Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Baba bora ni lazima amlinde binti yake. Wazazi wa kiume tuna cha kujifunza kupitia kwa huyu mshua kutoka Chitohori.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Baba lazima ajali wanae. Acha chinga afatilie issue ya binti yake
😂Uchungu wa mwana aujuae mzazi ,Hongera sana Homonaizi kwa kufatilia haki ya Binti yako.
Shangwe linaendeleayajayo yanafurahisha.Vodacom!
Kama ndio hivyo kesi zingekuwa nyingi,maanake hata Konde jana kampost Rayvany instagram.Kupost picha ya mtu bila ridhaa yake peke yake tayari ni kosa la kimtandao na adhabu yake ni miaka5 au faini au vyote viwili....kwhy piga ua galagaza rayvanny anakosa la kujibu hachomoki hapa
Umeisoma vizuri sheria ya makosa ya kimtandao mkuu...kuposti picha ya mtu bila idhini ya muhusika tayari ni kosa na linastahili adhabuElimu haijanisaidia kupata hela ila imenitoa upumbavu wa kukurupuka na kuendeshwa na hisia bila facts. Harmonise anakurupuka kesi ipo TCRA ila si hicho anachokifikiri
Kajala kampakazia maneno Mobeto , Kajala ana kesi ya kujibu mbele ya Sheria , Kajala ana miaka yake kadhaa kwenye kanyampasira...Kupost picha ya mtu bila ridhaa yake peke yake tayari ni kosa la kimtandao na adhabu yake ni miaka5 au faini au vyote viwili....kwhy piga ua galagaza rayvanny anakosa la kujibu hachomoki hapa
sasa Kama ndo hivyo basi konde nayeye anakesi yakujibu si kampost ray jana? Mikesi ingekua mingi sasaKupost picha ya mtu bila ridhaa yake peke yake tayari ni kosa la kimtandao na adhabu yake ni miaka5 au faini au vyote viwili....kwhy piga ua galagaza rayvanny anakosa la kujibu hachomoki hapa
Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wakesasa Kama ndo hivyo basi konde nayeye anakesi yakujibu si kampost ray jana? Mikesi ingekua mingi sasa
Ni tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wakeKama ndio hivyo kesi zingekuwa nyingi,maanake hata Konde jana kampost Rayvany instagram.
Kama hamisa ataamua kumshtaki kajala kajala nae anakesi ya kujibu unless kajala atoe ushahidi kua ni kweli hamisa ndo alimpeleka paula kwa rayvanny....ila kumbuka kajala hakukurupuka hamisa ametajwa na paula katika kujitetea kwake,..kwhy ushahidi wa paula unawez kumuokoa mama yakeKajala kampakazia maneno Mobeto , Kajala ana kesi ya kujibu mbele ya Sheria , Kajala ana miaka yake kadhaa kwenye kanyampasira...
Hakuna kideo chochote cha makazoIle video hakika inakera sana jamaa alipeleka mzigo wote ghafla dah hatari sana
Basi dogo atamtetea mpenz wake VIVAN boyNi tofauti mkuu....alichopost harmonize ni sreenshot kutoka kwenye simu yake...kosa la rayvanny ni kumpiga kajala picha tena ya video na kuipost unless kajala amtetee kua alikubali kupigwa picha vinginevyo sheria itakuchukua mkondo wake