Airtel wanayajua mahitaji muhimu kwa binadamu kwa watu wa waliokumbwa na Maafa Hanang?

Airtel wanayajua mahitaji muhimu kwa binadamu kwa watu wa waliokumbwa na Maafa Hanang?

hahahah watu weusi bado tuko kwenye evolution ya kuwa binadamu kamili.
Anataka airtel wapeleke umeme.
Wazungu wanapotubagua hua wapo sahihi kabisa. Huwezi kubali kizazi chako kipandikizwe fikra za stone age kwenye zama za IoT
 
Nimesikitika hii post sina cha kusema zaidi ya " tujifunze kushukuru"
Mkuu Kuna msaada mwingine hata ukishukuru unashukru kinafiki tu Bora liende.ongea na watu wa sehemu hizo basi wakuambie

Umeme hakuna hizo simu wanachajia wapi?

Walichofanya ni sawa na kiwete kupewa msaada wa viatu!
 
Nimesoma mahali kwamba Airtel inasambaza bure Internet kule eneo la maafa, hiki ni kichekesho kikubwa sana.

kwanza nani asie jua speed ya Internet ya Airtel? Pili je hizo ni moja ya Needs za watu walio kumbwa na maafa pale? Watu wanahitaji Mahema, Maji, madawa, nguo. Airtel wao wanaona Internet ndii basic needs pale?

Hii ni Marketing strategies ya kijinga sana, kama hawawezi toa Basic needs pale kama Chakula, madawa, mahema, na nguo waache ujinga.

Hawa airtel wana akili sawa na watawala, yaani wote wanafanana akili na jinsi ya kuwaza si bure hata mtandani wao umekaaa kima gumashi gumashi sana.

Subiri kwanza, mkuu wewe unaenua needs zote na kuzianalyse kitaamlum umetoa nini? Kwann hujaenda hata kutoa tuu nguvu kazi ya kutoa mawe na magogo barabaran?
 
Ngumbaru ni wengi sana nchi hii. Hawana jema
Kama una no za watu wa kateshi waulize simu wanachajia wapi kama huna sema nikutumie no uulize. Uone adhabu wanayopata ya kwenda tu kuchaji simu. Airtel hatukatai msaada wao ila huo msaada wa sio wa mhimu San Kwa Sasa kataa ukubali!
 
Airtel ndio wakajenge miundombinu ya umeme? Ndio wakasimike nguzo zilizoanguka?

Je wakileta magodoro na mahena mahitaji yote yatakamilika 100%? Sivyo.
Sasa kama hayatokamilika ikakosekana hitaji lolote utalalamikia tena Airtel? Uko hata na hisa 1 pale mpaka kudictate watoe mahema na magodoro? Na hizo fedha walizotoa haziwezi nunua hayo mahema na magodoro?

Kama magodoro hamna, serikali inayokusanya kodi na ambayo ina wajibu direct kwa mwananchi inafanya nini muda wote huu. Ni lini ulisikia Airtel wana kitengo cha dharula kutenga bajeti ya mahitaji yote ya wahanga wa majanga nchi hii?

Na je, Airtel ndio wana wajibu wa kujua kipi kinahitajika na kipi kimepatikana? Unaweza kusema hapa yanahitajika magodoro mangapi na mahema mangapi? Airtel hizo data wanazikusanya kutoka wapi wakati ziko serikalini?

Makampuni ya wawekezaji hayafanyi maamuzi kimatakomatako kama mnavyodhani mkishakunywa wanzuki. Hapo zimekusanywa fedha, data zipo serikali na taasisi zake husika na mashirika husika yanajua nini kinatakiwa. Kampuni nyinginezo ambazo sio experts kwenye hili suala zinaweza toa hela ikanunua kinachohitajika. Wewe kama unaona wanahitaji mapera wapelekee ila Airtel haiwezi fanya hivyo.
Kaka wasipokuelewa na apo...Waache na ujinga wao
 
Kaka wasipokuelewa na apo...Waache na ujinga wao
Mkuu kama simu inachaji Kwa umeme na umeme haupo hiyo simu itatumukaje? Kwanza skusema waende kujenga miundo mbinu Wala wapeleke umeme nilichosema hapo ni kwamba inahitajika misaada ya umhimu zaidi kuliko dk na mb! Maana simu hawana pa kuchajia! Ndo nikatoa mifano hiyo kuwa umeme hakuna hata hizo Sola Kuna mawingu daily jua ni kama halipo tu nazo nyumba Bado zimebomolewa na kuharibiwa nk

Na ujue mtandao uliopo vzr huko ni halotel inafatia Airtel hivo watumiaji wa haloteli ndo wengi Kwa Kiasi chake. Nimekaa maeneo hayo Kwa muda kiasi naelewa jogorafia yake na changamoto kubwa ni mawasiliano internet ipo chini lbda Kwa miaka hii !
 
