Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Nan kakwambia kuwa sisi JAMII tumekasirika!!? Sisi tunafuatilia songombingo kwa umakini kabisa bila kupepesa macho maana tulikuwa tunaambiwa tu life la kajala enzi hizo sasa hapa tumetulia kucheki hii part two na bahati nzuri sterling wetu ni mtoto wa sterling wa kwenye part one
Mi pia nashagaa jamiii gani hiyo inayoongelewa? Mbona sie hatujachukia kabisa....ingekua hatukutegemea hayo kutokea kweli...[emoji3]
 
Private candidate ni mwanafunzi kama mwanafunzi mwingine.!
Katika shule huwa wanaingia darasan kama wengine na wanavaa uniform kama wengine.

Kitendo kibaya sana, bora haki ifuate mkondo.
Ujinga huu umeandika hata Amazon College ni wanafunzi na wanaingia darasani unakuwa na Thinking ya hovyo kama umekatwa kichwa.
 
Ujinga huu umeandika hata Amazon College ni wanafunzi na wanaingia darasani unakuwa na Thinking ya hovyo kama umekatwa kichwa.
Tatizo ubongo wako mdogo,
Shule nyingi utakuta School cand na private wanasoma shule moja na darasa 1.
Unahisi School cand wanapoona mwenzao yupo mitandaon kwa mambo ya kipumbav wataenenda vipi akiwemo mwanao.

Jambo la pili fikiria mzazi ametaka arudie mitihani ya sec ila jitu linampotosha na kibaya zaidi umri wake ni mdogo sana.
 
KUNA MSEMO DAR WATU WANASEMA KUWA WAMAKONDE SIO WATU NA NI MALIMBUKENI WAKUBWA.
HUYO KIMZIKI KESHAPOTEZA DIRA ANABAKI KUFUATILIA MAMBO YASIYO NA TIJA KWENYE CARRIER YAKE
Mlisema Kiba kapotea, Kiba ivi

Kiba mpaka leo anadunda.
 
Mtoto mwenyewe alivyokaa kuliwaliwa mbna chinga naye yatamshinda atakula kuku plus mayai
 
Back
Top Bottom