Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Umefanya makosa makubwa sana ku-quote reply yangu.

Niombe radhi mara moja we pimbi.

Huwezi kunikimbia kimya kimya bila kunipa taarifa.

Nilikumiss sana we mwanamke aisee!
Nikuombe radhi hapa au kwa majaliwa??

Mzima weye?
Nimekuhamu sana pimbi wangu
 
Soma tena upya upupu ulioandika hapa.
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.

Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
 
Zile video walizokua wanapost yeye na mama ake wanashindana kukata viuno unasemaje juhusu hilo? Vipi baba yake mzazi aliyesema amenawa mikono ? Usijifanye una uchungu kuliko Majani kumbuka ukipanda mahindi huwezi vuna kunde.
Tatizo ubongo wako mdogo,
Shule nyingi utakuta School cand na private wanasoma shule moja na darasa 1.
Unahisi School cand wanapoona mwenzao yupo mitandaon kwa mambo ya kipumbav wataenenda vipi akiwemo mwanao.

Jambo la pili fikiria mzazi ametaka arudie mitihani ya sec ila jitu linampotosha na kibaya zaidi umri wake ni mdogo sana.
 
wasanii wanaishi kisanii.. huko mbele ya safari vikitibuka utakuja kusiki Mmakonde nae kataka kumbaka huyo mtoto dada
 
Hii ishu HARMONIZE itamtafuna baadae atakapoacha na kajala na si mbali hata miezi 6 hamalizi..sio kwamba Rayvanny kafanya kitu poa ila watu watashangaa sana usinitch wa jamaa kumchomea mwenzie utambi utadhani hawakuwahi kukaa pamoja kwenye maisha yao...nina amini wasanii wengi kwa sasa hawatakua tayari kua beneti na jamaa kiugupi ametengeneza maadui wapya bila kujua.
 
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.

Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
kwaiyo dogo kafanya makosa kupima oil?
 
Soma tena upya upupu ulioandika hapa.
jamaa hajakosea kitu awe private au fresh akivaa nguo za shule kesi unaibeba kaka......cha msingi rayvanny na team yaje waombe msamaha kwa familia ya binti kama ni faini basi apigwe atoe yaishe......suala likifika mahakamani hatapona text zote wakiwa wanachat zitafuatwa makao ya mtandao wanaotumia......direct lazima atapata shida
 
jamaa hajakosea kitu awe private au fresh akivaa nguo za shule kesi unaibeba kaka......cha msingi rayvanny na team yaje waombe msamaha kwa familia ya binti kama ni faini basi apigwe atoe yaishe......suala likifika mahakamani hatapona text zote wakiwa wanachat zitafuatwa makao ya mtandao wanaotumia......direct lazima atapata shida
Kwani unajua wmeanza kudate lini? Ray kaanza kupiga mashine uyo mtoto baada ya kumalza shule...huyo sio dent mbona mnalazimisha uanafunz kiboya hivyo?
 
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.

Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
Private candidate sio mwanafunz kama wanafunz wengne...huyo ni 4m4 failure ameamua kureseat....hawez Kua sawa na fresh students

Shule gani anaenreseat anavaa mpaka uniform za shule? [emoji3] Ukiona hivyo labda ni private na inafanywa kama deal hapo..

Wanaovaa nguo za shule wao huanza form 2 tena kwa kutumia majina ya wanafunz wengne...mtu unauziwa jina anarud zake form 2 unaendelea kusoma mpaka form4 unapiga pepa.

Paula sio mwanafunz..ni mwanakijiji tu ambae ame clear chet chake sasa anawaza aende kuomba kazi,au college au akachukue uanafunziwa A level kitu paula kwa bata zake hawez kubal kwend vaa uniform saiz..
 
Kascreenshot kwa simu yake mwenyewe harmonize?


Hivi dada yangu ushawahai kusimama pale kwenye kile kichumba kidogo aka kizimbani,pazito pale hayo unayo ya sema Paula kwamba atamuokoa mama yake,usishangae akamchoma mama yake na akaonekana mama mwenyewe hajui kulea na toto lenyewe halifai.

Sababu kwa kesi kama hii Rayvany nae atasimamisha mawakaili wa hadhi ya juu usizani kama atakuja kinyonge,so unaweza ukakuta kesi ikamgeukia,baadae Rayvanny akaomba fidia kubwa kwa kuchafuliwa jina lake, yote yana wezekana kwenye sheria,kwani watu wanachomoka kwenye kesi ngumu za mauaji na hujumu uchumi sembuse kesi hii.
Sasa atachomoka wapi wakati amepost yeye mwenyewe
 
Mkuu Private Candidate unaweza kua hata wewe ,babu,mjamzito ,mke au mume ni nje ya mfumo rasmi elewa kwanza hapo.
jamaa hajakosea kitu awe private au fresh akivaa nguo za shule kesi unaibeba kaka......cha msingi rayvanny na team yaje waombe msamaha kwa familia ya binti kama ni faini basi apigwe atoe yaishe......suala likifika mahakamani hatapona text zote wakiwa wanachat zitafuatwa makao ya mtandao wanaotumia......direct lazima atapata shida
 
Kwa hiyo hapo kesi ni kupost ? OK ngojea tuone.
Paka sasa, sijasikia TCRA wanasemaje . Ujue kale ka video hakana mambo kabisa, ila Njomba nchumali katia petrol tu, kwa mapenzi yake. Ingekuwa ile video ya udhalilishaji wa kingono jamaa wangekuwa washadaka na yupo ndani anasubiri dhamana. Ngoja tuone hili li movie linapo enda ishia
 
Back
Top Bottom