Airtel 5G - Bundle imeisha ndani ya sekunde 10

Airtel 5G - Bundle imeisha ndani ya sekunde 10

Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.

Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata

View attachment 2712900

Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
Mkuu nikuuzie iphone 14 pro max yangu...512 GB
 
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.

Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata

View attachment 2712900

Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
Sio mbaya mb 51 kwa sekunde ni speed nzuri
 
Nia ajabu sana imeshidnikana vipi waje na unlimited bundle kwa bei nafuu..??
Maana hizi kampuni na serikali wte wanapata recurring revenue vizuri tu !!

Bongo tunachelewa sana kwenye mambo ... ni kama miaka ile ya kpiga simu kwa Dakika!!!
 
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.

Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata

View attachment 2712900

Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
Ukiwa na unlimited ni speed nzuri sana hii kutetemesha server za Torrents na streaming sabu ina PING ndogo mpaka raha... Sema Airtel inabidi waje na huduma ya fiber waache uzamani nao...
 
Simu zinafilisi basi tu ndio ishakuwa basic need kwa baadhi yetu.
Ndani ya sku 9 zimeshakata GB 13 za Tigo.

Na bado voda ilikuwa na GB 12.. jana niliona ziko 3.

Vocha ni kitu nishashindwa kujibahilia 🥹🥹
Najikaza lakini wapiii


View attachment 2712980
Kwanini usijiunge na Post paid?

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
 
20230211_120334.jpg
 
Speed kama hio kwa mabando haya ya kupimiwa ni kutesana tu, hapo inabidi uwe na unlimied, bila hivyo ni sawa na kufunga engine ya v8 kwenye bajaji.

kupima speed inatumia hata nusu MB, labda kifurushi chako kilikuwa ukingoni ndio sababu ya kuisha.
Speed test zinatumia dynamic files tofautu na sii sratic files, kama internet speed yako ni kubwa utaona imechukua data kubwa, kama ni speed ya kobe utatumia MB chache.

Angalia data used kwenye test ta pili niliofanya. screenshot attached hapo chini 👇🏼

IMG_3160.png
 
Back
Top Bottom