Aisee!! Kanishinda tabia

Aisee!! Kanishinda tabia

kuna hawa wanafunzi wa vyuo...
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale 😂 😂 ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu
 
mtoto wa kiume kulala mika sana huo ni udada....
 
kuna hawa wanafunzi wa vyuo...
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale [emoji23] [emoji23] ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu
Haaaaah wanakuwaga na utumbo mnene si unajua hata vyakula wanavyo kula vyuoni low quality akitolewa out lazima ale kulipiza
 
pick and pay..wewe ulitaka atoke huko alikotoka aje kula viazi yaani chips mayai kama mnavoita.
 
kuna hawa wanafunzi wa vyuo...
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale [emoji23] [emoji23] ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu
ha ha ha mkuu umeua
 
Sasa kwanini unapenda madem wa uswahilini? Kama upo vizuri unamwambia upo wapi nikupitie? Ukifika unamwambia njoo kwenye hii crown nyeusi mtoto analainika na anakua na adabu tosha
 
Sasa umemtoa out unataka ajigharimie mwenyewe? Mimi mtu akinitoa out naagiza chakula ambacho nyumbani kwangu huwa sipiki yaani unitoe out utegemee niagize ugali matembele aisee tafadhali bwana
Haiwezekani kabisa [emoji114]
 
kuna hawa wanafunzi wa vyuo...
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale [emoji23] [emoji23] ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu
Aisee hivi chuo kuna nini eti mimi nilikuwa nakula balaa karibu kila mlo ilikuwa lazima nisindikize na pepsi baridii ila nilikuwa na mwili wa kawaida kabisa nilivyotoka tu chuo chakula sili kama vile ila nikanenepa hatari
 
Hahahha nimecheka mm pole mkuu hivi mwanamke unatokaje huna hela halafu kunywa kinywaji unachojisikia na kulipa kutokana na uwezo wako

Anakufanya buzi huyo mkuu
 
kuna hawa wanafunzi wa vyuo...
yuko m1 alipiga kilo ya ngurue pekeake na viepe vikavu vi2 na masavana ya kutosha.... kwanza nlishangaaa af nkamuonea huruma nkamuuliza vip wakufungie kingine uondoke nacho? hakunijibu lakini jicho aloniangalia nalo ilbidi nijiongeze nkamwambia muudumu afunge samaki2 sambusa8
na sio huyo pekee wanafunzi wengi(nlokua nao) ndivyowalivyo sjui wanakuaga na minyoo wale [emoji23] [emoji23] ila wazuri ngoja tuwasaidie tuu
Kusoma sio mchezo lazima ukaze msuli wanunulieni hakuna namna
 
Aisee hivi chuo kuna nini eti mimi nilikuwa nakula balaa karibu kila mlo ilikuwa lazima nisindikize na pepsi baridii ila nilikuwa na mwili wa kawaida kabisa nilivyotoka tu chuo chakula sili kama vile ila nikanenepa hatari
Kusoma si kazi ndogo
 
Wa kwangu kana tabia nzuri mukitoka out anaagiza ugali na mchuzi wa papa
Hana tamaa ila tamaa yake ipo kwenye gemu
Bila sita hakuelewi
 
Aisee hivi chuo kuna nini eti mimi nilikuwa nakula balaa karibu kila mlo ilikuwa lazima nisindikize na pepsi baridii ila nilikuwa na mwili wa kawaida kabisa nilivyotoka tu chuo chakula sili kama vile ila nikanenepa hatari
Ulipokuwa chuo ulikuwa hukutani na Maji ya uhani direct sasa ulipotoka chuo ulikutana na maji ya uhai live
Chezea sperm wewe
Full vitamin
 
Back
Top Bottom