Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Hamia dar es salaam weweHizi habari za watu wa Dar wengine huwa hatuzielwi bila picha au mkasa mzima ulivyoanza. Weka hiyo video wamikoani tuione mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia dar es salaam weweHizi habari za watu wa Dar wengine huwa hatuzielwi bila picha au mkasa mzima ulivyoanza. Weka hiyo video wamikoani tuione mkuu
Nalala mbele na Kajala tu 😀😀😀..Mkuu isijekuwa unamlia rada mpishi wangu paula🤣🤣🤣🤣🤣 plz huko nje kuna singo maza wakushantaaaa🤣🤣🤣🤣
.Si hapa hapa kwenye comment
Nilicho jifunza ni kwamba wengi ni maamuma wa sheria. Huyo vanny sijui nini hana hatia. Hana hatia kabisaa! Kwanini? Mosi, Huyo binti amezaliwa 2000 which means kwasasa ana umri wa miaka 20+. Amehitimu kidato cha nne. Kidato cha nne ndio mwisho Wa BASIC EDUCATION, yaani Elimu msingi. Binti wa miaka zaidi ya 18 ni ruksa kuolewa. Hayupo shule, yupo mtaani yaani hasomi. Uanzia wapi kumshitaki huyo Vanny? Fikirieni mara mbili.Vimeumana tayr mkuuu
tarehe 1 mwezi wa 3 wanarudi hewani.Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Mkuu nikikusimulia hutofaidi..jiunge hata la jero[emoji16]Kasemaje wengine hatuna bando
Mkuu ngoja nifukuzie lijero hapa, jana nililala njaa, leo nisije kusinzia njaa🤣🤣🤣🤣🤣Nalala mbele na Kajala tu 😀😀😀..
😀😀😀😀😀😀Mkuu ngoja nifukuzie lijero hapa, jana nililala njaa, leo nisije kusinzia njaa🤣🤣🤣🤣🤣
Acha vaany boy ale Raha ,Mmakonde akaze nati zilizolegea , mijitu mingi haijui sie tunaojua tupo upande wa mtu mbadi vanny boy to the last man....wapunguze Tu wivu kama walikosea kuchagua wake ndo imetoka hyo😀😀😀Nilicho jifunza ni kwamba wengi ni maamuma wa sheria. Huyo vanny sijui nini hana hatia. Hana hatia kabisaa! Kwanini? Mosi, Huyo binti amezaliwa 2000 which means kwasasa ana umri wa miaka 20+. Amehitimu kidato cha nne. Kidato cha nne ndio mwisho Wa BASIC EDUCATION, yaani Elimu msingi. Binti wa miaka zaidi ya 18 ni ruksa kuolewa. Hayupo shule, yupo mtaani yaani hasomi. Uanzia wapi kumshitaki huyo Vanny? Fikirieni mara mbili.
Hata hao tcra hawana msingi Wa kisheria kumtia hatian vanny. Kifupi ni kwamba mtoto Wa mdangaji kaanza rasmi kudanga . FULLSTOP!!!
Haya hamisa huko kashaanza mambo
Hii ngoma kajala hatoamini
Na kilicho haribu zaidi Ni Kajala kumtuhumu uongo Mobetto.. aisee Kwa brand ya Mobeto na popularity yake hyo issue iki-back fire Mmakonde atajilaumu kukurupuka , ....kingine Paula ana nafas kubwa kwenye hili na kibaya Roho ya Paula ipo imetumzwa kwenye mtimanyongo wa Rayvanyy mtu mbadi , a.k.a chuiiiii.... Leo ni vanny boy yupo na mtoto wa P-Funk Aiiiiiii [emoji3][emoji3][emoji3]... Battle bado ipo in favour of WCB wasafiiiiiiii
View attachment 1703634
Hashindwi bwana yule[emoji3]Chinga atamlipia
Kasemaje wengine hatuna bando
Hashindwi bwana yule[emoji3]
Aisee hii video nimeitazama cjui x10.., aiseee toto hili tamu jamn tuache masihara🤣🤣🤣🤣Acha vaany boy ale Raha ,Mmakonde akaze nati zilizolegea , mijitu mingi haijui sie tunaojua tupo upande wa mtu mbadi vanny boy to the last man....wapunguze Tu wivu kama walikosea kuchagua wake ndo imetoka hyo😀😀😀
View attachment 1703636
Kwa hiyo anayebet ni Rayvanny? Ila Kajala habet? Si ndicho unacho maanisha.Mimi nilishamaliza ushauri wangu rayavanny amalize ili swali nje ya mahakama..hakuna jambo la hatari kama kubet mbele ya mahakama.kama rayvanny anayataka hayo mabilioni ya fidia mshauri aende...ila akumbuke maamuzi ya mahakama yanapigiwa kula na majaji na inategemea wameamkaje siku iyo..kula zisipotosha imekula kwake
Na kilicho haribu zaidi Ni Kajala kumtuhumu uongo Mobetto.. aisee Kwa brand ya Mobeto na popularity yake hyo issue iki-back fire Mmakonde atajilaumu kukurupuka , ....kingine Paula ana nafas kubwa kwenye hili na kibaya Roho ya Paula ipo imetumzwa kwenye mtimanyongo wa Rayvanyy mtu mbadi , a.k.a chuiiiii.... Leo ni vanny boy yupo na mtoto wa P-Funk Aiiiiiii [emoji3][emoji3][emoji3]... Battle bado ipo in favour of WCB wasafiiiiiiii
View attachment 1703634
Yeye na huyu hawara yake wote wanafiki wangekuwa na uchungu wangekatiza ziara yao siku Ile Ile wangerudi kuonyesha kimewaumaUchungu wa mwana aujuae mzazi ,Hongera sana Homonaizi kwa kufatilia haki ya Binti yako.