Aisee!! Kanishinda tabia

Aisee!! Kanishinda tabia

Sasa umemtoa out unataka ajigharimie mwenyewe? Mimi mtu akinitoa out naagiza chakula ambacho nyumbani kwangu huwa sipiki yaani unitoe out utegemee niagize ugali matembele aisee tafadhali bwana
Mimi nikutoe out baasi...
 
Aisee hivi chuo kuna nini eti mimi nilikuwa nakula balaa karibu kila mlo ilikuwa lazima nisindikize na pepsi baridii ila nilikuwa na mwili wa kawaida kabisa nilivyotoka tu chuo chakula sili kama vile ila nikanenepa hatari
Hahahaha hata mm ilikua nikitoka lazima nile hata kama nmeshiba yaan ilikua lazima ...... Na ilikua ikitokea mtoko ndo nmetoka kula mda huo nachukia nahairisha tu ,mhusika nampanga siku ingine Hahahahahah.......
 
Windhoek na Heineken ni vinywaji vya bei gali?

Kuku naye wa bei gali!....

mnisamehe tu ila nimefikiria bei ya hivyo vitu....



Najua hatulingani kama vidole...
 
Sasa umemtoa out unataka ajigharimie mwenyewe? Mimi mtu akinitoa out naagiza chakula ambacho nyumbani kwangu huwa sipiki yaani unitoe out utegemee niagize ugali matembele aisee tafadhali bwana
Vyakula gani ambavyo hulagi kwako?
 
Mimi nikimwita Mwanamke mahala as tumeweka Miadi, chochote atakachokula sitalalamika wala sitanuna kwasababu nitaona AIBU kama Mwanaume na pia nitajiuliza kuwa

Yeye ndio ameniita au Mimi ndio nimemwita???

●Una shida ya papuchi yake ndio maana ukamwita....Bisha !

Kama hukutaka ale vyakula na vinywaji hivyo vya gharama basi ungemwacha ale zake ndizi za kuchoma na makande kwao.

Au alikulazimisha umuite?


WABILLAH TAWFIQ,
 
Hahahaha hata mm ilikua nikitoka lazima nile hata kama nmeshiba yaan ilikua lazima ...... Na ilikua ikitokea mtoko ndo nmetoka kula mda huo nachukia nahairisha tu ,mhusika nampanga siku ingine Hahahahahah.......
Mimi mtu akinitoa out siku hiyo siliii yaani jiko linaenda likizo
 
Mimi mtu akinitoa out siku hiyo siliii yaani jiko linaenda likizo
Daaah ,yaan ilikua kama ni mtoko wa club lazima baadae anipitishe kwenye pizza batman au kwenye shawarma hahahaha........ Na njaa ilikua inauma kweli
 
Back
Top Bottom