Nimesoma mahali kwamba Airtel inasambaza bure Internet kule eneo la maafa, hiki ni kichekesho kikubwa sana.

kwanza nani asie jua speed ya Internet ya Airtel? Pili je hizo ni moja ya Needs za watu walio kumbwa na maafa pale? Watu wanahitaji Mahema, Maji, madawa, nguo. Airtel wao wanaona Internet ndii basic needs pale?

Hii ni Marketing strategies ya kijinga sana, kama hawawezi toa Basic needs pale kama Chakula, madawa, mahema, na nguo waache ujinga.

Hawa airtel wana akili sawa na watawala, yaani wote wanafanana akili na jinsi ya kuwaza si bure hata mtandani wao umekaaa kima gumashi gumashi sana.

Siyo kila jambo ni la kubeza mkuu, Airtel wametoa bidhaa wanayoizalisha wao, kampuni nyingine nazo watatoa wanavyovizalisha, kuna wanaozalisha unga,mashuka,nguo, magodoro, madawa n.k
 
Nimesoma mahali kwamba Airtel inasambaza bure Internet kule eneo la maafa, hiki ni kichekesho kikubwa sana.

kwanza nani asie jua speed ya Internet ya Airtel? Pili je hizo ni moja ya Needs za watu walio kumbwa na maafa pale? Watu wanahitaji Mahema, Maji, madawa, nguo. Airtel wao wanaona Internet ndii basic needs pale?

Hii ni Marketing strategies ya kijinga sana, kama hawawezi toa Basic needs pale kama Chakula, madawa, mahema, na nguo waache ujinga.

Hawa airtel wana akili sawa na watawala, yaani wote wanafanana akili na jinsi ya kuwaza si bure hata mtandani wao umekaaa kima gumashi gumashi sana.

Mnaanza kuchagua na misaada!! Sasa kama uwezo wangu ni kukuletea debe la unga kwenye harusi yako ndo unilazimishe nikuletee suti kisa ndo hitaji lako la mhimj? Kwa hiyo mawasiliano si mhimu au ulitaka airtel itoe mascarveter wakati haina??
 
Kwa akili hizi za watanzania CCM inaweza tawala mpaka mwisho wa dunia. Yani unaona Airtel hawajafanya la maana hapo??? Exposure ni kitu muhimu sana. Hawa hawa unawakuta wanapongeza Elon musk kupeleka starlink bure Ukraine na Gaza
Hivi unajua mahitaji ya dhararu kijana au unapwayukaa kama fisi mwitu????
 
Nimesoma mahali kwamba Airtel inasambaza bure Internet kule eneo la maafa, hiki ni kichekesho kikubwa sana.

kwanza nani asie jua speed ya Internet ya Airtel? Pili je hizo ni moja ya Needs za watu walio kumbwa na maafa pale? Watu wanahitaji Mahema, Maji, madawa, nguo. Airtel wao wanaona Internet ndii basic needs pale?

Hii ni Marketing strategies ya kijinga sana, kama hawawezi toa Basic needs pale kama Chakula, madawa, mahema, na nguo waache ujinga.

Hawa airtel wana akili sawa na watawala, yaani wote wanafanana akili na jinsi ya kuwaza si bure hata mtandani wao umekaaa kima gumashi gumashi sana.

Yenyewe imetoa mawasiliano bure kwakuwa ni kampuni ya mawasiliano.
Tbl ingepeleka bia
Bakhresa akapeleka misosi
Mo apeleke energy
Crdb pesa bure
Coca soda
Ccm katibu mwenezi
Shabiby mabasi
Wangesolve faster
 
Mkuu hapa Kila mtu anatoa maoni yake tu Wala sio ubabe Wala nini ulichokizungumza ni sawa hata Mimi sipingi! Umewasiliana na watu wa huko lkn? Maana hata kuchaji simu zao wanaenda sehemu nyingine Tena mara Moja Moja! Kipi Cha mhimu Hadi hapo? Mb unazo za kutosha dk za kutosha ila simu Haina chaji Ina umuhimu gani
Airtel hatakiwi kumaliza hayo matatizo, wakati huu ni taifa kuungana kila mmoja kwenye sekta yake,

Kama hio issue ya umeme tulitegemea TANESCO wapeleke hata special generetor huko,
Msiwalaumu Airtel kufanya wanachoweza
 
Back
Top Bottom