Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Hawa jamaa ni kero sana, hata walipokuwa na option ya kumpata mhudumu ilichukua si chini ya dk 30.Kuna wakati hawa jamaa siwaelewi kabisa yaani kwenye hii Airtel Money, ukinunua luku wanakuletea tu kuwa malipo yako yamefanyika bila kuleta balance ya akaunti yako baada ya muamala huo kufanyika. Ukitaka kufanya muamala kama salio halitoshi wanakutumia msg salio halitoshi bila kuonyesha salio lililopo.
Sasa ninataka kuongea na muhudumu kipengele cha kuongea na muhudumu kilichokuwa kinapatikana ndani ya namba 100 mmekiondoa kimya kimya bila kutupa taarifa wala njia mbadala, hata kwenye website yenu hamuonyeshi mabadiriko hayo.
Haya wadau napiga namba ngapi kuongea na muhudumu wa airtel kwa anayejua.
Vv