Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio miezi sita tena, adhabu inaisha Tarehe 28 mwezi huu wa FebruaryWasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Hizo zote ni dhana zakufikirika mkuu..unapovunja sheria yeyote ya nchi ni swala la wewe agaisnt serikali ambayo imeweka hizo sheria...hakuna swala la mtu na mtu wala mtu na serikali...ila ni swala la mvunja sheria na sheria yenyewe..coz hata ukiikosea serikali itakuhukumu kwa mujibu wa sheria na ukimkosea mtu binafsi atakushtaki kwa mujibu wa sheriaUmefananisha vitu viwili tofauti situation ya Wasafi ni Mond Vs Serikali, hii ni mtu Vs mtu.
Kajala Vs Vanny ni mtu Vs mtu alafu nyuma ya Vanny kuna powerful people kama Mond na timu mzima ya uongozi wa wasafi hawa watu wana power kubwa kitachotokea hawa watu watamaliza jambo mezani kidiplomasia ila kajala akijifanya ndava na hawa watu ni chatu wanajua undava watakubali jambo liende mahakamani kitachotokea huko wataonesha uchatu wao kumbuka mpaka sasa ni jajiment moja tu ya Cyber nayo dhaifu sana na kumbuka meza kuipundua ni rahisi kuna chatu Mobeto atampindulia meza.
lolote laweza tokea lakini kumbuka Mond anazungukwa not watu wenye ushawishi especially angle ya sheria nikizungumzia Vanny nazungumzia Mond.
Watu hawana hela za michango bwana weeeee.. 😀😀😀😀Sema watu wamelikomalia hili balaaa, na mm naona hata kajala aliamua kufanya vile ili kukwepa aibu kwa wanazengo but hata yy anajua kila kitu. Kilichobak muda huu n kiki tu, yani hilo tukio limeingizwa ki kiki zaidi. Ata harmo kwenda central inawezekana kaenda kwa mambo yake mengine tu but ili kiki iwe kiki kweli. Hawa wasanii washagundua watz wanapenda nn ndo mana wanatembea nasi mlemle. Imagine huu uzi ungekuwa ni wa kuomba michango kwa ajiri ya mayatima nadhani ungejitahid sana ungekuwa na reply 10 tu, watz bana😁
Yeye kafanya uzalishaji kwa mali ya taifa hatuja semaBaba bora ni lazima amlinde binti yake. Wazazi wa kiume tuna cha kujifunza kupitia kwa huyu mshua kutoka Chitohori.
Tushangae mkuu 😆😆Yaan video ya kumfunga huyu mnyakyusa ni ile ya makiss ya instagram au kuna ingine kama ni hii ninayoijua mimi hakika maisha yatakua na utan sana
Nataka kahawa na kashata mbiliHiki kama kilinge vile😁😁😁 niwahudumie nini wakuuu??? Mana kuna chai, supuuu , kandeee wali ugaliiii nk😁😁😁😁
Tumkamatie kulekule polisi, atwambie zile bakabaka alizitoa wapi? Au ndo anazozitumia katika uhalifu🤣🤣🤣🤣🤣Yeye kafanya uzalishaji kwa mali ya taifa hatuja sema
Huyo kajala mwenyewe ana kesi ya kujibu kwenye issue ya kutoka kimapenzi na mmakonde wa ChitoholiKama hamisa ataamua kumshtaki kajala kajala nae anakesi ya kujibu unless kajala atoe ushahidi kua ni kweli hamisa ndo alimpeleka paula kwa rayvanny....ila kumbuka kajala hakukurupuka hamisa ametajwa na paula katika kujitetea kwake,..kwhy ushahidi wa paula unawez kumuokoa mama yake
Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Mkuu kashata zimeisha, ungependa nikuletee nini badala yake????🤣🤣🤣🤣Nataka kahawa na kashata mbili
Sizani Kama swali lako atajibu huyo dada kashindwa katengeneza strong hoja hapo mwanzo before hata la Hili swali ndio atajibu hili swali.Dada anaongozwa na mihemko na kufuata mkumbo bila hata ya kuwa na logical argumentHivi nikuulize swali AY na Mwana FA wamelipwa na Tigo zaidi ya 2bil kwa kazi zao moja kutumika na tigo,
hivi AY na Mwana FA kazi yao moja ya "habari ndio hiyo" ina dhamani ya zaidi ya 2bil?
