Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Yatafurahisha zaidi kama Rayvan atapewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa hawa wasanii uchwara wenzie wanaodhalilisha watu.
Mkuu kwani shitaka lishafunguliwa? Watu mnashauku utadhan tayari kesi imeshafunguliwa😆😆😆😆, saizi navokwambia rayvanny na majani wameyamaliza kibababaaa, na wanatoa song kesho na paula atakuwa queen video 🤣🤣🤣🤣
 
Harmo mshamba tu nani asiejua lengo lake ilikua aje kula kuku na mayai yake....kimemuuma sana kugongewa
Inauma Sana Mzee unapojarbu kujisogeza Kwa Mama ili mtoto akuelewe af kmmke mtoto anamuita mwamba mwingine ooh my Dady I love you, huku mwamba kampakata mtoto mzuri , daaah ukiwaza ashakuchomolea kukupokea simu mara kibao , ..... Istoshe harmo Sura mikunjo Ming ndo mana anaishia kwenye magrunet yaliyolegea af Vannyboy HB na kpenz cha warembo ..... Acha a feel test of beautiful pussy 😋😋😀

Wengi wanamuonea wivu mtu mbaya ,
 
Nakubaliana na wewe mkuu hata wewe husingekubali kufungwa kizembe lazima ataweka mawakili wa kumtetea...ila kwa ushauri wangu rayvanny angelimaliza hili swala nje ya mahakama na hatua ya kwanza angekubali kosa na kuomba msamaha mbele ya waandishi wa habari...mahakamani sio sehemu ya kubet na istoshe jamii imechukizwa sana kwahy anawakati mgumu sana wa kuipindua hii kesi na itokee bahati mbaya apewe hakimu mwanamke itakua imekula kwake...aige mfano wa lulu na kanumba lulu alikubali kujishusha kesi ikawa ndogo na jamii ikaridhika
kwani jamii ndiyo inatoa hukumu au mahakama mkuu?
 
Inauma Sana Mzee unapojarbu kujisogeza Kwa Mama ili mtoto akuelewe af kmmke mtoto anamuita mwamba mwingine ooh my Dady I love you, huku mwamba kampakata mtoto mzuri , daaah ukiwaza ashakuchomolea kukupokea simu mara kibao , ..... Istoshe harmo Sura mikunjo Ming ndo mana anaishia kwenye magrunet yaliyolegea af Vannyboy HB na kpenz cha warembo ..... Acha a feel test of beautiful pussy 😋😋😀

Wengi wanamuonea wivu mtu mbaya ,
Chuiiiiii 🐆🐆🐆🐆🐆
 
Hizo zote ni dhana zakufikirika mkuu..unapovunja sheria yeyote ya nchi ni swala la wewe agaisnt serikali ambayo imeweka hizo sheria...hakuna swala la mtu na mtu wala mtu na serikali...ila ni swala la mvunja sheria na sheria yenyewe..coz hata ukiikosea serikali itakuhukumu kwa mujibu wa sheria na ukimkosea mtu binafsi atakushtaki kwa mujibu wa sheria
Pili usiichululie poa familia ya kajala au familia ya pfunk...ukaiona ni familia dhaifu wanaouwezo wa kufanya lolote na kwa mda wowote na wana influence ya kupata msaada kokote kama wakihuitaji..na usisahu wananchi wakiwa nyuma yao
Wananchi wakonao Instagram sio kizimbani Boy.

muda utasema
 
Hahahaaa, mkuu tule tugilasi twa alkasusu tumepasuka twotee mkuu kamebakia kakupimia tu, sasa cjui nikuwekee kwenye jagi mkuu kama hutojali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mpe na Connection ya kajala, akimaliza jaki mbili tatu za alkasusuuuu.. akapozeee mtambo huko
 
Mkuu fidia kwa upande wa kajala wanaweza kuchangiwa hata na wananchi wanaowaunga mkono....ila jela miaka30 hakuna anaeweza kumsaidia rayvanny hata masaa2 pale segerea...kwhy rayvanny ameshika kwenye makali mpaka sasa
Na kuhusu kubakwa hakuna mahali popote ambapo kajala anadai mwanae alibakwa...ila anadai walimrubuni kwa kumpa pombe wakampiga picha bila idhini yake na ushahidi huu nahisi umetolewa na paula mwenyewe baada ya kubanwa na mama yake kuhusiana na hizo clip...kwhy kabla ya ili tukio kajala alikua hajui chochote hapaswi kulaumiwa
wewe kwenye zile video unaona Kuna dalili yoyote ya mtu kulewa pale, unafatilia instagram ya Paula ww? Hakika angefanyiwa bila ridhaa yake tusingeona akiimba na kusnap nyimbo za rayvany kila uchwao. Tuwe serious jaman. Hao ni wapenzi tena wa muda mrefu tu.
 
Inauma Sana Mzee unapojarbu kujisogeza Kwa Mama ili mtoto akuelewe af kmmke mtoto anamuita mwamba mwingine ooh my Dady I love you, huku mwamba kampakata mtoto mzuri , daaah ukiwaza ashakuchomolea kukupokea simu mara kibao , ..... Istoshe harmo Sura mikunjo Ming ndo mana anaishia kwenye magrunet yaliyolegea af Vannyboy HB na kpenz cha warembo ..... Acha a feel test of beautiful pussy 😋😋😀

Wengi wanamuonea wivu mtu mbaya ,
Harmonize hakuna mtoto mkali atamkubali kajaa ushamba mwingi acha ale hao size yake.. Yaani mi mwenyewe namshinda aisee nakula pisi kali hadi naziangaliaga tu
 
Mkuu kwani shitaka lishafunguliwa? Watu mnashauku utadhan tayari kesi imeshafunguliwa😆😆😆😆, saizi navokwambia rayvanny na majani wameyamaliza kibababaaa, na wanatoa song kesho na paula atakuwa queen video 🤣🤣🤣🤣
Mkuu una mtoto wa kike? kwahiyo unashabikia udhalilishaji kwa watoto wa kike? Je umejiuliza kama ameishalimaliza hilo jambo na Jamhuri? Mkuu alichofanya huyo Rayvan ni kosa la jinai maana yake Jamhuri ndiyo itadili nae na siyo huyo P.Funk.
 
Back
Top Bottom