Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Aisee! Kumbe Harmonize hatanii, ameonekana kituo cha polisi kufuatilia udhalilishaji aliofanyiwa binti yake

Mkuu fidia kwa upande wa kajala wanaweza kuchangiwa hata na wananchi wanaowaunga mkono....ila jela miaka30 hakuna anaeweza kumsaidia rayvanny hata masaa2 pale segerea...kwhy rayvanny ameshika kwenye makali mpaka sasa
Na kuhusu kubakwa hakuna mahali popote ambapo kajala anadai mwanae alibakwa...ila anadai walimrubuni kwa kumpa pombe wakampiga picha bila idhini yake na ushahidi huu nahisi umetolewa na paula mwenyewe baada ya kubanwa na mama yake kuhusiana na hizo clip...kwhy kabla ya ili tukio kajala alikua hajui chochote hapaswi kulaumiwa
Mimi nisiwe mnafiki siwezi kumsaidia hata lisaa rumande.

Hivi Rayvanny akisema brand yake imechafuka na anataka alipwe 1billion utalipa ww?Hebu acha unafiki dada yangu,Hamisa akisema yeye kwa kuchafuliwa kwake anataka alipwe mil 100 utalipa ww?Acha kuwa mnafiki.

Kwa hiyo Paula alivyo rudi nyumbani akiwa amelewa mama yake hakumwona au labda alichukulia kawaida inawezekana Paula ndio tabia yake kulewa.

Dada yangu kile kizimba kione vilevile ni kidogo lakini nikizito,hasa hasa ukikutana na mawakili wanaojua kujenga hoja.
 
Jela ya miaka 30 kwa kosa gani mkuu? Mbona huweki wazi..kwann uongelee kitu kisichokuepo?
Ikithibitika paula amepewa tu udahili katika shule yeyote hata kama bado hajaripoti shuleni rayvanny akifanya mashihara na hii kesi jela itamuhusu
 
Kakajala ni kaongo tu, vyote kalivyoongea ni uongo mtupu. Mf kwa hamisa kalisema ndiye aliyempelekwa kwa mnyakyusa, but hamisa alivyotoa maelezo yake tumegundua n uongo kupitia mavazi aliyovaa siku yupo na hamisa na ck yupo na vannyboy ko hapo kajala katudanganya na ana case kwa mobeto. Aya kwa rayvanny yote yanayoongelewa ni hukumu ya upande mmoja tu yani baada ya kusikiliza upande wa kajala, kuna aliyesikiliza vanny au paula wanasemaje? Binafs mm sioni kesi hapo, kama ukisiliza tu upande wa kajala unaona 50/100 je ukimsikiliza vanny c itakuwa 40/100 kwa kajala, je ukimsikiliza hamisa mana lazima awe mtetezi wa vanny kwenye case ya kunyweshwa pombe paula, c itakuwa 25/100 kwa kajala?(kitu kajala mpk sasa haujui ni yale maelezo yake ya mtandaoni, ule ni ushahidi tosha wa uongo wake) na hapo bado paula mwenyewe tufanye kaegemea kwa mama yake ila kwa maelezo kufungana tunampa 2, so kajala atashindwa kesi vibaya sanaaaaaaa. Nashauri asiende mana atajiabisha bure.
Kesi zinaendaga na vifungo.
Mkuu fidia kwa upande wa kajala wanaweza kuchangiwa hata na wananchi wanaowaunga mkono....ila jela miaka30 hakuna anaeweza kumsaidia rayvanny hata masaa2 pale segerea...kwhy rayvanny ameshika kwenye makali mpaka sasa
Na kuhusu kubakwa hakuna mahali popote ambapo kajala anadai mwanae alibakwa...ila anadai walimrubuni kwa kumpa pombe wakampiga picha bila idhini yake na ushahidi huu nahisi umetolewa na paula mwenyewe baada ya kubanwa na mama yake kuhusiana na hizo clip...kwhy kabla ya ili tukio kajala alikua hajui chochote hapaswi kulaumiwa
 
Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Wasafi imekula kifungo cha miez miwli tu na sio 6 tena...kwa mtu smart ungejua mapema tu wasafi haiwez fungwa kwa miez 6..
 
Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Umefananisha vitu viwili tofauti situation ya Wasafi ni Mond Vs Serikali, hii ni mtu Vs mtu.

Kajala Vs Vanny ni mtu Vs mtu alafu nyuma ya Vanny kuna powerful people kama Mond na timu mzima ya uongozi wa wasafi hawa watu wana power kubwa kitachotokea hawa watu watamaliza jambo mezani kidiplomasia ila kajala akijifanya ndava na hawa watu ni chatu wanajua undava watakubali jambo liende mahakamani kitachotokea huko wataonesha uchatu wao kumbuka mpaka sasa ni jajiment moja tu ya Cyber nayo dhaifu sana na kumbuka meza kuipundua ni rahisi kuna chatu Mobeto atampindulia meza.

lolote laweza tokea lakini kumbuka Mond anazungukwa not watu wenye ushawishi especially angle ya sheria nikizungumzia Vanny nazungumzia Mond.
 
