carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Nikuombe radhi hapa au kwa majaliwa??Umefanya makosa makubwa sana ku-quote reply yangu.
Niombe radhi mara moja we pimbi.
Huwezi kunikimbia kimya kimya bila kunipa taarifa.
Nilikumiss sana we mwanamke aisee!
Mzima weye?
Nimekuhamu sana pimbi wangu