Hapa nimezungumzia just unit,na si brand zao wao mwenyewe za AY na Mwana FA,sasa jiulize kama brand zao zingetumika we unazani tigo wangewalipa shiling ngapi?
Hivi wewe unajua mpaka sasa Rayvanny yupo kwenye mazungumzo na mapromota wangapi kwa ajili ya kufanya show,akisema nilikuwa na mazungumzo na mapromota 50 kwa ajili ya show zenye thamani ya 2bil,baada ya hizi tuhuma mazungumzo yakaisha utamkatalia?
Hamisa ni balozi wakampuni zaidi ya tatu,akisema nilikuwa na mazungumzo na kampuni zaidi 5 kwa ajili ya deals zaidi ya 100mil utamkatalia.
Nimekuuliza swali IKATOKEA WAKADAI FIDIA YA MAMILIONI YA SHILINGI UTAMSAIDIA KUMCHANGIA?
Yatafurahisha zaidi kama Rayvan atapewa adhabu kali ili iwe fundisho kwa hawa wasanii uchwara wenzie wanaodhalilisha watu.yajayo yanafurahisha.Vodacom!
Kijana ana mambo ya kishambaKaenda Polisi akiwa kama nani,Na wakati Pfunk Baba mtoto yupo ,Unajua huyu Bwege anapenda kutrendi kipumbavu,Atakuja kutiwa vidole na wanaume huyu Fala.
Mimi nilishamaliza ushauri wangu rayavanny amalize ili swali nje ya mahakama..hakuna jambo la hatari kama kubet mbele ya mahakama.kama rayvanny anayataka hayo mabilioni ya fidia mshauri aende...ila akumbuke maamuzi ya mahakama yanapigiwa kula na majaji na inategemea wameamkaje siku iyo..kula zisipotosha imekula kwakeHivi nikuulize swali AY na Mwana FA wamelipwa na Tigo zaidi ya 2bil kwa kazi zao moja kutumika na tigo,
hivi AY na Mwana FA kazi yao moja ya "habari ndio hiyo" ina dhamani ya zaidi ya 2bil?
Hapa nimezungumzia just unit,na si brand zao wao mwenyewe za AY na Mwana FA,sasa jiulize kama brand zao zingetumika we unazani tigo wangewalipa shiling ngapi?
Hivi wewe unajua mpaka sasa Rayvanny yupo kwenye mazungumzo na mapromota wangapi kwa ajili ya kufanya show,akisema nilikuwa na mazungumzo na mapromota 50 kwa ajili ya show zenye thamani ya 2bil,baada ya hizi tuhuma mazungumzo yakaisha utamkatalia?
Hamisa ni balozi wakampuni zaidi ya tatu,akisema nilikuwa na mazungumzo na kampuni zaidi 5 kwa ajili ya deals zaidi ya 100mil utamkatalia.
Nimekuuliza swali IKATOKEA WAKADAI FIDIA YA MAMILIONI YA SHILINGI UTAMSAIDIA KUMCHANGIA?
Mmakonde naona alikuwa anatafuta timing atimae kaona upenyo ndio Huu na ndio maana ney wa mitego kamchana liveHarmo mshamba tu nani asiejua lengo lake ilikua aje kula kuku na mayai yake....kimemuuma sana kugongewa
Basi hata karanga mbichi .. kahawa hii nimeilewe asee.. niongezeee ingine aseeMkuu kashata zimeisha, ungependa nikuletee nini badala yake????🤣🤣🤣🤣
Nataka alkasusu yamoto mkuuHiki kama kilinge vile[emoji16][emoji16][emoji16] niwahudumie nini wakuuu??? Mana kuna chai, supuuu , kandeee wali ugaliiii nk[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Udhalilishe watoto wa watu halafu utegemee magufuli atakutetea...mmemsahau makonda magufuli alichomfanya kwa ujinga ujinga wake pamoja na undugu walionao..sembuse huyu diamondWatu wanafikiri ukiwa na vimilion vyako kadhaa we ni untouchable, sio kwa Dola ya Magufuli [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Yani ni simu kadhaa tu mtu anatepeta, kuna mtu alikuwa na kiburi kama Manji [emoji16][emoji16][emoji16] nini Diamond bana! Rostam mwenyewe juzi anapiga makofi kwa adabu mzee akiongea.