Airtel inazidi kutanua soko la Unlimited internet, Vodacom na Tigo wakiendelea kushupaza shingo watastuka soko lishamezwa

mkuu ni wifi au fiber? kama ni fiber huku nakoishi natmia ya tigo ya speed 20 mbs kwa 55000 sasa nitahama nahamia mapinga hakuna fiber kabisa nilidhani ni router nije niichukue.

Yes ni unlimited fiber internet ya Halotel, ina router ya Halotel ZTE na fiber yake ina wire zile nyembamba za fiber wametandaza, so wakikuunga unapata wifi ya kutumia, ndio maana ina speed sana
 
Mkuu nipo dodoma nao na hicho ninachokwambia nimekishuhudia huku. Anyway mambo yasiwe mengi...
 
Yes ni unlimited fiber internet ya Halotel, ina router ya Halotel ZTE na fiber yake ina wire zile nyembamba za fiber wametandaza, so wakikuunga unapata wifi ya kutumia, ndio maana ina speed sana
hii ni same kama nilyofunga hapa sema ya tigo. wanakupa router ambayo imeungwa kwenye waya wa fiber kwenye nguzo zao walizosambaza, hiyo router ina port moja ya ethernet, na inatoa wifi ya 2.4g na 5.g kwa pamoja, wewe mtumiaji ndiye utachagua wajiunga ipi.
Ila naona halotel hapo kwako ina ping nzuri kinoma
 
Kila lodge unayoenda acha kutupanga woye tunaishi Dar lodge zenye hiyo huduma ni chache mno.
 
Kila lodge unayoenda acha kutupanga woye tunaishi Dar lodge zenye hiyo huduma ni chache mno.
Kwani mimi na wewe tunaendaga lodge moja mkuu? Mimi lodge zote ninazoenda zina wifi, unawapa device yako wanakuingizia password.
Pia na sehemu kibao zinazotoa huduma za Airbnb zina wifi.
 
Nenda kwenye duka la halotel watakusajilia maana laini ya kawaida haikubali. Hata namba zake ni tofauti kabisa, zinaanza na 300 na siyo 062 kama hizi za kawaida...
Lakini ukiweka ifanane na ya sasa ya kawaida kwenye hiyo ya 300 itakubali
 
Lakini ukiweka ifanane na ya sasa ya kawaida kwenye hiyo ya 300 itakubali
Haikubali, na jinsi inavyosajiliwa inasajiliwa kwenye laini yako ya halotel, inakuwa kama ni laini msaidizi wa laini yako kuu ya halotel, sijui umenielewa hapo mkuu...?😀
 
Hakuna kitu kama hicho, tembea Tanzania ujionee jinsi kauli yako ni uongo mtupu. Kati ya Watanzania 10 ni wangapi wana router?
Yaani we unataka kusemaje, watu wasiuze routers kwa kuwa kuna kundi la watu masikini..!?

Halafu ambacho hukijui (au unakijua ila unajipa uchizi usiokuwa nao) pamoja na uwepo wa routers hizo bando za buku buku zenu bado zipo... router sio ya kila mtu, sasa wewe mtu huna kazi ya kukuhitajia mtandao, huna hata account ya netlix ili tuseme japo unahitaji router kwa ajili ya movies...router ya kazi gani.

Ila kuna watu wanapongeza saana huu uradi wa unlimited unawafaa kwenye kazi zao, wewe wa buku buku endelea na buku buku zako hakuna atakaekuzuia kutumia buku yako.
 
Haikubali, na jinsi inavyosajiliwa inasajiliwa kwenye laini yako ya halotel, inakuwa kama ni laini msaidizi wa laini yako kuu ya halotel, sijui umenielewa hapo mkuu...?😀
Does it mean inakuwa fixed kwa mwezi au ni unlimited
 
Does it mean inakuwa fixed kwa mwezi au ni unlimited
Kwa jinsi walivyoniambia ni kwa mwezi, ila kama ikitokea ukanunua GB 210 ila ukatumia labda tuseme GB 80, ukinunua bado jipya kabla ya muda wa kifurushi kuisha kufika zile data zilizosalia (GB 130) utahama nazo kwenda mwezi unaofuata. Siyo unlimited...
 
KUna vitu muwe mnashirikisha akili.

Hivi ni Watanzania wangapi wanaweza kuafford hizo huduma?

Buku buku ndio uwezo wa Watanzania 99.9%
Unapata buku unaunga Sasa hivi. Baada ya muda labda jioni unapata buku unaunga Tena. Aliyeshiba haezi elewa....

Ndio maana mtu anamwambia mwezie nunua Michele uweke ndani, kwa mama ntilie unapoteza hela....Sasa ukiangalia huwezi pata cash ya kununua kilo 10 kwa mara Moja ila kila siku unaeza pata buku ya kula wali maharage kwa mama ntilie....... So........
 
Router wanakupa bure ama unainunua mkuu..


Halafu wana limited ya data ambazo ukizivula speed inapungua?
 
Router wanakupa bure ama unainunua mkuu..


Halafu wana limited ya data ambazo ukizivula speed inapungua?
Device unanunua, wana MiFi za 50k na 150k. But wakati mimi naenda kununua nilienda na 50k kwa ajili ya device ila nikakuta device za 50k zimeisha so nikaacha kununua device, nikachukua tu laini now nimeweka hiyo laini kwenye simu.

Kuhusu kupunguza speed kwa uzoefu wangu sijakutana na hiyo hali. Na nafikiri kwa kuwa wanakuuzia data ambayo ni limited mfano 210GB, sidhani kama watakuwa wanahitaji kulimit speed. Tangu nimeenza kutumia naona iko sawa tu. Kwa mfano wa sasa nimetest speed ni 16mbps. Siyo kubwa ila kwa matumizi ya kawaida kustreem iko poa tu.
 
Hio halotel fibre nzuri sana
 
Hizo fiber kwa sisi wa nyumba za kupanga bado haziko feasible kwetu, leo tupo kesho hatupo.

Siku wakianza kuwezesha na line zao ziwe na access na hizo unlimited watatukamata wengi sana..
Ndio hata mimi nimeona hilo likiwezeshwa kwa line itakuwa magoli sana. Imagine unashinda kazini umelipia internet atumie beki 3 tu labda. Ilitakiwa wawezeshe na line ya simu iweze kutumia unlimited iliolipiwa nyumbani at the same speed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…