Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Weee balaaa 🤣🤣😆😆😆unaniuzia eeee
Ngoja niondoke zangu maana moto wake🚶♀️
Bora akija akute vumbi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee balaaa 🤣🤣😆😆😆unaniuzia eeee
Ngoja niondoke zangu maana moto wake🚶♀️
Mkuu nikuuzie iphone 14 pro max yangu...512 GBBaada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
View attachment 2712900
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
Sio mbaya mb 51 kwa sekunde ni speed nzuriBaada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
View attachment 2712900
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
😂😂
yeye mwenyewe kashamshindwa 😂😂😆😆😆😆
Huyu dada ashashindikana ujue, mie mwenyewe nishamshindwa labla Lenie anaweza kumsaidia
hatari mkuu
😂 😂 inapuliza nini?Itaachaje kushindikana na inapuliza😆
Hela jinga ngoshaMkuu nikuuzie iphone 14 pro max yangu...512 GB
Ukiwa na unlimited ni speed nzuri sana hii kutetemesha server za Torrents na streaming sabu ina PING ndogo mpaka raha... Sema Airtel inabidi waje na huduma ya fiber waache uzamani nao...Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake.
Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest bando ilikata
View attachment 2712900
Pongezi kwa Airtel, sasa mtangaze tu na bando za 5G maana hizi Mb chache ukijichanganya tu utatumia 50,000 kwa siku
kwa mwezi natumia 60GB ++, uwe unakuja nakuwashia hot spot4G tu sitoboi 😝
5G nitachanika msamba 🤸♂️🏃♀️
Kwanini usijiunge na Post paid?Simu zinafilisi basi tu ndio ishakuwa basic need kwa baadhi yetu.
Ndani ya sku 9 zimeshakata GB 13 za Tigo.
Na bado voda ilikuwa na GB 12.. jana niliona ziko 3.
Vocha ni kitu nishashindwa kujibahilia 🥹🥹
Najikaza lakini wapiii
View attachment 2712980
Ninayo ya tigo
Sisi tunachezs na 3G/H plus panatosha sana Hapa kibongo bongo bundle is expensive utafikiri Tupo majuu vile [emoji23]4G tu sitoboi [emoji13]
5G nitachanika msamba [emoji2223][emoji2088]
Haka ka kitu kanaokoa sana. Nishasahau kununua bando kwenye simu.lazima unayo VPN sio bure utakuwa mtembeleaji mzuri wa zile sites za kataa ndoa 😂 😂
Speed test zinatumia dynamic files tofautu na sii sratic files, kama internet speed yako ni kubwa utaona imechukua data kubwa, kama ni speed ya kobe utatumia MB chache.Speed kama hio kwa mabando haya ya kupimiwa ni kutesana tu, hapo inabidi uwe na unlimied, bila hivyo ni sawa na kufunga engine ya v8 kwenye bajaji.
kupima speed inatumia hata nusu MB, labda kifurushi chako kilikuwa ukingoni ndio sababu ya kuisha.
Jamaa mshenzi huyu