa kujibahilia 🥹🥹
Najikaza lakini wapiii
View attachment 2712980