Mimi nisiwe mnafiki siwezi kumsaidia hata lisaa rumande.

Hivi Rayvanny akisema brand yake imechafuka na anataka alipwe 1billion utalipa ww?Hebu acha unafiki dada yangu,Hamisa akisema yeye kwa kuchafuliwa kwake anataka alipwe mil 100 utalipa ww?Acha kuwa mnafiki.

Kwa hiyo Paula alivyo rudi nyumbani akiwa amelewa mama yake hakumwona au labda alichukulia kawaida inawezekana Paula ndio tabia yake kulewa.

Dada yangu kile kizimba kione vilevile ni kidogo lakini nikizito,hasa hasa ukikutana na mawakili wanaojua kujenga hoja.
Hata iyo fidia ujitamkii tu mahakamani kua nataka bill10..lazima uithibitishie mahakama kua tukio husika limekuathiri kwa kiwango hicho cha kustahili kulipwa hayo mabilioni...na hata hivyo kwa kajala hiyo itakua ni kesi ya madai na madai yanadhamana na kuna mda wanaweza kuomba kulipa hiyo fidia...ila kwa ravyanny ni kosa la jinai..ni makosa mawili tofauti
 
Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Wasafi tv inarudi March hiyo adhabu ya miezi 6 imefutwa au mwenzetu unaishi bongo kweli? Kama Hili limekupita.
 
Hata mimi kaka yani ile video impeleke mwamba miaka 30 kwa kipi yani...kwanza yule Dogo moto kaanza kupelekewa kitambo hafai hata kwa ndoa...Hamna mtoto pale babaake kashindwa wanataka tu kumpaisha kichwa moto bwana Raymond mwakifwambe
Sema watu wamelikomalia hili balaaa, na mm naona hata kajala aliamua kufanya vile ili kukwepa aibu kwa wanazengo but hata yy anajua kila kitu. Kilichobak muda huu n kiki tu, yani hilo tukio limeingizwa ki kiki zaidi. Ata harmo kwenda central inawezekana kaenda kwa mambo yake mengine tu but ili kiki iwe kiki kweli. Hawa wasanii washagundua watz wanapenda nn ndo mana wanatembea nasi mlemle. Imagine huu uzi ungekuwa ni wa kuomba michango kwa ajiri ya mayatima nadhani ungejitahid sana ungekuwa na reply 10 tu, watz bana😁
 
Hata iyo fidia ujitamkii tu mahakamani kua nataka bill10..lazima uithibitishie mahakama kua tukio husika limekuathiri kwa kiwango hicho cha kustahili kulipwa hayo mabilioni...na hata hivyo kwa kajala hiyo itakua ni kesi ya madai na madai yanadhamana na kuna mda wanaweza kuomba kulipa hiyo fidia...ila kwa ravyanny ni kosa la jinai..ni makosa mawili tofauti
Hivi nikuulize swali AY na Mwana FA wamelipwa na Tigo zaidi ya 2bil kwa kazi zao moja kutumika na tigo,
hivi AY na Mwana FA kazi yao moja ya "habari ndio hiyo" ina dhamani ya zaidi ya 2bil?

Hapa nimezungumzia just unit,na si brand zao wao mwenyewe za AY na Mwana FA,sasa jiulize kama brand zao zingetumika we unazani tigo wangewalipa shiling ngapi?

Hivi wewe unajua mpaka sasa Rayvanny yupo kwenye mazungumzo na mapromota wangapi kwa ajili ya kufanya show,akisema nilikuwa na mazungumzo na mapromota 50 kwa ajili ya show zenye thamani ya 2bil,baada ya hizi tuhuma mazungumzo yakaisha utamkatalia?

Hamisa ni balozi wakampuni zaidi ya tatu,akisema nilikuwa na mazungumzo na kampuni zaidi 5 kwa ajili ya deals zaidi ya 100mil utamkatalia.

Nimekuuliza swali IKATOKEA WAKADAI FIDIA YA MAMILIONI YA SHILINGI UTAMSAIDIA KUMCHANGIA?
 
Nyuma ya Chui kuna Diamond unajua na Mond anaweza kupray part yakaisha Kidiplomasia au ikishindikana akamaliza kiundava.
Unapomuongelea Diamond unamuongelea JPM mwenyewe a.k.a ngosha au jiwe..... Waulize TCRA wakwambie kilichowapata baada ya Mond kumpigia simu Mzee , Mzee aliuliza Tu adhabu imeanza Lin , kilichofuata adhabu inaishia mwez huu....Wasafi TV hewani
 
Wasafi tv imefungiwa miezi6 kwa kosa la gigi mpaka sasa ameplay undava upi...embu tuanzie hapo...katika hii nchi diamond ni mtu mdogo sasa yani watu wakiamua yao dk0 anarudi tandale..kuna mtu alikua anaitwa Lugumi alikua tajiri na nyumba kam 200 ivi..muulize sasahivi yuko wapi na anahali gani
Hujui uhusiano wa Diamond na jiwe wewe
 
Back
Top Bottom