Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Airtel imetoa GB 2 na Dk. 100, kwa waathirika Hanang kwa siku 3 mfululizo.
Maana yake kwa mtu mmoja wametoa Tsh. 9000, idadi ya watu Ni 300,000+, hii ina maana;
300,000x 9000= 270,000,000/-
Kwanini hii pesa wasingeipeleka kwa wahusika?
Hii haiingii akilini kabisa!
Hiyo pesa wangewanunulia vyakula na malazi