Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
mkuu ni wifi au fiber? kama ni fiber huku nakoishi natmia ya tigo ya speed 20 mbs kwa 55000 sasa nitahama nahamia mapinga hakuna fiber kabisa nilidhani ni router nije niichukue.
Yes ni unlimited fiber internet ya Halotel, ina router ya Halotel ZTE na fiber yake ina wire zile nyembamba za fiber wametandaza, so wakikuunga unapata wifi ya kutumia, ndio maana ina speed sana