Airtel 5G - Bundle imeisha ndani ya sekunde 10

Mkuu 5g inawenyewe mm nko pale nawaangalia tu
 
Na huu ndio mtaji wa mbunge wa jimbo la mtama
 
Shobo za watanzania zitakatikia hapa. Mtu anataka 5G kwa bundle hizi?
Ngoja tutakuwa tunawasoma tu wanavyolia
 
Speed kama hio kwa mabando haya ya kupimiwa ni kutesana tu, hapo inabidi uwe na unlimied, bila hivyo ni sawa na kufunga engine ya v8 kwenye bajaji.

kupima speed inatumia hata nusu MB, labda kifurushi chako kilikuwa ukingoni ndio sababu ya kuisha.
Ukipiga starter tu bajaji inaruka juu kama futu mia tano hivi ndiyo inarudi ardhini kwa ajili ya kuanza safari huku shock-ups zote zikiwa zimesambaratika!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…