Younguther
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 243
- 483
- Thread starter
-
- #61
They are foolMy number can't even buy a HBB bundle now
.they spammed me first nmelipa Hafu device ikawa haionekani
Airtel nlichoamua ni kukaa kimya nafikiria way forward hii nchi ukiwa na hela usipokua na hela lazima utateseka
Hii nchi ina laana
Wapi huko mkuu, voda ama yas?Nikweli,hamia kwenye mtandao wenye kasi, biashara ni ushindani
Naona labda ni janga kote kote hata yas speed yao kwa fiber huwa mimi inachezea download speed kati ya 20-90mbs, ila hiki kipindi cha sikukuu inachechemea na wakati mwingine inakata kata kila baada ya muda fulani.Habari za wakati huu wanajukwaa.
Bila kupoteza muda wiki iliyopita nilijiunga kifurushi cha mbps 10 unlimited kwenye router ya airtel smartbox 5g kwa tsh 70k, Mwanzo speed ilikuwa really 10mb per second lakn leo ghafla asubuhi imeshuka had 1mb per second na haitaki kupanda.
Yaani natumia speed ya kobe na mtumiaji ni mimi pekee yangu nimeunganisha device mbili pc na simu tu, kwanini airtel hawataki kutuambia ukweli kwamba hizi router siyo unlimited badala yake ikifkia ukomo wa mb walizokupangia huwa wanashusha speed kusema ukweli huu ni utapeli😔
View attachment 3184329
Walau kwako upload speed iko juu ila huku kwingne ni majanga tuNaona labda ni janga kote kote hata yas speed yao kwa fiber huwa mimi inachezea download speed kati ya 20-90mbs, ila hiki kipindi cha sikukuu inachechemea na wakati mwingine inakata kata kila baada ya muda fulani.
View attachment 3187557
Hilo suala lina ukweli mkuu😁Airtel kauli mbiu ni tunakuzia router na bando, mtandao kautafute mwenyewe😏
Fanya utafiti kwa kuuliza angalau watu watatu, (Triangulation), tukianza kuyataja makampuni humu siyo busara hizi ni biashara za watu, mimi niliacha kutumia AirtelWapi huko mkuu, voda ama yas?
Itakuwa mgeni huyu sie tunalalamika Kila siku humu jukwaani yeye aoni auUkishafikisha 500GB wanapunguza speed
Inaonekana wewe ni mgeni kwenye game
Saivi wamepunguza wanauza laki 3Tigo nadhani wanafosi ununue device
Na bei yake imechangamka, unapata kiwanja Chanika.
Voda ni takataka, Device ya 5G ila speed ya 2G... Tangu nihamie halotel angalau napumua...Tumewaambia mara ngapi? Mtandao ni voda tu, lipia 120k utaacha hizo kelele
Ninatimiza mwaka Hawajanifungia hao jamaa Kila siku nawapigia simu naletewa miyeyushohamia TTCL internet uhakika, ila mpaka wakufungie utachoka mwenyewe
Ttcl shida msoto wao hadi kuja kufungiwa siyo poahamia TTCL internet uhakika, ila mpaka wakufungie utachoka mwenyewe
Duuh ni unlimited ya mchongo, yaan unapangiwa matumizi kutegemeana na limitItakuwa mgeni huyu sie tunalalamika Kila siku humu jukwaani yeye aoni au
Ahsante mkuu
Anachosema ni kweli juzi nimetimiza gb 700 imeshuka mpka kufikia 0.2 mbps per second wakati ofisini ttcl tunafika hadi tb haipungui spidiMkuu, unapokaa pana issue ya speed sio Airtel aisee.
View attachment 3184334
Mimi Airtel imekua mkombozi sana aisee. Mwezi wa 4 tokea ninunue na sijawahi kujuta.
View attachment 3184335
Kwa sasa nimeunga device 3, TV simu na Laptoona zote zinapiga mzigo.
View attachment 3184336
Youtube nipo FHD na 4K mara chache ndio inaganda ganda.
View attachment 3184337
Nimejiunga cha 70k so 10mbps
Wanaunga router tu bila ya landline aisee? Kwa 70k unapata router ama kale ka mobile deviceMkuu, unapokaa pana issue ya speed sio Airtel aisee.
View attachment 3184334
Mimi Airtel imekua mkombozi sana aisee. Mwezi wa 4 tokea ninunue na sijawahi kujuta.
View attachment 3184335
Kwa sasa nimeunga device 3, TV simu na Laptoona zote zinapiga mzigo.
View attachment 3184336
Youtube nipo FHD na 4K mara chache ndio inaganda ganda.
View attachment 3184337
Nimejiunga cha 70k so 10mbps
Kwani TTCL hawaconnect privateAnachosema ni kweli juzi nimetimiza gb 700 imeshuka mpka kufikia 0.2 mbps per second wakati ofisini ttcl tunafika hadi tb haipungui spidi