xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,302
- 5,379
kuna hawa wanafunzi wa vyuo...
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale 😂 😂 ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale 😂 😂 ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu